Tazama kwa jicho lililo kwenye paji la usoHii kauli ya Spika wa bunge mh Ndugai inafikirisha sana.
Hao nyani wanaofurahia kifo cha hayati Magufuli ni akina nani?
Je, ni Ufipa?
Na kwanini mwakani watakosa chakula?
Hata hivyo Ndugai amesema wanaoshangilia wanajidanganya Tanzania haitarejea kuwa shamba la bibi kamwe.
Maendeleo hayana vyama!
That's a phrase you fool, yaani hii sentensi mmeitafsiri neno kwa neno na wala hamjahangaisha bongo zenu au yawezekana ndio uwezo wenu umefika mwisho...chekecha akili wewe mtu mzima, acha kuaibisha utu uzima...Kauli za kijinga toka kwa wajinga...
Nyani wana akili sana... Hawategemeii mahindi pekee.
Uzuri mwingine ni kuwa hata kabla ya mkulima wa mahindi nyani walikuwepo...
Lakini nahisi atakuwa anawasema manyani walozoea vya kubebwa bebwa (kupewa pewa) kama yeye... Na hasa wabunge na mawaziri manyani...
Wenye akili wanakuona unavyojiingiza kwenye kundi lao kwa nguvu. Nimekuuliza hao uliowataja walipata nini kwa Magufuli ili mwakani wajute baada ya kifo chake? Jibu hilo ili watu waijue akili yako. Au wewe ndo Ndugai?Wapi nimesema ndugai ndio kaanzisha huo msemo? Wewe ni kubwa jinga mkuu.
Unataka kuniambia mpaka huo msemo ndugai kausema tu hajaanisha kitu hata kwa mawqzo yake?
pia unathibitisha ulivyo mpvmbavu maana umetafsiri hayo maneno literally....poor you!
Haifikirishi kabisa. Maana yake ni kwamba mkulima aliyerithi shamba hawezi kuzalisha mazao, nyani watakosa pa kula lakini pia watoto wa mkulima huyu mrithi watakosa pa kulaSpika Ndugai: Nyani wanashangilia kifo cha mkulima wa mahindi wanasahau mwakani hawana pa kula!
Hii kauli ya Spika wa bunge mh Ndugai inafikirisha sana.
Yako itafika lini au unafikiri umekuja kuilinda duniaNaye zamu yake itafika ni muda tu!
Nyani ni kitendawili!Huyu mzee anashida sehem
Kwa hiyo sisisem wenzake ndiyo nyani??
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ushauri wa bure kwa ndugai,watu hawakupendi hata ccm wenzako kaa kimya kua mpole,huna hakika anayefata ni nani...Hii kauli ya Spika wa bunge mh Ndugai inafikirisha sana.
Hao nyani wanaofurahia kifo cha hayati Magufuli ni akina nani?
Je, ni Ufipa?
Na kwanini mwakani watakosa chakula?
Hata hivyo Ndugai amesema wanaoshangilia wanajidanganya Tanzania haitarejea kuwa shamba la bibi kamwe.
Maendeleo hayana vyama!
========================
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amewashukia watu wanaofurahia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Magufuli (61), kilichotokea Jumatano ya tarehe 17 Machi 2021.
Kiongozi huyo wa mhimili wa bunge, amewashukia watu hao leo Jumatatu tarehe 22 Machi 2021, wakati mwili wa Hayati Rais Magufuli ukiagwa na wabunge kwenye viwanja vya bunge jijini Dodoma.
Hayati Magufuli amefariki dunia katika Hospitali ya Mzena, mkoani Dar es Salaam, alikokuwa anapatiwa matibabu ya matatizo ya mfumo wa umeme wa moyo.
Akizungumzia kifo hicho, Spika Ndugai amewafananisha watu hao na nyani waliofurahia kifo cha mwenye shamba la mahindi, ambaye alikuwa anawazuia kula mahindi yake.
“Sasa iko hadithi ya wale nyani walioshambulia shamba la mkulima kwenye mahindi, wakifurahi sana mahindi yanapokuwa yanaiva wanavuna wanakula, walipopata habari mwenye shamba amefariki wale nyani walifurahi sana.”
“Naamini katika nchi yetu manyani wa namna hii hawakosekani, lakini wakasahau mwaka uliofika wakati mahindi kuiva wakarudi shambani kula mahindi wakasahau mwenye shamba alifariki mwaka jana wakawa wanasikitika,” amesimulia Spika Ndugai.
Spika Ndugai ameshauri Watanzania, wasiwe kama ngedere hao kwa kutofanya mambo mabaya ambayo hayati Rais Magufuli aliyakat
Sijibu swali la kijinga toka kwa mjinga. Wewe jifikirishe, tafsiri yako ninkuwa walipewa hela au kunufaika moja kwa moja?Wenye akili wanakuona unavyojiingiza kwenye kundi lao kwa nguvu. Nimekuuliza hao uliowataja walipata nini kwa Magufuli ili mwakani wajute baada ya kifo chake? Jibu hilo ili watu waijue akili yako. Au wewe ndo Ndugai?
Duh, hadi adande sele😀😀😀Nakala kwa Chalamila,ndugai, bashite,musiba,sabaya,Afande sele, waitara,Kessy, nkamia,sanga,waunga juhudi, watoto wa dada na wanufaika wote.
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu.
Hajasema nyani ni nani!Ushauri wa bure kwa ndugai,watu hawakupendi hata ccm wenzako kaa kimya kua mpole,huna hakika anayefata ni nani...
wenye vyeti feki naona mnaumuka ila wembe ni ule uleKwa hiyo hatazikwa wala kunuka na kuoza?
Huyo Jamaa lazima karma imchape maana ule unyama kwa lissu alihusika kwa kiasi kikubwa sanaMjinga tu huyo.. alikuwa anategemea amuongezee jamaa yake muda wa kutawala Mungu akamfyekelea mbali. Sasa kwa ubaya aliomtendea Tundu Lissu kumfukuza kama mbwa na kumyima stahiki zake.. Karma inamfata yeye, sasa zamu yake na yeye..