HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,058
- 1,218
Lisu Hana u avu was kufanya chochote na hv kakimbia nchi!!!Chadema ipo ICU mda wowote inafariki ghafra endapo itawakumbatia mdee aliyeonyesha dharau kubwa kwa katibu mkuu na Lisu, kuendelea kuilea dharau za mdee ni kuizika chadema
Mbowe na Salum mwalimu pekee ndiyo wamegawana hizo pesaIla mbowe kiboko
Hakumshirukisha hata Lemaa!!!!?
Huko ndipo watapokwenda kwani mbowe anaenda kutoa maamuzi ambayo yatawadhalilisha Lisu na mnyikaLisu Hana u avu was kufanya chochote na hv kakimbia nchi!!!
Mwisho was lisu NI kukubaliana uteuzi yey na mnyika waunge juhudi
Chadema ipo ICU mda wowote inafariki ghafra na kitendo cha kuwaacha salama Bulaya na mdee ndicho kitaiua chadema na kudharaulika mno kwenda kwenye level ya chauma UDP DP TLP NCCR na CUF ya LipumbaTofautisha mtendaji mkuu na msemaji mkuu wa tasisi. Ulishaona wapi kwa mfano katibu mkuu wa wizara akawa ndiyo msemaji mkuu wa wizara? Kipi kitampata kama atakayoyasema siyo msimamo wa wizara yake au waziri wake?
Mnyika anafanya uanaharakati badala ya ukatibu mkuu. Ndiyo maana wahusika wamemunyamazia. Kesho ataona mziki wake. Akina Mdee, Matiko na Bulaya siyo watu wadogo kwenye hicho chama. Wana uwezo wa kuendesha mapinduzi kwenye hicho chama.
Mnyika akitaka kulinda Heshima yake asepe maana mbowe kavuta mpunga na Salum mwalimu wapo kitu kimoja na hao wanandungai pamoja yeye kazingukwaHakuna mbunge yoyote yule atakaefutwa uanachama. Ila Kuna uwezekano mkubwa wa mnyika kujiudhuru.
Kwenye Dili la ununuzi huo wa wakike 19’tokea chadema Ndungai kala 10% kubwa hakuna fursa isiyowanufaisha wajanja huko CCMNgudai augue tena na asipone
Bila upinzani Bungeni mbuzi jike hapewi pesa na BeberuWalisema awataki wapinzani bungeni kulikoni. Yote ni uroho wa pesa ya mabeberu
Kuwafukuza akina mdee haiwezi kuyumbisha chadema bali itaiwezesha chadema kuheshimika zaidi DunianiWale wabunge 8 wa cuf waliofukuzwa na lipumba je?
Wakawe hivyo hivyoHuko kunaitwa kubaka demokrasia
Hawa wasichana watakuwa wamepigwa mpunga wa maana.Spika wa bunge Job Ndugai amemtaka katibu mkuu wa CHADEMA akajifunze namna ya kuwa katibu mkuu kwa Bashiru Ally ambaye ni Katibu Mkuu wa CCM.
Ndugai amesema kitendo cha Mnyika kuwasema hadharani, kuwahukumu na kuwashutumu wabunge wa viti maalum kwenye vyombo vya habari inaonesha wazi Mnyika hafai kuwa Katibu Mkuu.
Ndugai ameshauri mambo kama hayo huongelewa kwenye vikao vya ndani na kisha katibu mkuu hutoka na taarifa za kikao na kuwaambia wananchi sio kupayuka hadharani.
Sambamba na hilo Ndugai amesema kwamba yeye majina hayo kumi na Tisa(19) ya viti maalumu ya CHADEMA amepewa na Tume ya uchaguzi yeye kazi yake ni kuwaapisha tu Wabunge hao na ameshafanya hivyo. Na ameapa kuwalinda Wabunge hao hivyo amewataka wawe na imani kabisa.
Source: TBC ARIDHIO.
Naichukia. Ccm pia namchukia Ndugai lakini kwa hili namuunga mkono Ndugai. Mnyika amekuwa kama mwenezi wa Chadema na sio katibu mkuu. Niliwahi kushauri hapa aache kuwanufaisha maadai kwa kuongea kwenye vyombo vya habari kila jambo. Hiyo kazi aachiwe mwenezi.Spika wa bunge Job Ndugai amemtaka katibu mkuu wa CHADEMA akajifunze namna ya kuwa katibu mkuu kwa Bashiru Ally ambaye ni Katibu Mkuu wa CCM.
Ndugai amesema kitendo cha Mnyika kuwasema hadharani, kuwahukumu na kuwashutumu wabunge wa viti maalum kwenye vyombo vya habari inaonesha wazi Mnyika hafai kuwa Katibu Mkuu.
Ndugai ameshauri mambo kama hayo huongelewa kwenye vikao vya ndani na kisha katibu mkuu hutoka na taarifa za kikao na kuwaambia wananchi sio kupayuka hadharani.
Sambamba na hilo Ndugai amesema kwamba yeye majina hayo kumi na Tisa(19) ya viti maalumu ya CHADEMA amepewa na Tume ya uchaguzi yeye kazi yake ni kuwaapisha tu Wabunge hao na ameshafanya hivyo. Na ameapa kuwalinda Wabunge hao hivyo amewataka wawe na imani kabisa.
Source: TBC ARIDHIO.
Mbinu za kumaliza mchezo.Huoni kuwa tokea sakata la Mdee na wenzake limewaondoa Chadema kwa muda kwenye hoja yao ya msingi uchaguzi usio kuwa huru na haki?Nawe ukaamini huo upendo mpya WA GHAFLA waliyonao wachawi wa CHADEMA.
Mwajidanganya sana.Mbinu za kumaliza mchezo.Huoni kuwa tokea sakata la Mdee na wenzake limewaondoa Chadema kwa muda kwenye hoja yao ya msingi uchaguzi usio kuwa huru na haki?
Chadema kwa kutolitambua hilo wao wanaanika kila jambo hadharani, na kila kikundi kimegeuka msemaji. Hawana siri, hawana uvumilivu ni kinyume cha mbinu za medani.
Sasa mnaitana Covid-19,watumwa wa Ndugai,wasaliti,wachumia tumboni n.k hata kabla ya maamuzi ya kamati kuu.
Wabaya wenu wamewachezesha SINGELI nanyi mmeingia kichwa kichwa mtavuna mabua.
Mwajidanganya sana.Mbinu za kumaliza mchezo.Huoni kuwa tokea sakata la Mdee na wenzake limewaondoa Chadema kwa muda kwenye hoja yao ya msingi uchaguzi usio kuwa huru na haki?
Chadema kwa kutolitambua hilo wao wanaanika kila jambo hadharani, na kila kikundi kimegeuka msemaji. Hawana siri, hawana uvumilivu ni kinyume cha mbinu za medani.
Sasa mnaitana Covid-19,watumwa wa Ndugai,wasaliti,wachumia tumboni n.k hata kabla ya maamuzi ya kamati kuu.
Wabaya wenu wamewachezesha SINGELI nanyi mmeingia kichwa kichwa mtavuna mabua.
Afadhali wewe umeweka mihemuko pembeni na umeutambua ukweli,ingawa mara zote imekuwa upande wa CHADEMA hapa jukwaani.Wengine wamekaa ushabiki kiasi Kwamba hawaelewi picha linavyoenda.Mnyika akitaka kulinda Heshima yake asepe maana mbowe kavuta mpunga na Salum mwalimu wapo kitu kimoja na hao wanandungai pamoja yeye kazingukwa
Sibishani na na wewe bwanamdogo.Usisahau kuwa mwenye hela ni mume wa mama yako,niheshimu bwana mdogo..!
Chadema ipo ICU mda wowote inafariki ghafra endapo itawakumbatia mdee aliyeonyesha dharau kubwa kwa katibu mkuu na Lisu, kuendelea kuilea dharau za mdee ni kuizika chadema
True pesa wanazitaka na upinzani awautaki unakwamisha maendeleo wapo njiapanda.Ila beberu atoi pesa zake anaijua michezo yao.Bila upinzani Bungeni mbuzi jike hapewi pesa na Beberu
Masikini hawezi kuwa kiongozi bora lzm aumize watuMkuu hao hawana maarifa wala maono. Jiulize kama kiongozi wao ni jiwe hapo unadhani kipi kingetokea zaidi ya kilichotokea. Amini nakwambia kamwe maskini au mtu mshamba hawezi kukuongoza kwenda kwenye neema au maendeleo.