Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Watakuwa ni wa kuanzisha uzi kila kukicha ili wapate kuungwa mkono wakidhani hiyo inawasaidia. Kumbe ni kujifariji tu.

Rais ni mtu mkubwa sana hapa Tanzania. Ndio bosi wa kila taasisi.
 
Wewe ni nani hadi nifuate ushauri wako
Cha

Cha kushangaza utarudi hapa kuongea kutokana na alichosema
Kam unajua anachosema na hakuna haja ya wandishi basi teambie weww na kisha usirudi kuchangia maana unajua kila kitu.

Rekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
Hatimaye mbabe kapata mbabe wake
 
Ukanyagi katiba unamu"torment". Na bado. They are other evils in offing.
 
Ni kama mlevi,akiutwika akutukaane uhalisia..
Na kesho yake asubuh zikimtoka akuombe radhi...

Sasa kazi kwako ila ujumbe umefika.
 
Kwa lugha ya picha ya Ndugai leo, akili yake iko kwa mwendazake ila tumbo liko kwa mama Samia. Hapa ndipo msongo wa mawazo unapomtesa mh. Spika [emoji16][emoji16]
 
Ndugai kaboa, mbona kaongea ukweli anaomba radhi ya nini?
Anaomba raisi amsamehe sana. Amuonee huruma maana amekosa sana na haikuwa dhamira yake kuleta taharuki bali janja janja tu za watu kutaka kumchafua.

Wewe ulitaka afanyaje? Aache mshahara, rupurupu, aingie kwenye vita na amiri jeshi mkuu?
 
Na Ndio maan TU nataka katibampya Ili kuwe na transparency, separation of powers katika mihimili ya Taifa
 
Ndugai kamtunishia mama msuli, Mama kaupIga kimyaa, Ndungai kaanza kujinyea. UKIMYA WA MAMA UNATISHA
 
Kuombaomba misamaha kwa kosa ambalo hujafanya ni udhaifu mkubwa
 
Huyu jamaa aache uoga, maana tukichekeana hapa tutakuja kupigwa mnada kama alivyosema mwanzo, huwezi kukopa trillion 10 ndani ya miezi 9 kwa miradi isiyo ya kimkakati tena bila idhini ya bunge halafu tukabaki salama, no way!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…