Spika Ndugai: Nitawalinda wabunge wa Viti Maalumu CHADEMA kwa nguvu zote, Mnyika akajifunze kwa Dkt. Bashiru kazi za Katibu Mkuu

Spika Ndugai: Nitawalinda wabunge wa Viti Maalumu CHADEMA kwa nguvu zote, Mnyika akajifunze kwa Dkt. Bashiru kazi za Katibu Mkuu

Hivi CDM wakiwafukuza Uanachama akina Mdee na wenzake,je wataendelea kuwa na sifa ya Ubunge viti maalumu?
 
Kama kawaida yao anaweza kutumwa mamboleo kudai huu mkutano hauna kibali kuuzuia kufanyika.

Lini wonders ziliwahi kwisha udanganyikani?
Kwanihao wabunge wameitwa kwa barua? Au ndo mambo yakuitana kupitia mitandao?
 
Spika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote.

Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu na kuwafokea kupitia vyombo vya habari.

Spika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.

Chanzo: TBC Aridhio

Maendeleo hayana vyama!

NOTE: Ilishadokezwa tangu juzi kuwa Ndugai ana mkakati huo > Ofisi ya Spika ‘kuwalinda’ wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA - Imevuja!
Poa tu
 
Spika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote.

Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu na kuwafokea kupitia vyombo vya habari.

Spika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.

Chanzo: TBC Aridhio

Maendeleo hayana vyama!

NOTE: Ilishadokezwa tangu juzi kuwa Ndugai ana mkakati huo > Ofisi ya Spika ‘kuwalinda’ wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA - Imevuja!

Sawa. Kwa kuwa yeye yuko juu ya sheria za nchi na hashitakiwi. Watabaki kuwa wabunge wake bila chama. Hongera kwake.
 
Spika Ndugai ametoa ufafanuzi mzuri sana!
Hakuna kitu ni kutapatapa tu kwa CCM imesha feli , ilivyopitisha wabunge wa CCM tupu kwa kishindo haikufikiria hili au ni kukurupuka tu kama mnavyokurupukaga acheni ushenzi mmesha kwama baada ya kuona hamna pinzani hivyo misaada itafungwa ndio mnatafuta wizi wenu.
 
Acha upuuzi wako wewe. Raisi/mwenyekiti wa yanga akisema tutaishangilia simba jumamosi mpaka pawe na kikao???? Kuna tofauti gani kati ya hilo na Lisu aliposema tunamuunga mkono swift?? Ulisoma shule gani wewe? Hujui hata comparison??
Kuna kikao chochote cha kamati kilikaa kupitisha hilo?

Kumbe huko chadema kiongozi anaweza kusimama popote na kusema lolote kiushabiki tu kama zilivyo timu za simba na yanga?
 
Spika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote.

Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu na kuwafokea kupitia vyombo vya habari.

Spika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.

Chanzo: TBC Aridhio

Maendeleo hayana vyama!

NOTE: Ilishadokezwa tangu juzi kuwa Ndugai ana mkakati huo > Ofisi ya Spika ‘kuwalinda’ wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA - Imevuja!

Wabaki kuwa wabunge wa Ndugai lakini siyo wa CHADEMA
 
Spika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote.

Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu na kuwafokea kupitia vyombo vya habari.

Spika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.

Chanzo: TBC Aridhio

Maendeleo hayana vyama!

NOTE: Ilishadokezwa tangu juzi gkuwa Ndugai ana mkakati huo > Ofisi ya Spika ‘kuwalinda’ wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA - Imevuja!

Huyu ARV zimeanza kumuathiri kichwani
 
Mzee ndugai jana alikuwa akitoa kauli hizo kupitia katika kituo cha TBC mubashara akiwa amekaa kwenye kochi au sofa kubwa huku akibadilisha mikao. Ndugai alikuwa akiongea kwa upole sana kama padri hivi huku maneno yake yakiwa makali sana, Mh. alitumia muda mwingi kuwa tambua na kuwa bariki wabunge 19 wa Chadema ambao tayari alikwisha waapisha bungeni.

Mzee ndugai akaenda mbali zaidi na kumwambia John Mnyika kuwa ajifunze kwa akina Dr Bashiru katibu mkuu wa CCM, maana kule si kuwaita watu kwa kuhojiwa yeye anaongea tayari anamajibu tayari na kutoa mfano kuwa ni kuitwa katika tundu la simba hivyo hawawezi kwenda
 
Kwa haya yanayotrend kisiasa, wengi tumegundua kuwa , hakuna bunge bila upinzani. Ndyo maana Serikali imeamua kutumia resources zozote kuhakikisha bunge halikosi wapinzani kabisa.

Kauli ya ndugai kuwa atawalinda covid 19 kwa nguvu zote imetuonesha kuwa hawa covid 19 ni zaidi ya wabunge 100 wa ccm.

Tanzania hakuna siasa tena!
 
Kwa haya yanayotrend kisiasa, wengi tumegundua kuwa , hakuna bunge bila upinzani. Ndyo maana Serikali imeamua kutumia resources zozote kuhakikisha bunge halikosi wapinzani kabisa.

Kauli ya ndugai kuwa atawalinda covid 19 kwa nguvu zote imetuonesha kuwa hawa covid 19 ni zaidi ya wabunge 100 wa ccm.

Tanzania hakuna siasa tena!
Wanahitajika kivipi na wakati wana kwamisha maendeleo?
 
Back
Top Bottom