Tangu amekuwa Rais wa IPU amekuwa na maamuzi ya Akili sana hata jana alimnyamazisha mwigulu akamwambia wabumhe wakillamika kuibiwa sio uongo hela kweli zimeibiwa...Tangu huyu binti akalie hicho kiti, leo ndipo nimemuelewa kwa mara ya kwanza.
Jamani,huyo hana tofauti na yule naesikia anavunja nyumba za watu jijini kisa wakazi. Mwalimu mkuu,hajatunga wimbo,hajausambaza. Mwalimu,siyo DJ. Labda kama aliomba upigwe,hapo ntaunga mkono wa kumshusha cheo na kuchukuliwa hatua za kinidhamu ingekuwa poa. Lakini, maadili mnayolilia siku hizi yako wapi? Bungeni kwenyewe wanatoleana maneno ya aibu,mtu mzima anaetazama hilo bunge anajifunza nini? Siku hizi,walimu hao ni vitoto vidogo vya umri sawa na wa wanafunzi. Kumbukeni,ni wa hiki kizazi kisicho na maadili. Kwanza,hiyo BASATA ina kazi gani? Kama taarifa gazetini kwanza inahaliliwa,kwa nini hata hiyo BASATA isingekuwa na kamati ya kuelekeza wasanii na kuwakosoa!! Kizazi cha kihuni,kinapenda maneno ya kihuni. Ili msanii auze,lazima atumie maneno hayo hayo. Bahati mbaya hawa watu wenye vipato cyao,hakika watoto wao hawachezi. Lakini angeingia mitaa ya kiswahili aangalie huo wimbo unavyochezwa na vitoto vidogo,unajiuliza haka kakifikisha miaka 10 itakuwaje! Vigodolo vimeanzia miaka 3 na kuendelea sasaNa hii ndo alichokigundua Spika kwamba Proff mkenda anajaribu kuficha maovu ya wizara ya michezo kwa kutoa walimu kafara wakati kosa liko wizara ya michezo
Kwahiyo baa ni moja ya magenge ya wahuni?Siyo kila nyimbo inapigwa kila mahali, watoto wanapaswa kufundishwa maadili mema, Maudhui ya ile nyimbo yanafaa watu walioko kwenye ma-bar na magenge mengine ya wahuni
Kama Mkuu Bufa umesema haya mimi ni nani nipinge?Tulia ni spika bora kuwahi kutokea bongo.
Ahsante Spika Tulia PhDAmesema hayo akihoji kuhus Njia iliyotumika Kuwasimamisha walimu hao,Bila ya kufuata utaratibu wa kinidhamu wa kiutumishi,Hata hivyo ameongeza na kusema kuwa lisionewe kundi fulani tu kwani hata baadhi ya wabunge pia nao wanacheza miziki hiyo..
"Wapo mawaziri humu ndani na sisi wabunge huwa tunacheza mziki na hao wanafunzi, Tufafanuliwe hapa ili watu wajue nini cha kufanya la sivyo tutaendelea kucheza huo mziki na watoto wakiwepo shuleni alafu tutawapomza wale ambao watatakiwa kuchukuliwa hatua ,kwahiyo ni muhimu muwe na hatua zaidi ya hapa ili watu wote wawe na uelewa ni miziki gani inachezwa na ipi haichezwi itasaidia sana,Lakini tusiingize Huko hisia za kidini tusichanganye Imani ya dini na maadili ya mtanzania tusivichanganye" amesema Dkt tulia Ackson spika wa bunge la Muungano leo bungeni
hata hivyo aliendelea kumhoji waziri Njia iliyotumika kuwasimamisha walimu wao kazi na akasema kuwa njia hiyo haikuwa na usawa hivyo ameomba warudishwe makazini na njia sahihi zifuatwe
View attachment 2805936
View attachment 2805928
Mkuu amekugusa maeneo yako nini 😅😅😅Kwahiyo baa ni moja ya magenge ya wahuni?
Duuuh! inamaana wewe ungekua na mamlaka ya usalama,
Akhsante Spika Tulia.Amesema hayo akihoji kuhus Njia iliyotumika Kuwasimamisha walimu hao,Bila ya kufuata utaratibu wa kinidhamu wa kiutumishi,Hata hivyo ameongeza na kusema kuwa lisionewe kundi fulani tu kwani hata baadhi ya wabunge pia nao wanacheza miziki hiyo..
"Wapo mawaziri humu ndani na sisi wabunge huwa tunacheza mziki na hao wanafunzi, Tufafanuliwe hapa ili watu wajue nini cha kufanya la sivyo tutaendelea kucheza huo mziki na watoto wakiwepo shuleni alafu tutawapomza wale ambao watatakiwa kuchukuliwa hatua ,kwahiyo ni muhimu muwe na hatua zaidi ya hapa ili watu wote wawe na uelewa ni miziki gani inachezwa na ipi haichezwi itasaidia sana,Lakini tusiingize Huko hisia za kidini tusichanganye Imani ya dini na maadili ya mtanzania tusivichanganye" amesema Dkt tulia Ackson spika wa bunge la Muungano leo bungeni
hata hivyo aliendelea kumhoji waziri Njia iliyotumika kuwasimamisha walimu wao kazi na akasema kuwa njia hiyo haikuwa na usawa hivyo ameomba warudishwe makazini na njia sahihi zifuatwe
View attachment 2805936
View attachment 2805928
Tulia hajakosea chochote. Kama huo mziki umeruhusiwa kupigwa na kuchezwa hadharani kwanini hao watoto na walimu waadhibiwe? Kwani hawa si sehemu ya jamii? Tunaposema maadili tusibane upande mmoja, kwanini tusianze na kumuadhibu yule aliyeutunga? Naungana na Tulia, tukitaka kuchanganya miiko ya kidini ktk taasisi za umma kwa kisingizio cha maadili lazima tutakwama. Shule za umma si sehemu ya seminary, hivyo tusichanganye mambo ya dini kwenye taasisi zetu za umma.Siyo kila nyimbo inapigwa kila mahali, watoto wanapaswa kufundishwa maadili mema, Maudhui ya ile nyimbo yanafaa watu walioko kwenye ma-bar na magenge mengine ya wahuni
Hilo kosa la basata Kama wimbo hauna maadili,watoto hawakutakiwa kuujuaSiyo kila nyimbo inapigwa kila mahali, watoto wanapaswa kufundishwa maadili mema, Maudhui ya ile nyimbo yanafaa watu walioko kwenye ma-bar na magenge mengine ya wahuni
Waziri wa Michezo na Utamaduni anatakiwa kuwajibika yye pamoja na BASATA kwa kosa hili na sio waalimuTulia hajakosea chochote. Kama huo mziki umeruhusiwa kupigwa na kuchezwa hadharani kwanini hao watoto na walimu waadhibiwe? Kwani hawa si sehemu ya jamii? Tunaposema maadili tusibane upande mmoja, kwanini tusianze na kumuadhibu yule aliyeutunga? Naungana na Tulia, tukitaka kuchanganya miiko ya kidini ktk taasisi za umma kwa kisingizio cha maadili lazima tutakwama. Shule za umma si sehemu ya seminary, hivyo tusichanganye mambo ya dini kwenye taasisi zetu za umma.
Kwa nini wasimamishwe!?Hapaswi kuingilia majukumu ya serikali kwanza waziri amesema wamesimamishwa hii maana yake uchunguzi unafanyika na hatua stahiki zitachukuliwa,aache kiherehere na kutafuta sifa za kijinga.
Kwa kosa la kupiga wimbo usio na maadili na wenye kuhamasisha ngono. Ni mjinga pekee anaweza kupiga wimbo wowote mahali popote. Mkuu wewe unaweza kupiga wimbo "Zagamua" mbele ya wanao?😅😅 Mkuu kwa kosa lipi
Ameyasema hayo akiwa amekalia kiti cha mamlaka ambayo Waziri anakuwa chinj yake!Hapaswi kuingilia majukumu ya serikali kwanza waziri amesema wamesimamishwa hii maana yake uchunguzi unafanyika na hatua stahiki zitachukuliwa uchunguzi utakapokamilika ,hivyo aache kiherehere na kutafuta sifa za kijinga.