ricostersundi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 358
- 447
Ameomba ladhi.sawa tumekubali ,lakini bado kapotosha,kwamba walienda Jerusalem wakati sio.sasa hapo MTU aliyekuwa anatamba kwamba anamjua Mungu na mshauri wa askofu mkuu wa anglikana duniani alafu anatudanganya utajisikiaje?.kwamba wengine hatupendi kujisifu kumbe yupo tupu.na Mungu kamuumbuaNi chuki tu mkuu....[emoji106]
Unateseka na Magufuli ukiwa wapi?Ana file Mirembe kwa maneno yake mwenyewe.
Mwaka 2015 tulimpata Rais kichaa pia according to Dialo kutoka CCM hukohuko.Tanzania huwa inaongozwa na vichaa,matahira na wendawazimu.
Ameomba ladhi lakini bado kadanganya kwamba walienda JerusalemAmekosea na ameshaomba radhi kwa Wakristo wote.
Lakini kuna theory zinazodai kwamba St. Mary Magdalene ndo alikua pisi ake yesu na walizaa kabisa[emoji28][emoji28][emoji28]Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI
Duuuh [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Umejiunga Leo ili kuja kumtetea?.amekupa sh ngapi?.ameshaumbuka.kama anaijua biblia mbona ameomba ladhi kwa kutudanganya tena?.yesu hakwenda JerusalemBinafsi mimi naona ni mchapio tu, Neno hilo lingekuwa vivid kama asingesema kuwa yesu ndipo alipozaliwa.
Hujui hata kuandika.haluna,atulanwe,hamba,vinsaba.au ni kirundiHaluna alipokosea ndugai ninyi mnaolalamika ndiyo hamjui asili yenu yesu hawahusu kabisa waafrika hasa watz acheni kulishwa ujinga wa kibiblia mbwa nyie yaani ninyi ni bora atulanwe mama yenu na siyo yesu.
Hamba vinsaba na yesu hata kidogo pimeni DNA muone asili zenu
Hebu cheki na hii.Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI
Duuuh π₯π₯π₯π₯
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Huyo mwenu achana nae kazi yake kubwa ni kupiga watu fimbo kichwani!Umejiunga Leo ili kuja kumtetea?.amekupa sh ngapi?.ameshaumbuka.kama anaijua biblia mbona ameomba ladhi kwa kutudanganya tena?.yesu hakwenda Jerusalem
Alimaanisha Yusuf kuweni na akili za kuvukia hata road
USSR
Kiwango cha ufahamu wake siyo tatizo hata kidogo...Alimaanisha Yusuf kuweni na akili za kuvukia hata road
USSR
Vile mwendakuzimu amefurahia comment yako hii kutokea huko kuzimuπππ
Nazidi kusema wanaohusika kuratibu hizi kauli tata wamefaikiwa sana kuwahamisha watu kwenye mijadala Fulani. Na ndio dawa yetu wabongo kuhamishwa tuHivi una nini Ndugai? Mbona kashfa zimekuzidi wewe jamaa?
Tatizo la wana siasa wanajionaga wanajua kila kitu! Kwanini ujitie kuquote maandiko wakati hujui chochote?! Wachungaji wakiongea mambo ya siasa, wanasema tusichanganye dini na siasa! Lisabufa ni aibu kubwa kwa taifa, sijui Kwanini Lema analicheleweshea ule unabii!Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI
Duuuh π₯π₯π₯π₯
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI
Duuuh π₯π₯π₯π₯
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Hawapo serious kabisa..hakuna wataalam wa IT watengeneze template ya barua zote...sasa hii ikienda ulaya si wanatucheka sanaNakuambia ni shida tupu.mi mwenyewe nikajiuliza ni macho yangu au.nikawaza labda nimeshaanza kupata makengeza kesho niende hospital nikachekiwe
Kwani wewe ni Ndugai?Usimlishe maneno yako .Ametuambia yeye ni mzee wa kanisa na ni mshauri wa mkuu wa kanisa la Anglikana duniani.Hivyo alimaanisha alichokisema.Alimaanisha Yusuf kuweni na akili za kuvukia hata road
USSR
Aombe msamaha kwa huyo aliyesemaAmekosea na ameshaomba radhi kwa Wakristo wote.
Bado hata kwenye hiyo apology wamekosea Bethlehem sio Jerusalem.He was wrong and he has apologized to all Christians. As Christians let's us forgive him and move on.