Kwani yesu hakuwa hata na Demu wa kuzugia kabla hajaanza utumishi,maana alianza utumishi akiwa na miaka 30+ so yawezekana alipata kaujananiNjaa
Tumbo limejaa minyoo mpaka anachapia hovyo. Najua tunajua kwamba lengo lake alitaka aongee Yosefu na mke wake Maria... Ila sasa maskiniii mbona atakoma.
AlichapiaVideo ikumuonyesha mh spika akitoa historia yake ya kuijua dini ya ukristo.
Hayo yametokea leo hii hapa bungeni wakati kina Gwajima na Jery wakiwekwa kiti moto.View attachment 1918173
Alimaanisha Yusuf kuweni na akili za kuvukia hata roadHivi una nini Ndugai? Mbona kashfa zimekuzidi wewe jamaa?View attachment 1918171
Alafu jamaa anaongea kwa kujiamini kuliko maelezoAlichapia
Mwambie basi aikane hii statementChadema mmeshapata hoja!
Kama kuna mtu anayaamini maneno ya Ndugayi kuwa Yesu alikuwa na mke basi huyo mtu ni koroboikama kuna mtu hakumuelewa ngugai basi huyo mtu atakua ni fala, kwenye matamshi kunakusosea lakini dhamira ya alichokielezea kinaeleweka
We unaonaje,mbona sim sikii sirro akisema msituzalie watoto kama jobuChadema mmeshapata hoja!
Huyu mtu tayari alishasema kuwa ana faili lake MirembePale ambapo ubongo unafeli kutambua kitu kitachotoka kitatafsiriwa vipi na kupokelewa vipi na wahusika, itoshe kusema kila Binadamu ana ukichaa ndiyomaana toka karne hadi karne hakuna aliyeweza kuitumia akili yake kwa 100%
Nikipindi chake cha kupewa kichapoNjaa
Tumbo limejaa minyoo mpaka anachapia hovyo. Najua tunajua kwamba lengo lake alitaka aongee Yosefu na mke wake Maria... Ila sasa maskiniii mbona atakoma.
Ni slip of the tongue tuVideo ikumuonyesha mh spika akitoa historia yake ya kuijua dini ya ukristo.
Hayo yametokea leo hii hapa bungeni wakati kina Gwajima na Jery wakiwekwa kiti moto.View attachment 1918173
Hajawahi kutoa jambo lililo nyooka huyo
Mambo mengi kichwani bado hajatulia huyu, kajima anamzinguaHivi una nini Ndugai? Mbona kashfa zimekuzidi wewe jamaa?View attachment 1918171
Unamsemea?Alimaanisha Yusuf kuweni na akili za kuvukia hata road
USSR
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daaah Hadi naona aibu kujitambulisha nimetokea Kongwa[emoji22][emoji22][emoji22]View attachment 1918235
Mkuu Avatar yako inachekesha SanaDaaah