Spika Ndugai: Nitawalinda wabunge wa Viti Maalumu CHADEMA kwa nguvu zote, Mnyika akajifunze kwa Dkt. Bashiru kazi za Katibu Mkuu

Spika Ndugai: Nitawalinda wabunge wa Viti Maalumu CHADEMA kwa nguvu zote, Mnyika akajifunze kwa Dkt. Bashiru kazi za Katibu Mkuu

Shida yao waliiba kupita kiasi hata Kama awakuwataka chadema wakongwe wangewaingiza hata chadema wapya wasio na majina angalau 40 hivi hii tabu ya vitu maalumu wasingeipata
Mkuu hao hawana maarifa wala maono. Jiulize kama kiongozi wao ni jiwe hapo unadhani kipi kingetokea zaidi ya kilichotokea. Amini nakwambia kamwe maskini au mtu mshamba hawezi kukuongoza kwenda kwenye neema au maendeleo.
 
Waambieni upuuzi wanaofanya umechosha,watumishi wanahitaji stahiki zao.Na si fedha zitumike kuwanunua wakina Mdee.
 
Ana haki ya kuwalinda..kumbuka huyu ndio bosi wao na ndio anawalipa mshahara..chadema haiwalipi hawa ila wao ndio wanailipa, chadema haikuwalipia kadi za uanachama wala ada.
Mimi sio saizi yako........
 
Waambieni upuuzi wanaofanya umechosha,watumishi wanahitaji stahiki zao.Na si fedha zitumike kuwanunua wakina Mdee.
 
Ni kwann serikali inailazimishia chadema ruzuku? Wawaache wakose pesa za kuendeshea chama ili chadema ife!
 
bora hilo suala kina mdee wangeweka mezani sisi wananchi tukawachangia kwa moyo wapate mitaji wafanye biashara kwa hii miaka mita5 kama waliona hawawezi kuvumilia ila kwenda bungeni wameharibu sana hapo maccm yameshapata pa kutokea yan inahuzunisha sana.
 
Kwa haya yanayotrend kisiasa, wengi tumegundua kuwa , hakuna bunge bila upinzani. Ndyo maana Serikali imeamua kutumia resources zozote kuhakikisha bunge halikosi wapinzani kabisa.

Kauli ya ndugai kuwa atawalinda covid 19 kwa nguvu zote imetuonesha kuwa hawa covid 19 ni zaidi ya wabunge 100 wa ccm.

Tanzania hakuna siasa tena!
Ndy tunapojiuliza je hili hawakulijua toka kwenye uchaguzi ule?

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Kwa haya yanayotrend kisiasa, wengi tumegundua kuwa , hakuna bunge bila upinzani. Ndyo maana Serikali imeamua kutumia resources zozote kuhakikisha bunge halikosi wapinzani kabisa.

Kauli ya ndugai kuwa atawalinda covid 19 kwa nguvu zote imetuonesha kuwa hawa covid 19 ni zaidi ya wabunge 100 wa ccm.

Tanzania hakuna siasa tena!
Tunaongozwa na very short sighted individuals,angalia tulivyoshughulikia corona,angalia tulivyoshughulikia swala la Lissu kupigwa risasi na angalia tunavyoshugulikia tunavyoshughulikia changamoto za uchaguzi,is like hata sheria tulizotunga wenyewe hatuzijui
 
Ila sidhani kama Mnyika kamwelewa. Mnyika kupayuka hadharani bila kujuwa msimamo wa wakubwa wake ukoje na maamuzi ya vikao vya juu yatakuwaje ni kupwaya kwenye wadhifa wake wa katibu mkuu. Aliyoyasema yalipaswa kusemwa na katibu mwenezi au mwenyekiti mwenyewe ambao nao ingalikuwa ngumu kusema hayo kabla ya maamuzi ya vikao vya chama.

Kama kamati kuu ya chama itaamua kinyume na alichokisema, Mnyika atapaswa kujiuzuru ukatibu mkuu.
Mnyika hajitambui
 
Ingawa mimi sio mwanasiasa naomba niwaambie Chadema....kama kweli hawa wadada hawakuwa na baraka zenu nirudie tena hawakuwa na baraka zenu....wafukuzeni haraka sana tena sana...ili mlinde chama na imani ya wanachama wenu.
Nchi hii ilipofikia mtu maarufu ni mmoja tu..Rais...hawa wengine hata wabunge wa CCM hawana kitu.
Kila la kheri.
 
Spika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote.

Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu na kuwafokea kupitia vyombo vya habari.

Spika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.


Chanzo: TBC Aridhio

Maendeleo hayana vyama!

NOTE: Ilishadokezwa tangu juzi kuwa Ndugai ana mkakati huo > Ofisi ya Spika ‘kuwalinda’ wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA - Imevuja!

Wakike 19 wanandungai sasa ni sehemu ya familia ya CCM bora wapewe kadi za CCM ijulikane moja kuliko kuzuga kuwa ni wa chadema wakati ni CCM moyoni
 
Ndugai anapaswa akajifunze kwa Mama Anna Makinda au Msekwa maana bunge chini ya Ndugai limekuwa kama kijiwe cha kahawa, limepwaya!
Ukumbuke Anna Makind na msekwa waliongoza chini ya Marais gani

Ndugai Yuko Katika uongoz was magu na magu hataki ujinga was kuonekana aibu
 
Back
Top Bottom