fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Yes mimi ni Sukuma gang,vp mama bado anaupiga mwingi?Wewe wasema lkn sisi tunafahamiana humu kulingana na misimamo yetu. Kama wewe ni sukuma gang au sijui gwajiboy hayo ni yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes mimi ni Sukuma gang,vp mama bado anaupiga mwingi?Wewe wasema lkn sisi tunafahamiana humu kulingana na misimamo yetu. Kama wewe ni sukuma gang au sijui gwajiboy hayo ni yako.
hakika lissu aliona mbali"Wakimalizana na sisi watageukiana wao kwa wao" by Tundu Lissu
Mchochezi akiwa kigogo, inabidi hadhari itumike.Yani leo nimepata hasira,,katika mambo yote yanayosumbua wananchi ,mmepata mda wa kumjadiili Gwajima🤨.
WTH!
Maana yake watamchunguza uraia wake....... Hahahahaha..,..nchi hii!!!!Spika Job Ndugai amesema vyombo vingine vya serikali na chama vinapaswa kumuwajibisha Josephat Gwajima kutokana na kauli zake
Amesema kama hatowajibiswa na akarudia makosa aliyokutwa nayo kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge watalazimika kuitwa wao
Amesema Waziri wa Mambo ya Ndani atapaswa kuhojiwa na Kamati ya Maadili endapo makosa hayo yatajirudia
"""""Tukutane j pili""""
Anayefuata falsafa za jiwe kwenye mambo ya chanjo ya UVIKO 19, ANALAUMIWA... vile aliyebadiri msimamo toka ule wa jiwe kuja mpya NAYE ANALAUMIWA... tufanyeje sasa..!!? WOTE WANASEMWA..Gwajima ni mfuasi wa jiwe na alishabikis udikteta wake sasa acha aonjeshwe raha ya udikteta aliofurahia enzi hizo.
If you are not interested that's upon you.Says who that they are safe? [emoji23][emoji23]
I'm right here show me and tell me what the side effects are long-term short-term and we'll go from there but until then I'm not getting it it's in God's hands, and lol I always knew the vaccines are safe but I’m still choosing not to get vaccinated [emoji23] I just have no interest at all in getting it
Kwaiyo nakusema Rais Samia na serikali yake wameongwa na mabeberu hili waruhusu chanzo nalo ni la kiimani zaidi? nyie misukule ya gwajima muda mwingine mjitambue zaidi jaman,lolAskofu Gwajima alisema maswala ya madhara ya chanjo ni mambo ya kiimani kati ya yeye na waumini wake...wao wanaamini chanjo haifai kama ambavyo makanisa mengine yanaamini pombe haifai, kuvuta sigara hakufai...sasa kwa nini akamatwe ?🤣
Wewe unafikirije utakubali vipi watz wote wafanyiwe majaribio Kama hujahongwa Nini?Kwaiyo nakusema Rais Samia na serikali yake wameongwa na mabeberu hili waruhusu chanzo nalo ni la kiimani zaidi? nyie misukule ya gwajima muda mwingine mjitambue zaidi jaman,lol
Uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo sana,ingefaa ukae kimya.Askofu Gwajima alisema maswala ya madhara ya chanjo ni mambo ya kiimani kati ya yeye na waumini wake...wao wanaamini chanjo haifai kama ambavyo makanisa mengine yanaamini pombe haifai, kuvuta sigara hakufai...sasa kwa nini akamatwe ?[emoji1787]
Hatuwezi kusema hakuna nidhamu serikalini.
Hili ni jambo zuri ambalo litarudisha amani katika nchi.
Kwa hiyo nadhani Askofu Gwajima ameshamuelewa Spika.
Kwaiyo nakusema Rais Samia na serikali yake wameongwa na mabeberu hili waruhusu chanzo nalo ni la kiimani zaidi? nyie misukule ya gwajima muda mwingine mjitambue zaidi jaman,lol
Kuna viumbe vingine havifugiki...!Spika Job Ndugai amesema vyombo vingine vya serikali na chama vinapaswa kumuwajibisha Josephat Gwajima kutokana na kauli zake
Amesema kama hatowajibiswa na akarudia makosa aliyokutwa nayo kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge watalazimika kuitwa wao
Amesema Waziri wa Mambo ya Ndani atapaswa kuhojiwa na Kamati ya Maadili endapo makosa hayo yatajirudia