Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka Dodoma.
"Tunatengeneza vijana wa kucheza Pool table, ambao wakikaa na simu wanaperuzi mitandaoni tu"...
Spika hajui kwamba Kodi kubwa ni chanzo cha nambari wani cha vijana kukosa ajiraKutoka Dodoma.
"Tunatengeneza vijana wa kucheza Pool table, ambao wakikaa na simu wanaperuzi mitandaoni tu"...
Ndugai yuko bungeni zaidi ya miaka 15, kwanini asiwaachie wasio na mitaji nao wapate ili yeye akafungue kiwanda atoe ajira? Anaingia bungeni kwa kunajisi uchaguzi, kama kazi ni nyingi kwanini atumie mbinu haramu kuendelea kuwa mbunge?Kutoka Dodoma.
"Tunatengeneza vijana wa kucheza Pool table, ambao wakikaa na simu wanaperuzi mitandaoni tu"...
Watu wengi wanaofanikiwa wanatokea kwenye mazingira haya haya miaka nenda rudi wengine wanalalamika maisha magumu Vijana wengi wa kitanzania ni wavivu kuna Makundi mengi ni tegemezi hawataki kujishughulisha mfano hawa vijana wanywaji wa pombe za kienyeji ,watumiaji wa Instagram,vijana wa kubeti nk
Ndugai alifanikiwa kwa kufanya kazi gani zaidi ya kupiga porojo huko bungeni? Atuambie ni wapi watoto wake wamejiajiri zaidi ya kuchomekwa serekalini ili tuone uhalisia wa anachosema.Watu wengi wanaofanikiwa wanatokea kwenye mazingira haya haya miaka nenda rudi wengine wanalalamika maisha magumu Vijana wengi wa kitanzania ni wavivu kuna Makundi mengi ni tegemezi hawataki kujishughulisha mfano hawa vijana wanywaji wa pombe za kienyeji ,watumiaji wa Instagram,vijana wa kubeti nk
Kama ni kweli Mzee Ndugai amesema maneno haya, basi nimesikitishwa sana na kauli hii. Kuna wavivu wasiopenda kufanya kazi vile vile kuna wanaopenda kufanya kazi ila hawana hizo kazi.Kutoka Dodoma.
"Tunatengeneza vijana wa kucheza Pool table, ambao wakikaa na simu wanaperuzi mitandaoni tu".
"Nafikiri labda tuongeze kodi labda itapunguza hata sijui, hivi tufanye kitu gani ili tuhakikishe kila mtu anafanya kazi, maafisa maendeleo ya jamii hawafanyi kazi" -Job Ndugai.
Nini maoni yako mdau?
Siyo ukomo wa ubunge tu sekita zote ziwe na ukomo Kama ilivyo kwenye uraisi kuanzia ubunge, uwaziri, ukuu wa wilaya, mkoa maana ni sekita za kuleta amsha amsha alafu watoke waingie wengine. Na serikali kuu na taasisi hivyo hivyo zile zinazozidisha miaka sitini ziangaliwe upya Ili vijana wakatumike.Ukomo wa ubunge unapaswa uwepo. Mbunge akitumikia miaka 10 au awamu 2 inatosha kabisa. Wapishe wengine wenye experience za mtaani kama wanao-comment.
Hii mtu anakua mbunge miaka 15 hadi 20 si sawa kabisa. Kwanza analipwa hela nyingi huku akitoa mchango wa kipuuzi kama huu wa Ndugai. Pili anabweteka yan it’s like liwalo na liwe while wanaoteseka ni raia wa chini kabisa
Nenda zako na Ndugai wako.Watu wengi wanaofanikiwa wanatokea kwenye mazingira haya haya miaka nenda rudi wengine wanalalamika maisha magumu Vijana wengi wa kitanzania ni wavivu kuna Makundi mengi ni tegemezi hawataki kujishughulisha mfano hawa vijana wanywaji wa pombe za kienyeji ,watumiaji wa Instagram,vijana wa kubeti nk