Spika Ndugai aomba radhi Wakristo kwa kauli yake kuhusu Yesu

Nilisema humu kuwa wakikusanya hotuba zake zote hachomoki.
Wakati anaanza alijifanya haogopi kitu, baada ya kusikia mikwara akaanza kulegeza kauri. Zile hotuba zake za mwanzo ndizo wamembana nazo hadi akapatikana na hatia.

Ashauriwe.
 
Kumbe anasoma mitandao ya kijamii mbona hajirekebishi mapungufu yake.
Mfano.....kumkumbatia mzee Halima and co.
Kutomlipa Lisu stahiki zake.
Kumfukuza Lissu bungeni wakati Kuna yule mbunge tajiri wa Kanda maalum ambaye hakuhudhuria bungeni kwa zaidi ya miaka mitatu.
Kumuogopa Mbowe wakati Mbowe Ni mtu wa kawaida sana.
Kutokua na confidence.
 
unasubiri itokee kama mumeo askofu Rashidi alivyosema watu watakua mazombi?
Na wewe kama umedunga J&J kuwa makini kila siku ukiamka asubuhi kajiangalie kwenye kioo jinsi unavyoanza kuwa na sura ya zombi kidogo kidogo!😀😀😀
 
Sema tu ni kwa kuwa wakristo huwa hawapendi kukuza mambo na pia dini huwa inasisitiza sana upendo na kusamehe. Lakini kama angekuwa amesema jambo linalokwenda kinyume kwa kiongozi wa ule upande mwingine (Muddy) ungeona reaction za kila aina na pengine angejitokeza HAMZA mwingine huko bungeni.
 
Uko
Umesema sawasawa kabisa
 
Aombe radhi tena maana walitoka Nazareth kwenda Bethlehem na sio kwenda Jerusalem!
 
Reactions: Ame
Kukosea ni kawaida tu.
Ujue wanapingana na Mungu, Mungu wetu hataki watanzania tuangamie, na huyo huyo ndugai kipindi cha Magufuli alishabikia chanjo mbaya leo unajadili na kusema eti kusema chanjo ni mbaya ni makosa??? Na bado, adhabu ya Mungu yaja, maana Yesu ni Mungu, huwezi kutoa kauli kama hiyo kama bila kudhamiria, ni kafanya makusudi. Luckily Yesu huwa anajitetea, ila ingekuwa Mohammed nadhani fatwa zingekuwa zimetangazwa
 
Nakubaliana nawe. Upande wa pili una malezi mabaya yaliyojengwa kwenye jazba badala ya fikra, visasi badala ya msamaha. Ila mie huwa sijali upande. Hata ilipotokea kashfa ya Rushdie, ingekuwa leo, ningewashauri wamwache aliyetukanwa alalamike ila si wao. Mwanangu nakubaliana nawe. Mtu anatukanwa baba au mama yake halalamiki. Ila akitukaniwa mtume eti yuko tayari kuua wakati jamaa mwenyewe wala hakumuona. Hii akili au uchizi?
 
Naaam
Ila bado kakosea...kiimani Yosefu hakuwa mume wa Bikira Maria...
Alikuwa mchumba wake...
Kwahiyo Kuna Radhi nyingine tunaisubiria🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
Kachemsha tena...hakuna popote kwenye maandiko waliyosema Yosefu alikuwa mume wa Maria.
 
Aombe radhi tena maana walitoka Nazareth kwenda Bethlehem na sio kwenda Jerusalem!
Sasa naanza kupata picha kwa nini akiendesha vikao vya bunge huwa na vitabu lukuki pale mezani kwake. MEMORY LOW!
 

Mathayo 5 : 44 Lkn mimi nawaambia wapendeni adui zenu waombeeni wanaowaudhi
 
Sentesi ya mwisho imeharibu kila kitu. Nadhani kuna haja ya kujifunza kuandika. Huwezi kumuomba radhi mtu wakati huohuo unamkumbusha kuwa naye ana makosa, ni kitu cha kawaida[emoji24]. Halafu Carperinaum siyo Kijiji cha Yesu. Chake ni Nazareth
 
Nina wasiwasi kama aliwahi kubatizwa
 
Huyo Job Nadhani Anayatafuta Yaliyompata Anania Na Safira
 
Hata asingeomba msamaha hii spika mbovu inakinga hata ingekuwaje.
Ila kule mkoka kongwa kunajamaa anaitwa yesu ndio alikuwa anamzungumzia.
 
Sasa naanza kupata picha kwa nini akiendesha vikao vya bunge huwa na vitabu lukuki pale mezani kwake. MEMORY LOW!
Kuna sheria hupitishwa akiwa kitini lakini amelala, akiamka anaanza kushangaa ilipitaje na yeye alikuwepo?
 
Reactions: Ame
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…