Platformtz
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 266
- 405
Waziri Mkenda katoa majibu ya kihuni. Cheo cha Mwalimu Mkuu ni cheo cha uteuzi alafu anatamka kwamba wakate rufaa (kudai haki ipi?). Viongozi wapunguze mihemko ya kufanya maamuzi kwa kufuata kelele za mitandaoni. Mkenda ni prof ni muhimu kuotendea haki elimu yake kwa kulosadia taifa kwenye mambo makubwa kuliko ku deal na issues ndogo ndogo ambazo kimsingi ni very rare kutokea kwenye mazingira ya shule na pengine siyo msingi wa mmomonyoko wa maadili.