Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Hapo kawafundisha nini wabunge kama spika tu ndio hivyo wabunge wake itakuwa wanasikitisha sana
 
Kaambiwa kamkosea Mungu. Samia ndiyo Mingu huku Tanganyika. Matunda ya Mwungano. Upuuzi mtupu
 
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana"

Tangu kuzaliwa kwangu sijawahi mwungamia binadamu mwenzangu.
Tumbooo na madaraka ni hatari Sanaa mkuu... Kwani unadhani ni kwa nini Polepole anahangaika Sana?
 
Hivi kaomba radhi kwa “kosa” gani haswa?

Kakosoa mwenendo wa Rais wa JMT, jemedari mkuu na mwenyekiti wa CCM. Ni kosa kubwa sana huko CCM.

Ingekuwa enzi za JPM, hiyo ni fatal mistake. Saa hizi asingekuwa bado akiuza sura ndani ya jengo na kuendelea kusemasema ovyo. Angeshachukua likizo bila malipo kutizamia afya yake.
 
Aitwe kwenye kamati ya maadili na ahojiwe na afungiwe kama anavyofanya kwa wenzake...Huu MTINDO WAKE WA KUTENDA MAKOSA MAKUSUDI NA KUOMBA RADHI SASA UMEKUWA SUGU KWA NDUNGAI...NYIE MCHEKEENI TU....ANA AKILI ZA KIJINGAJINGA SANA HUYU...MARA ACHAPE WATU FIMBO...KWA UMRI WAKE NA MATENDO YAKE NDANI NA NJE YA BUNGE NI YA OVYO OVYO SANA....ANA HILA HILA SANA HUYU, MARA HALIMA MDEE NA WENZAKE 19....SIJUI PUNGUANI
 
Yaani ile tuu plaizi za kuminya mananiliu zinaandaliwa jamaa akaona isiwe kesi.
 
Mtemi kakutana na watemi wenzake...ungeacha kupiga magoti ili ushuhudie unavyonyolewa..wewe si uliangia Prof Asad aletwe kwako kwa pingu...sasa ungeacha wewe ungekwenda kwa machela
 
Cha ajabu hata wananchi wengi wa kawaida wanaamini Ndugai kamkosea mama inabidi aombe msamaha, tuna safari ndefu sana watanzania
 
I have a family to feed not a community to impress....ametekenywa akatakenyaka akakumbushwa kuwa bado yy ni MGOGO
 
Wewe utalii ha Mungu wa Tanzania. Huyo mama ni Kama Mungu sasa hivi, kila kitu yeye tu. It is a very sad situation. Historians will tell us in the future. Alisema ukweli, why? Hakumegewa $$$$$,
 
Siasa za chama kimoja amnacho ni dominant bado Rais ana nguvu sana. Ndugai hawezi akamvimbia Rais kwa kuwa u-spika wake ni kwa hisani ya CCM ambayo Mwenyekiti wake ndiye Rais wa Tanzania.
 
Japo sijaalikwa kuchangia ngoja nimwage kapumba kangu kiduchu...

Bwana Job hakuwa na nia ya kuomba msamaha. Angekuwa na nia hiyo asingechukua muda mrefu hivyo. Siamini pia kama ni ushauri wa maswahiba zake wala presha ya maadui zake....

Naamini kapigiwa simu moja kutoka mamlaka za juu (labda za ulinzi na usalama) na kumshauri afanye hivyo au aachie ngazi

CDF akimpigia simu na kumwambia sijafurahi namna unavyolumbana na bosi wangu... Amiri Jeshi Mkuu wangu.... sidhani kama Job angekuwa na namna tena.

Maana ukubwa bado anautaka na kuupenda.

Hii kwa mama imemjenga sana kisiasa. Hivi sasa anasubiria awe hai 2025 achapishiwe form yake pekee ajaze akagombee muhula wa pili.

Hamna wa kumzuia tena
 
Mtemi kakutana na watemi wenzake...ungeacha kupiga magoti ili ushuhudie unavyonyolewa..wewe si uliangia Prof Asad aletwe kwako kwa pingu...sasa ungeacha wewe ungekwenda kwa machela [emoji38] [emoji1787] [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…