Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

ANAPULIA KINYESI PAFYUMUUU!!? Kwahiyo alikuwa na maana yelusalemu ndiyo itauzwa kwa madeni kwasababu mke wa yesu anatoka huko?
 
Stupid Zake anataka kushindana na Rais? Atapotea?
 
Nimeshangaa sana kuona spika hajui maana ya kutoka hadharan na kuomba msamaha tena ukitumia media. Anashambulia waliomkosoa then anataka awaforce wakosoaji wake wajue km hakukosea at the same time,anawasihi wamsamehe😄
Nadhan ilimstahil kumwendea Mh. Rais na amuombe msamaha kimya kimya, na si km hivi amefanya leo.

Binafs nimesikia neno samahan,lkn sijasikia au hata body language yake kumwonyesha km ALIMAANISHA watu wamsamehe!
Useme "nimekosa sn,nimekosa mimi" na palepale useme hao waliokukosoa ni "Watoto wadogo hawajui kitu"..how!!?
Mh.Spika umejitoa damu puani mwenyewe boss wangu!
 
Pumbavu zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…