Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Ila spika si hana kinga, ashitakiwe sasa kwa alivyoifanya katiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnoooomaisha yanabadilika kwa kasi kubwa mno!!
Ikiuzwa utafaidi Nini?
- Miradi hewa yote itakufa itakayoendelea ni ile yenye baraka za bunge.
- Midege yote iuzwe.
Ikiuzwa utafaidi Nini?
Hujaacha uchawi?Muulizeni Ndugai vipi hata zile ndege alizonunua fedha zake zilipitishwa na bunge lini, aache unafiki sasa hivi hana mwega hawezi kurudi.
Matajiri wameanza kuja hapa Bar.
Huyo alimchapa mgonjwa mwenzie aje ajichanganye kwa wababe atapasuka mchana kweupeNasubiri vita vya umakamu wa uraisi vianze mtu asije akavulumisha fimbo ikachapa mtu kama kule kongwa
😂 😂 😂 😂Kwamba miradi ya Chato iko pale pale.
Kuna clip ndugai anasema yeye alitoroka milembe na ana chumba chake pale milembewho is she by the way?