SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ukiona hivyo ujue anakaribia kufa anajua moto unaomsubiria huko jehanamHivi Ndugai hiyo busara anayokuja nayo kila kukicha kaitoa wapi[emoji16][emoji16][emoji16]..... Enzi za Mwendazake alikuwa hatii hayo maneno!!
Ni kweli mkuu hadi unacheka ni huyu huyu Ndugai au mwingine we fikiri tu anaongea hivyo ghafla milango inafunguka na mwenda zake huyo anaingia 🤣 🤣 🤣 atatokea dirishani,naona akili alizokuwa kazishikilia Bwana yule zinaanza kurudi.Alikuwa mateka
Hivi kwenye somo lageography bado wanajifunza 'meandering 'Badala ya kuidhibiti serikali, yeye ndo alikuwa anadhibitiwa na serikali.....maajabu hayajawahi kuisha.
Daktari ndio anamajibu yakutosha, inawezekana ana nafuuKwamba mgonjwa anaendelea vizuri dawa imefanya kazi au kazidiwa
Inawezekana sie tunamuona kacharuka kumbe hapo ndio ana nafuu sana....tumsubiri daktari wakeKwamba ugonjwa wake umepona au umecharuka ?
Aisee. Hata Yohana Mbatizaji kapata wokovu 😅Sasa hivi ndio nawaelewa sana waliosema Bunge, mahakama na sijui poli nini vile viko mfukoni mwa Sizonje. Wameanza kujitoa mmoja mmoja; kuanzia kwa mpwa kuomba radhi, spika kusema rais alishatiwa vibaya juu ya bandari ya Bagamoyo, Johnthebaptist, n.k wanadhihirisha haya
Yaani kabatizwa moto kabisa-nyuzi zake si kama zile za miezi mitatu kurudi nyuma.Aisee. Hata Yohana Mbatizaji kapata wokovu 😅
Umuhimu wa kitu uonekana kisipokuwapoThe most hopeless speaker.
Lissu, Mbowe, Chadema, Msigwa hayo ndio majina anayoota muda wote.
Ili iweje?
Huyu "Igandu" mbona kipindi hiki anajifanya kuwatetea sana watu, anajisogeza sana kwa wananchi kuliko kawaida yake! Halafu anajitahidi kuikaba koo serikali kuna nini?? Nadhani huyu mtu ameanza mapemaaa kuandaa mazingira ya 2025 au hata 2030 kwenye kinyang'anyiro cha urais!! Sidhani kama ni hivi hivi tu!!======
Speaker wa bunge,Job Ndugai
" Government intervention inatakiwa ndio iwepo lakini minimal, yaani katika nchi za wenzetu nchi zilizoendelea kampeni moja wapo katika uchaguzi mkuu ni kitu kinaitwa less Government yaani less Government katika maisha ya watu sio ukigeuka serikali ukigeuka serikali ukigeuka serikali yaani serikali aaaa...!! serikali iwepo kidogo kidogo watu wajimwage katika nchi yao wasikie wana nafasi.
Ukilima ufuta serikali ukifanya hivi serikali sasa watu unafanyejeee ukilima korosho korosho ndio kabisaaa serikali hebu rudini nyuma kidogo wapeni watu nafasi nyinyi ee nyinyi ni facilitators wasimamizi pale mtu ambapo anadhulumiwa ee nk. lakini sio front saaana".
Historia yake itamuandama, atafeli vibaya mno 2025Huyu "Igandu" mbona kipindi hiki anajifanya kuwatetea sana watu, anajisogeza sana kwa wananchi kuliko kawaida yake! Halafu anajitahidi kuikaba koo serikali kuna nini?? Nadhani huyu mtu ameanza mapemaaa kuandaa mazingira ya 2025 au hata 2030 kwenye kinyang'anyiro cha urais!! Sidhani kama ni hivi hivi tu!!
👊👊Alikuwa mateka
Anachoongea Ndugai ni kwenye. Kuna kitu kinaitwa citizenship freedom. Serikali ni mwezeshaji tu na siyo tightly controller wa watu. yaani unaitisha uchaguzi wa balozi pale kijijini napo serikali na mabunduki mgongoni, uchaguzi wa kitongoji tu mapolisi yamejaa, hapana.======
Speaker wa bunge,Job Ndugai
" Government intervention inatakiwa ndio iwepo lakini minimal, yaani katika nchi za wenzetu nchi zilizoendelea kampeni moja wapo katika uchaguzi mkuu ni kitu kinaitwa less Government yaani less Government katika maisha ya watu sio ukigeuka serikali ukigeuka serikali ukigeuka serikali yaani serikali aaaa...!! serikali iwepo kidogo kidogo watu wajimwage katika nchi yao wasikie wana nafasi.
Ukilima ufuta serikali ukifanya hivi serikali sasa watu unafanyejeee ukilima korosho korosho ndio kabisaaa serikali hebu rudini nyuma kidogo wapeni watu nafasi nyinyi ee nyinyi ni facilitators wasimamizi pale mtu ambapo anadhulumiwa ee nk. lakini sio front saaana".
Ukiona hivyo ujue anakaribia kukata roho huyo mbilikimomgonjwa wetu kapona sasa msimpe uji tena mpatieni ugali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daktari wake apigiwe simu....