Spika Ndugai: Miradi yote aliyoacha Rais Magufuli iko salama

Mitano tena ......hakuna kutuvusha !!! Tuliambiwa vitabu vitakatifu amtegemeaye binadamu......
 
Aongezewe muda
Aongezewe muda
Wewe panga, Mungu hupangua
 
Bajeti kupitishwa na bunge ni kitu tofauti na upatikanaji wa pesa na utashi wa kisiasa kuendelea miradi yote hiyo kwa wakati mmoja, ndugai asipotoshe umma

Sent from my itel A32F using JamiiForums mobile app
 
Hili bunge la kuteuliwa livunjwe tu tuanze upya
Mama Samia ili afanikiwe afuate ya Tshikedi Kongo na ubia wa Kabila

Atumie mbinu ya kuondoa vinasaba viovu kwa kudeel na Supika Ndugei kama Kongo
Hapo ataweza kuendesha nchi atambue kuna nileteeni Gwajimaaa!!? Ukweli atamsumbua sana Mh Raisi
Jingine sasa mtaona usumbufu wa Mashehe kwa muislamu mwenzao
 
Mbona tuliambiwa tumuongezee na muda kwamba bila yeye hakuna wa kutuvusha ?
Mungu amelipigania taifa, na kuonesha kila mtu anaweza kutuvusha. Na Taifa Lina hazina ya viongozi kibao, tuachane na wachumia tumbo ambao walitaka aongezewe mda kwa sababu ya kujijengea vitambi. Tuendelee kuomba ili wachumia tumbo waendelee kupigwa mapigo Kama ya farao
 
Katika kumuenzi Rais wetu kipenzi Marehemu Dr John Pombe Magufuli ni vyema kuweka mpango wa haraka wa kukamilisha miradi iliyoanzishwa katika awamu hii.
Ieleweke vyema kuwa mama Samia Suluhu alikuwa ni Mgombea mwenza wa Magufuli hivyo ahadi yake kwa wananchi ipo pale pale.
utekelezaji wa Ilani ni lazima.

1-Mradi wa umeme wa mwalimu nyerere

2- Mradi wa reli ya SGR

3- Miradi ya madarasa na vituo vya afya

4. Ujenzi wa Ikulu ya Dodoma

5-........Orodha itaendelea
 
Yan hapo cha mhimu ni madarasa na vituo vya Afya pamoja na bwawa la umeme , na madaraja ya kuvuka maji... labda pia na miradi ya barabara mengine ni nonsense Kwa sasa may be yaende Kwa awamu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…