Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Wenyewe wananadi nchi imeendelea lakini kwa tatzo hili la umeme na mengineyo ni dhahiri bado tuna safari ndefu kama taifa.Ndugu acha tu. Msanii angetunga igizo kuhusu maneno na vitendo vya Serikali yetu, watu wakiona igizo hilo wangedhani ni igizo la kufikirika! Lakini Tanzania ni ukweli mambo haya yanatokea. Bunge na Serikali wanashindana kubebana na kulindana, na Mahakama pia na Vyama vya upinzani. Kisha hapo utegemee nchi hiyo iendelee. Labda kwa kutawaliwa tena!
Naunga mkono hoja. Wazungu wanasema "it's an abomination". Huyu na yule mwenzake nikiwaangaliaga huwa nasikia kichefuchefuWanawake ni wanawake tu hakuna wanaloweza zaidi ya kuongea na kuongea. Ni laana nchi kuongozwa na wanawake na ndio waTanzania mtie akilini kuongozwa na matundu badala ya kuongozwa na mkonga.
Siku hizi hata salamu yake itikia baada ya kutafakariKumbe sio leo tarehe 16 februali? Ama kweli mwanasiasa usimwamini hata kidogo!
Tuendelee kuwa watulivu na wavumilivu na kuwa na imani na serikali yetu chini ya uongozi shupavu,imara na madhubuti wa mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.Lucas mwashambwa chawa kindaki ndaki unalizungumziaje hili
HeeeeeeeeeTuendelee kuwa watulivu na wavumilivu na kuwa na imani na serikali yetu chini ya uongozi shupavu,imara na madhubuti wa mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
Wanajua sana tu..sema jeuri na dharau kwa watu waliowafanya kuwa pale. Wanajua hakina wakuwafanya chochoteWabunge pamoja na supika hawajui kwamba umeme unachangia Sana kwenye Kodi ambayo ndio chanzo pekee Cha mapato Yao.