Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo

Huo muhimili udharauliwe mara ngapi? wakati Wananchi wameshaupuuza.
Wananchi wangapi au wewe na nani lete takwimu,acha mara moja hili jina la Imhotep

Yule alikuwa genius,siyo
 
Bunge lenyewe linajidharaulisha! Wabunge wenyewe wanalidharau... Serikali inalidharau...
Wananchi wanalidharau...!!
 
Aache upupu basi, ukweli ndo hawautaki hawa jamaa ni watu wa ajabu sana
 
Hivi huyo mtu anajiona kama nani haswa hapa dodoma?

Huyo rais wa nchi tu hawatishi wananchi.
 
Wananchi wangapi au wewe na nani lete takwimu,acha mara moja hili jina la Imhotep

Yule alikuwa genius,siyo
Huyo Spika anahusika katika kuwarubuni na kuwatisha Wabunge wa Upinzani wakubali rushwa ili wahamie CCM, huyo Spika anayekwenda kinyume na Sheria na Katiba kwa kuruhusu Wabunge wasiokuwa na Vyama wakae Bungeni.

Hilo Bunge litaheshimiwa na nani?
 
Ila bunge linadharaulika sana

Hebu tuliheshimu bunge wazee

Ova
 
Hana ajuwalo msameheni huyo maradhi yanamsumbua
 
Ndugai ana chukia kuambiwa ukweli kuwa bunge ni dhaifu na hakuna cha maana wafanyacho zaidi ya kuridhia kila kiletwacho na serikali.
Jenerali ametonesha donda la Prof Assad.
Kapiga melemle kwenye mshono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…