Spika Ndugai: Nitawalinda wabunge wa Viti Maalumu CHADEMA kwa nguvu zote, Mnyika akajifunze kwa Dkt. Bashiru kazi za Katibu Mkuu

Spika Ndugai: Nitawalinda wabunge wa Viti Maalumu CHADEMA kwa nguvu zote, Mnyika akajifunze kwa Dkt. Bashiru kazi za Katibu Mkuu

Mabeberu hawatoi $900m mjipange tena...hao covid -19 wanafukuzwa kesho mchana kweupee..Mwamba sio wa mchezo mchezo
 
Spika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote.

Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu na kuwafokea kupitia vyombo vya habari.

Spika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.

Chanzo: TBC Aridhio

Maendeleo hayana vyama!

NOTE: Ilishadokezwa tangu juzi kuwa Ndugai ana mkakati huo > Ofisi ya Spika ‘kuwalinda’ wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA - Imevuja!
Hiyo nguvu angetumia kuzuia kukatwa vidole vyake vya miguuni na kula mbolea kuongeza cd4 zake,[emoji16][emoji16]spika mjinga kuwahi tokea duniani,ccm mwenye akili timamu ni kabudi[emoji16][emoji16]
 
AG kasema mchakato wote ni halali kwa mujibu wa katiba na sheria!
Hivi mchakato wote unawezaje kuwa halali, wakati Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, ambaye ni lazima azijaze hizo form, zinazopokelewa na Bunge, amesema wazi kuwa yeye hajazijaza hizo form?

Nyinyi maccm ndiyo mnaotaka kuiendesha hii nchi namna mnavyotaka nyiye na wala si kwa mujibu wa sheria za nchi hii!
 
Ila sidhani kama Mnyika kamwelewa. Mnyika kupayuka hadharani bila kujuwa msimamo wa wakubwa wake ukoje na maamuzi ya vikao vya juu yatakuwaje ni kupwaya kwenye wadhifa wake wa katibu mkuu. Aliyoyasema yalipaswa kusemwa na katibu mwenezi au mwenyekiti mwenyewe ambao nao ingalikuwa ngumu kusema hayo kabla ya maamuzi ya vikao vya chama.

Kama kamati kuu ya chama itaamua kinyume na alichokisema, Mnyika atapaswa kujiuzuru ukatibu mkuu.
Nadhani wewe/nyie ndo hajamwelewa Mnyika.
Ni kwamba yuko tayari kwa lolote hata kujiuzulu kama maamuzi ya Kamati Kuu yataungana na hao wasaliti.
Hayuko tayari kudhalilishwa.
Ndugai anajulikana kuwa ni msaka tonge. Kama walivyo wengine katika awamu hii, yuko tayari kupindisha lolote ili kulinda 'upendo' wa Jiwe. Hakuna kosa kubwa duniani kama kusikiliza aina hizo za watu. Utajikuta ni wa kuyumbishwa tu.
 
Kwani Kila mbunge akiguswa ndugai lazima azungumze? Haha mapenzi ya ndugai kwa halima na bulaya yameanza lini?
Usiishi kwa kukariri , hayo ni mapenzi kwa wabunge wakekwa mujibu wa sheria .Kwahiyo mihemko yenu binafsi ikae kando kidogo.
 
Ndugai ni mpuuzi tu...sawa amepewa na tume ya uchaguzi..akubali kupkea barua za kuvuliwa uanachama..

Ama kuwalinda ni kutokutambua barua rasmi za chama kufukuza uanachama wa hao wasaliti.

Huyu mzee atakuwa hana akili sawa sawa. Akubali tu kulala bila ch**p akiolewa. Sio akichepuka anajifanya haelewi.
 
Tofautisha mtendaji mkuu na msemaji mkuu wa tasisi. Ulishaona wapi kwa mfano katibu mkuu wa wizara akawa ndiyo msemaji mkuu wa wizara? Kipi kitampata kama atakayoyasema siyo msimamo wa wizara yake au waziri wake?

Mnyika anafanya uanaharakati badala ya ukatibu mkuu. Ndiyo maana wahusika wamemunyamazia. Kesho ataona mziki wake. Akina Mdee, Matiko na Bulaya siyo watu wadogo kwenye hicho chama. Wana uwezo wa kuendesha mapinduzi kwenye hicho chama.
Mnyika kaongea kuhusu procedural illegularities mfano kutokuwepo kwa kikao cha kamati kuu ambacho kimependekeza majina, Wahusika(wabunge wanawake) kutopitisha form namba 8D kwa katibu mkuu, Time kutokutangaza kwenye Gvt gazette majina,kughushi saini na mihuri ya CDM
Yaani mdee,matiko na bulaya wafanye mapinduzi? Unawajua wajumbe wa kamati kuu wote lakini?
 
Tofautisha mtendaji mkuu na msemaji mkuu wa tasisi. Ulishaona wapi kwa mfano katibu mkuu wa wizara akawa ndiyo msemaji mkuu wa wizara? Kipi kitampata kama atakayoyasema siyo msimamo wa wizara yake au waziri wake?

Mnyika anafanya uanaharakati badala ya ukatibu mkuu. Ndiyo maana wahusika wamemunyamazia. Kesho ataona mziki wake. Akina Mdee, Matiko na Bulaya siyo watu wadogo kwenye hicho chama. Wana uwezo wa kuendesha mapinduzi kwenye hicho chama.
Mambo yote ya msingi kiutendaji huwa yanatolewa taarifa na Katibu Mkuu. Hauoni Msemaji Mkuu wa serikali ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari.
Hamna aliye mkubwa kuliko wanachama na mpaka sasa wenyeviti na viongozi wengi wa BAWACHA wamewakana. Sasa hayo mapinduzi watamfanyia nani? Mnyika avuliwe cheo? Mbowe ananyang'anywe uenyekiti? Watakachoweza kufanya ni kujaribu kupata wanachama wengi waungane nao. Sijui watawatoa wapi maana hata BAVICHA imewakana. Watakachoweza ni kupata wanachama mamluki ambao watakuwa tayari kusimama nao lakini sio kufa nao.

Amandla...
 
Hayo sio mambo ya CHADEMA tu,katika hilo sakata bunge linahusika moja kwa moja, hivyo yeye kama spika anayomamlaka ya kusema kitu.
Nchi zote omba omba duniani zina mtindo wa siasa unao fanana.
Hapa ndo utajua kwa nini ni maskini na tegemezi. Tanzania,Uganda,Congo, C.A.R, BUKINAFASO,BAGLADESH,IV COAST,Zimbabwe,Burundi...sudan.... zote zinafanana kisiasa Tawala za kiimla
 
Mabeberu hawatoi $900m mjipange tena...hao covid -19 wanafukuzwa kesho mchana kweupee..Mwamba sio wa mchezo mchezo
Mwamba gani? Huyuhuyu mnywa konyagi, alienipokea Lowassa kutoka CCM 2015?
[emoji23][emoji23]
 
Nadhani wewe/nyie ndo hajamwelewa Mnyika.
Ni kwamba yuko tayari kwa lolote hata kujiuzulu kama maamuzi ya Kamati Kuu yataungana na hao wasaliti.
Hayuko tayari kudhalilishwa.
Ndugai anajulikana kuwa ni msaka tonge. Kama walivyo wengine katika awamu hii, yuko tayari kupindisha lolote ili kulinda 'upendo' wa Jiwe. Hakuna kosa kubwa duniani kama kusikiliza aina hizo za watu. Utajikuta ni wa kuyumbishwa tu.
Umeisoma hiyo barua kutoka BAWACHA?
Mnyika ajiandae kujiuzuru ukatibu mkuu kesho. Akajiunge na Tundu Lissu huko Ubeligiji kuendelea na uanaharakati. Siasa haziwezi. Anaweza uanaharakati tu kama wa akina Maria Sarungi, Fatuma Karume, Tundu Lissu, Jenerali Ulimwengu na kadhalika.
 
Spika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote.

Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu na kuwafokea kupitia vyombo vya habari.

Spika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.

Chanzo: TBC Aridhio

Maendeleo hayana vyama!

NOTE: Ilishadokezwa tangu juzi kuwa Ndugai ana mkakati huo > Ofisi ya Spika ‘kuwalinda’ wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA - Imevuja!

Sisi wananchi rafiki zetu wazungu wanatuelewa sana. Huo ndiyo uzuri wake!
 
Back
Top Bottom