Mantombazane
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 579
- 367
Akili mbovu ileHata hatujazika ameanza kukimbilia miradi..miradi tunajua itaendelezwa tu kwani kuna shida gani, wewe baba ako alikua anajenga nyumba akaachia kwenye lenta, Bahat mbaya akafariki , utaiacha nyumba usiimalizie ?