Spika Ndugai: Gwajima akirudia tutamuita Waziri wa Mambo ya Ndani na kumhoji

Spika Ndugai: Gwajima akirudia tutamuita Waziri wa Mambo ya Ndani na kumhoji

Spika Job Ndugai amesema vyombo vingine vya serikali na chama vinapaswa kumuwajibisha Josephat Gwajima kutokana na kauli zake

Amesema kama hatowajibiswa na akarudia makosa aliyokutwa nayo kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge watalazimika kuitwa wao

Amesema Waziri wa Mambo ya Ndani atapaswa kuhojiwa na Kamati ya Maadili endapo makosa hayo yatajirudia
Wamuite IGP
 
Sipika anatoa amri kwa serikali!
Mhimili bunge unatoa amri kwa serikali!
Ni Tanzania tu
 
Spika Job Ndugai amesema vyombo vingine vya serikali na chama vinapaswa kumuwajibisha Josephat Gwajima kutokana na kauli zake

Amesema kama hatowajibiswa na akarudia makosa aliyokutwa nayo kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge watalazimika kuitwa wao

Amesema Waziri wa Mambo ya Ndani atapaswa kuhojiwa na Kamati ya Maadili endapo makosa hayo yatajirudia
Ndungai awe anaona aibu wakati mwingine, sio kila jambo lazima ulitolee tamko.

Toka lini muhimili mmojawapo wa Nchi "BUNGE" unaingilia mambo ya Imani za Kiroho? Wao si ndio wanasema kila siku Serikali haina Dini? Kulikoni sasa hili la Askofu G linawapa shida hivi? Hii yote ni kutetea maslahi siyo? Kumbuka mnapata hicho kiburi kutokana na jasho la Watanzania wasio na mahali pa kusemea. Subirini tutafika tu.....
 
Wataalam wa maswala ya kibunge na taratibu zake hebu toeni ufafanuzi.

Kwamba Askofu akirudia kosa Waziri ataitwa kwenye kamati ahojiwe Kwa msingi upi? Kosa la Gwajima ila anaehojiwa ni waziri? Hii imekaa vipi wadau!?

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
Ndugai amegundua hamuwezi Gwajima ndiyo maana anawalazimisha wengine wabebe mzigo.
Hata hivyo bosi wa waziri ni Ndugai au rais? Kiburi kimemjaa.
 
Kwa lugha nyepesi ni kwamba waziri wa mambo ya ndani anasisitizwa aviagize vyombo husika vichukue hatua kwa askofu rashidi na waziri ahakikishe hatua zinakua kali kweri-kweri ili muovu huyu asithubutu kurudia kosa husika.
Ujinga, nothing will be done mkuu. Gwajima hana jinai.
 
If you are not interested that's upon you.

Don't be like the self proclaimed "man of God" Gwajima who is trying very hard to convince the entire world through his Church that vaccines ain't worth it.
The feeling is mutual...and if you're interested that's upon you. The majority are not. Last time i checked we were 60m, plse remind me how many have been vaccinated so far? 😂😂😂. I see those million shots are about to expire.😊😊
 
Wataalam wa maswala ya kibunge na taratibu zake hebu toeni ufafanuzi.

Kwamba Askofu akirudia kosa Waziri ataitwa kwenye kamati ahojiwe Kwa msingi upi? Kosa la Gwajima ila anaehojiwa ni waziri? Hii imekaa vipi wadau!?

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
Kwamba Wizara ya Mambo ya Ndani ambayo ndio inasajili makundi mbalimbali, iangalie kama kanisa la Askofu Gwajima linatekeleza majukumu yake kwa kadri ya masharti ya usajili! Yaani- kuna uwezekano wa kulifungia kanisa kama alivyofanya Kagame kule Rwanda! Musiki Mtamu, tusubiri! Na Gwajima amejibu mapigo jana hio hio kwenye mahubiri yake!!!!
 
watoke wasibitishe kama hawajaongwa
yeye tapeli Gwajima ndio ilitakiwa atoe Ushaidi kuthibitisha hizo tuhuma zake, sio kazi ya mtuhumiwa (serikali) kuthibitisha hizo tuhuma fake za Tapeli gwajima
 
yeye tapeli Gwajima ndio ilitakiwa atoe Ushaidi kuthibitisha hizo tuhuma zake, sio kazi ya mtuhumiwa (serikali) kuthibitisha hizo tuhuma fake za Tapeli gwajima

gwajima ni sehemu ya serikali tena ni kada wa ccm kama kweli anachoongea ni uongo kwanini hawamfungulii kesi mahakamani
 
Acha kijifariji, hao wahuni wanajuana
Una maana mpambano wa Askofu na Mungumtu?
Mungumtu kashindwa kabisa kupangua hata hojamfu za Askofu.
Ndio maana kabakia tu kutoa vitisho vya kitoto vilevile kama alivyofanya wakati ule kwa KUB Mbowe, alipopendekeza mambo kadhaa ili kupambana na corona, ambayo Jiwe alikuwa aking'ang'aniza waTZ waamini kuwa haipo.
Kwa maoni yangu uchochezi wa Mungumtu Ndugai ndio mbaya na unaoharibu TAIFA zaidi kuliko tofauti za mitazamo kati ya Mwananchi na Uongozi wa nchi. AMEN
 
Kwa hiyo atamwita mtu wa muhimili mwingine kumhoji ? Hajui serikali ni mhimili mwingine? Kwa hiyo aweza mwita hata jaji kumhoji?

Pili kongelea na viongozi Chama kutomchukulia hatua Gwajima kwa hiyo atamwita mwenyekiti wa CCM taifa kumhoji mbele ya kamati ya maadili ya bunge?
 
Wataalam wa maswala ya kibunge na taratibu zake hebu toeni ufafanuzi.

Kwamba Askofu akirudia kosa Waziri ataitwa kwenye kamati ahojiwe Kwa msingi upi? Kosa la Gwajima ila anaehojiwa ni waziri? Hii imekaa vipi wadau!?

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
Achana naye Spika

Waziri ni mhimili mwingine wa serikali unaojitegemea hana huo ubavu
 
CHADEMA ni kichaka cha wahalifu wa aina zote;
magaidi, majambazi, wauza madawa, wote wamejificha ktk chama cha chadema.
Watu kama nyinyi ndo mnatakiwa muitwe vituo vya polisi maana inaonekana unajua hao majambazi na magaidi na wauza madawa wa chadema .....Ushauri tu msipende kujenga chuki kwenye jamii kwa ujinga wa uvyama leo hii yule Hamza alie ua maaskari wetu kuna picha kavaa nguo za ccm kwa hiyo tuwaite ccm magaidi hiyo haifai.Tujengeni umoja wa kitaifa hizi chuki tulizo nazo hazitatufikisha popote.
 
Achana naye Spika

Waziri ni mhimili mwingine wa serikali unaojitegemea hana huo ubavu
Mmh Sawa mkuu,

Hili jambo halijakaa Sawa kabisa. Kuna watu wanajaribu kukwepa majukumu Yao.

Sijawahi kuona matunda mazuri kwenye blaming game anyway labda ni upepo tu utapita...

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
 
Waziri na IGP wote wanauelewa mkubwa, wanaona wanavyotaka kuingizwa kwa nguvu kwenye Mambo yanayo itaji hekima wao watumie nguvu.
 
Back
Top Bottom