Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Hivi CDM wakiwafukuza Uanachama akina Mdee na wenzake,je wataendelea kuwa na sifa ya Ubunge viti maalumu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanihao wabunge wameitwa kwa barua? Au ndo mambo yakuitana kupitia mitandao?Kama kawaida yao anaweza kutumwa mamboleo kudai huu mkutano hauna kibali kuuzuia kufanyika.
Lini wonders ziliwahi kwisha udanganyikani?
Poa tuSpika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote.
Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu na kuwafokea kupitia vyombo vya habari.
Spika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.
Chanzo: TBC Aridhio
Maendeleo hayana vyama!
NOTE: Ilishadokezwa tangu juzi kuwa Ndugai ana mkakati huo > Ofisi ya Spika ‘kuwalinda’ wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA - Imevuja!
Yawezekana yuko nduki kila wakati, kumbuka jamaa hana mzaha na faru john...CHADEMA wanashindwa kumuuliza mlevi wa konyagi kulikoni?
Spika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote.
Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu na kuwafokea kupitia vyombo vya habari.
Spika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.
Chanzo: TBC Aridhio
Maendeleo hayana vyama!
NOTE: Ilishadokezwa tangu juzi kuwa Ndugai ana mkakati huo > Ofisi ya Spika ‘kuwalinda’ wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA - Imevuja!
Hakuna kitu ni kutapatapa tu kwa CCM imesha feli , ilivyopitisha wabunge wa CCM tupu kwa kishindo haikufikiria hili au ni kukurupuka tu kama mnavyokurupukaga acheni ushenzi mmesha kwama baada ya kuona hamna pinzani hivyo misaada itafungwa ndio mnatafuta wizi wenu.Spika Ndugai ametoa ufafanuzi mzuri sana!
Kwa kauli ya spika sasa naanza kuamini aliyoyaongea joniCCM hainunui watu bwashee!
Kuna kikao chochote cha kamati kilikaa kupitisha hilo?Acha upuuzi wako wewe. Raisi/mwenyekiti wa yanga akisema tutaishangilia simba jumamosi mpaka pawe na kikao???? Kuna tofauti gani kati ya hilo na Lisu aliposema tunamuunga mkono swift?? Ulisoma shule gani wewe? Hujui hata comparison??
Tulia dawa ikuingie vizuri!Kwa hiyo unataka kusemaje wewe zombi?
Spika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote.
Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu na kuwafokea kupitia vyombo vya habari.
Spika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.
Chanzo: TBC Aridhio
Maendeleo hayana vyama!
NOTE: Ilishadokezwa tangu juzi kuwa Ndugai ana mkakati huo > Ofisi ya Spika ‘kuwalinda’ wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA - Imevuja!
Spika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote.
Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu na kuwafokea kupitia vyombo vya habari.
Spika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.
Chanzo: TBC Aridhio
Maendeleo hayana vyama!
NOTE: Ilishadokezwa tangu juzi gkuwa Ndugai ana mkakati huo > Ofisi ya Spika ‘kuwalinda’ wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA - Imevuja!
Waingie CCM huko hukoShetani anazidi kujifunua. Hana hoja, akawalinde tu wabunge 'wake' kama alivyopanga ila itazidi kuwa ngumu.
Shida ni utaratibu uliotumika kuwaingiza bungeni,kila kitu kinakiwa utaratibu.Sioni tatzo la hawa watu kuingia bungeni cause tokea mwanzo chadema ilitaka wawe wabunge!
Wanahitajika kivipi na wakati wana kwamisha maendeleo?Kwa haya yanayotrend kisiasa, wengi tumegundua kuwa , hakuna bunge bila upinzani. Ndyo maana Serikali imeamua kutumia resources zozote kuhakikisha bunge halikosi wapinzani kabisa.
Kauli ya ndugai kuwa atawalinda covid 19 kwa nguvu zote imetuonesha kuwa hawa covid 19 ni zaidi ya wabunge 100 wa ccm.
Tanzania hakuna siasa tena!