Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

Ni chuki tu mkuu....[emoji106]
Ameomba ladhi.sawa tumekubali ,lakini bado kapotosha,kwamba walienda Jerusalem wakati sio.sasa hapo MTU aliyekuwa anatamba kwamba anamjua Mungu na mshauri wa askofu mkuu wa anglikana duniani alafu anatudanganya utajisikiaje?.kwamba wengine hatupendi kujisifu kumbe yupo tupu.na Mungu kamuumbua
 
Lakini kuna theory zinazodai kwamba St. Mary Magdalene ndo alikua pisi ake yesu na walizaa kabisa[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Binafsi mimi naona ni mchapio tu, Neno hilo lingekuwa vivid kama asingesema kuwa yesu ndipo alipozaliwa.
Umejiunga Leo ili kuja kumtetea?.amekupa sh ngapi?.ameshaumbuka.kama anaijua biblia mbona ameomba ladhi kwa kutudanganya tena?.yesu hakwenda Jerusalem
 
Hujui hata kuandika.haluna,atulanwe,hamba,vinsaba.au ni kirundi
 
Hebu cheki na hii.

"...distance zote nazijua pamoja na umbali wake....!!!"

Huyu ndiye kiongozi wa muhimili muhimu pengine kuliko yote - BUNGE. Na hiki ndicho kiwango chake cha ufahamu..!!!!!

Yaani tuna shida na balaa tupu nchi hii...!!
 
Alimaanisha Yusuf kuweni na akili za kuvukia hata road

USSR
Alimaanisha Yusuf kuweni na akili za kuvukia hata road

USSR
Kiwango cha ufahamu wake siyo tatizo hata kidogo...

Tatizo ni mtu mwenye ufahamu duni kiasi hiki kupata dhamana ya kuongoza chombo muhimu kama hiki..

Hebu cheki na hii halafu sema kama ni kupitiwa au ulimi kuteleza;

".....distance zote nazijua pamoja na umbali wake....!!"

Tell us, what did he mean in that sentence?
 
Hivi una nini Ndugai? Mbona kashfa zimekuzidi wewe jamaa?
Nazidi kusema wanaohusika kuratibu hizi kauli tata wamefaikiwa sana kuwahamisha watu kwenye mijadala Fulani. Na ndio dawa yetu wabongo kuhamishwa tu
 
Tatizo la wana siasa wanajionaga wanajua kila kitu! Kwanini ujitie kuquote maandiko wakati hujui chochote?! Wachungaji wakiongea mambo ya siasa, wanasema tusichanganye dini na siasa! Lisabufa ni aibu kubwa kwa taifa, sijui Kwanini Lema analicheleweshea ule unabii!
 

Chanjo imeongezea kukomaza ugumegume na kuacha kabisa habari za maslahi ya taifa. Ndilo lengo la chanjo!. Hope watu wameanza kuona. Bado askari wetu sijui itakuwaje kama waiachia silaha zichukuliwe na kujazwa majumbani mwa watu. Imagine, mtu achukue ndege yetu moja na jeshi imsaidie kusafirisha samaki kutoka zanzibar, na hakuna mtu anayejali. Askari wa jesh letu wawe busy kusaka wanaogoma kuchanjwa!.
 
Hakika huyu Yesu anayeongelewa na Ndugai ni Yesu Mgogo tena wa Kongwa
 
Nakuambia ni shida tupu.mi mwenyewe nikajiuliza ni macho yangu au.nikawaza labda nimeshaanza kupata makengeza kesho niende hospital nikachekiwe
Hawapo serious kabisa..hakuna wataalam wa IT watengeneze template ya barua zote...sasa hii ikienda ulaya si wanatucheka sana
 
Alimaanisha Yusuf kuweni na akili za kuvukia hata road

USSR
Kwani wewe ni Ndugai?Usimlishe maneno yako .Ametuambia yeye ni mzee wa kanisa na ni mshauri wa mkuu wa kanisa la Anglikana duniani.Hivyo alimaanisha alichokisema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…