Spika Ndugai: Nitawalinda wabunge wa Viti Maalumu CHADEMA kwa nguvu zote, Mnyika akajifunze kwa Dkt. Bashiru kazi za Katibu Mkuu

Kweli Mkuu.Hiki Chama kimejaa wahuni nakumbuka maneno ya Dr Slaa
 
Haahaa kituko, Kama watalazimisha kuendelea kubaki wabunge wajiandae kulindwa na ndugai
 
Ila sio kuwafuta ubunge kizembezembe.,kama ambavyo nyumbu wengi wanatarajia.
 
Ndugai hajawahi kukosea kucheza mchezo huu wa siasa za tiki taka, 😅😅💚💛 Na CHADEMA wakiendelea kufoka foka, Ndugai anawapiga doba alafu anawafunga..!! 😂 Waiter njoo huku, mpe Ndugai Black Label kubwa moja plz..
 
Mmeacha kuifanya Tanzania kua kama Toronto mnaanza kuwalinda akina mdee
Wameshindwa kulinda rasimali za nchi kwa manufaa ya watanzania wote wamebakia kulinda wasaliti.

Magufuli aliwahi kusema kwenye vita wasaliti wanatandikwa mvua ya risasi za moto.
 
Swala la chadema kuita wanachama wao linawahusu yeye lamuhusu nn
Kwani ameingilia wito wao? Au labda amewazui kuitikia wito wa chama chao?
Ukumbuke tu kuwa, kwasasa wale si wanachama wa CHADEMA tu,bali pia Wabunge wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tz, sioni kosa la ndugai kama spika kuzungumzia wabunge ambao ni sehemu ya bunge lake.
 
Kwani Kila mbunge akiguswa ndugai lazima azungumze? Haha mapenzi ya ndugai kwa halima na bulaya yameanza lini?
 
Ila kodi za wananchi zinatumika vibaya katika awamu hii ,kila nikikumbuka namna Nasrat Hanje alivyotoka gerezani naikumbuka story ya Paulo na Sila,Maaskari magereza wameachwa solemba na madeni yao wanayoidai serikali narudia kusema katika watu wana laana nchi hii ni maaskari wa aina zote, sio Polisi sio Jwtz sio magereza sio Uhamiaji sio fire,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…