Spika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote.
Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu na kuwafokea kupitia vyombo vya habari.
Spika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.
Chanzo: TBC Aridhio
Maendeleo hayana vyama!
NOTE: Ilishadokezwa tangu juzi kuwa Ndugai ana mkakati huo > Ofisi ya Spika ‘kuwalinda’ wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA - Imevuja!
Tatizo naliona tz kwa macho ya kiroho zaidi,
Kila mtu kutaka ugangwe, kwa nafasi aliyonayo, na ndo shida kubwa kwa Sasa tz inaota mizizi
Let me be clear, ukatae au ukubali,tz hakuna aliejuu ya TAIFA iwe leo ,kesho au kesho kutwa,tuwe hai ,au tusiwe hai,
Mzee wa upako ,niliwai ona clip yake akionya,kwamba akiwambia watu msifanye hivi,mtaleta tabu katika TAIFA ikiwa ni pamoja na machafuko,mnasema amekunywa konyagi,na alipenda mbali zahidi, akisema hacheni kuzarau kazi za watu,hivi kote zinapouzwa konyagi natengeneza Mimi,??
Hatutaki sikia,tunakua wazito kipokea USHAURI wa watu tofauti, na kuwabeza, tutalia wote,tutaumia wote bila kujali,we una nafasi gani, cheo gani, TENGENEZA TZ KWA VITUKUU NA VITUKUU ,JAMANI TZ NI KUBWA NA ZAHIDI YA MATAKWA YETU