Spika Ndugai adai tena kuwa Lissu alishalipwa pesa zake zote


Ukweli uthibitishwe na mamlaka huru tofauti na bunge kujitetea kupitia kiongozi wake maana siyo jambo rahisi kwa bunge linalotuhumiwa kwa kutowalipa wadai wake kukubali na kukiri mbele ya umma
 
Ndugai ishi vizuri na watu sponsor yu udongoni, kuna maisha baada ya u-spika!
 
Aisee kumbe hakuna mtu anadai Bunge,

Looh hawa chadema mbona hawaishi kuwa waongo waongo.
 
Chadema pia acheni tukunga uzushi mitandaoni.

Kama mlijua ile document ilikua ya 2018, mka crop majina tu ila hamkuweka full pdf document ili kuwapumbaza wafuasi wenu nyumbu spika amewaumbua.
Sio kila mtu ni CDM ila ndugai ana chuki Sana, hata u speaker umemzidi hakitendei haki kiti Cha u speaker wallah.
 
Leo nimefurahishwa Sana na michango ya Wadau wa JF.
Kuna mengi nimejifunza. Inaonekana kwamba baada ya Speaker Ndugai kutoa ufafanuzi kukanusha taarifa ile, taswira kadhaa zimejitokeza;
Kuna watu wameumia kwa nini ametolea maelezo!! Ni Bora angekaa kimya!!
Zaidi ya 80% ya michango imetoka nje ya mada badala ya kujadili ukweli wa taarifa iliyokanushwa watu wamejikita kumuandama Spika.
Kumbe wanaleta taarifa za uongo makusudi halafu wanaumia zikikanushwa. Yaani badala ya kumbana aliyeleta taarifa za uongo tunamsakama anayekanusha uongo.
Angalau basi hata angeitwa au angeombwa Lisu aje atoe maelezo binafsi ili kukiridhisha na kauli ya Ndugai
Kwa muktadha huu hatuna uhalali wa kudai JF tunawakilisha maoni ya Watanzania walio wengi manake siamini kwamba Watanzania ktk ujumla wetu Ni wanafiki na wenyechuki Kama sisi humu JF...!!

Halafu tunajiita eti sisi ni great thinkers

Great Thinker my foot!!
Lol
 
Nchi hii ya ajabu kweli. Mtu ambaye ni takataka ndio Spika wa Bunge la nchi na mtu asiye takataka yupo mtandaoni na jina bandia analalamikia maamuzi ya Spika takataka. Ahahahahahahahh!!!
Tena mwingine asiyetakataka anasoma comments za takataka na ku comment 😂😂
 
Pigo takatifu kwa huyu mtu linakuja tu
Kama kuna taasisi inayohitajika ipigwe chini ni hili bunge la mayatima chini ya yatima mkuu Ndugai ambaye kama si uvumilivu na ukondoo wa Watanzania hakutakiwa kuendelea kukinajisi kiti cha uspika hata kwa dakika moja zaidi.
 
Aonyeshe makaratasi kwani ugumu uko wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…