MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Kwamba ugonjwa wake umepona au umecharuka ?Daktari wake apigiwe simu....
UmecharukaKwamba ugonjwa wake umepona au umecharuka ?
Kusahau ni ugonjwa mkubwa sana kwa wazee wengine. Kauli zake zinasigana kila uchwao
Wapendwa,Kwenye hili alichosema ni kweli 100% true sasa kwanini hakusema haya pia wakati wa nyuma hilo ni wazi sote tunajuwa JPM hakuruhusu mtu kuongea mawazo yake kwa uhuru na sio huyu Ndungai viongozi wote ni kama sasa wanaongea akili zao sio zile za kushikiwa. JPM aliwatisha watu tuacheni utani. Lakini wewe ukiona mjomba labda ulidhani anahitaji kwenda mirembe wakati ule ni huzuni lakini ukiona mjomba anapona kabla hajaenda hospital unafurahi kwa hiyo tufurahi wagonjwa wanapona kwa haraka na sio yeye wengi tu. Ukifanya makosa kipindi cha kwanza una sahihisha makosa kipindi cha pili sifa anapewa kocha.
Wapendwa,Kwenye hili alichosema ni kweli 100% true sasa kwanini hakusema haya pia wakati wa nyuma hilo ni wazi sote tunajuwa JPM hakuruhusu mtu kuongea mawazo yake kwa uhuru na sio huyu Ndungai viongozi wote ni kama sasa wanaongea akili zao sio zile za kushikiwa. JPM aliwatisha watu tuacheni utani. Lakini wewe ukiona mjomba labda ulidhani anahitaji kwenda mirembe wakati ule ni huzuni lakini ukiona mjomba anapona kabla hajaenda hospital unafurahi kwa hiyo tufurahi wagonjwa wanapona kwa haraka na sio yeye wengi tu. Ukifanya makosa kipindi cha kwanza una sahihisha makosa kipindi cha pili sifa anapewa kocha.
Hiyo ni sawa lakini spika wetu yuko bungeni kwa miaka karibia 20 sasa hajawahi kusema hili hadi akaitwa dhaifu na prof. AssadYuko sahihi, serikali inatakiwa kutengeneza mazingira mazuri kwa namna yoyote ili watu waweze kufanya ubunifu kuanzisha biashara na hatimaye kuwa walipa kodi wazuri.
Sasa serikali inatangaza ajira kila Sikh mwisho makusanyo yote TRA yataishia kulipa mishahara.
Tatizo ni kuwa hayo hayatoki moyoni mwakeBola shaka jiwe mzee meko alimbemenda ndugai sasa naona amepona tumpe sapoti maana serikali imezidiii tu hakuna uhuru
Unyumbu utachukua muda kuondoka yaani 'herding behavior' an occurrence of thoughtful people suspending their individual reasong because of panic or fear (amygdala)======
Speaker wa bunge,Job Ndugai
" Government intervention inatakiwa ndio iwepo lakini minimal na eee yaani katika nchi za wenzetu nchi zilizoendelea kampeni moja wapo katika uchaguzi mkuu ni kitu kinaitwa less Governmen yaani less Governmen katika maisha ya watu sio ukigeuka serikali ukigeuka serikali ukigeuka serikali yaani serikali aaaa serikali iwepo kidogo kidogo watu waaa wajimwage katika nchi yao wasikie wana nafasi.
Ukilima ufuta serikali ukifanya hivi serikali sasa watu unafanyejeee ukilima korosho korosho ndio kabisaaa serikali hebu rudini nyuma kidogo wapeni watu nafasi nyinyi ee nyinyi ni facilitators wasimamizi pale mtu ambapo anadhulumiwa ee nk. lakini sio front saaana".
Hivi Ndugai hiyo busara anayokuja nayo kila kukicha kaitoa wapi๐๐๐..... Enzi za Mwendazake alikuwa hatii hayo maneno!!======
Speaker wa bunge,Job Ndugai
" Government intervention inatakiwa ndio iwepo lakini minimal na eee yaani katika nchi za wenzetu nchi zilizoendelea kampeni moja wapo katika uchaguzi mkuu ni kitu kinaitwa less Governmen yaani less Governmen katika maisha ya watu sio ukigeuka serikali ukigeuka serikali ukigeuka serikali yaani serikali aaaa serikali iwepo kidogo kidogo watu waaa wajimwage katika nchi yao wasikie wana nafasi.
Ukilima ufuta serikali ukifanya hivi serikali sasa watu unafanyejeee ukilima korosho korosho ndio kabisaaa serikali hebu rudini nyuma kidogo wapeni watu nafasi nyinyi ee nyinyi ni facilitators wasimamizi pale mtu ambapo anadhulumiwa ee nk. lakini sio front saaana".
Badala ya kuidhibiti serikali, yeye ndo alikuwa anadhibitiwa na serikali.....maajabu hayajawahi kuisha.Hivi Ndugai hiyo busara anayokuja nayo kila kukicha kaitoa wapi๐๐๐..... Enzi za Mwendazake alikuwa hatii hayo maneno!!