Spika Tulia: Tusichanganye Maadili ya Mtanzania na Imani za kidini. Lipi kosa la walimu waliosimamishwa kazi Kwa kucheza muziki? Warudisheni kazini

Spika Tulia: Tusichanganye Maadili ya Mtanzania na Imani za kidini. Lipi kosa la walimu waliosimamishwa kazi Kwa kucheza muziki? Warudisheni kazini

Amesema hayo akihoji kuhus Njia iliyotumika Kuwasimamisha walimu hao,Bila ya kufuata utaratibu wa kinidhamu wa kiutumishi,Hata hivyo ameongeza na kusema kuwa lisionewe kundi fulani tu kwani hata baadhi ya wabunge pia nao wanacheza miziki hiyo..

"Wapo mawaziri humu ndani na sisi wabunge huwa tunacheza mziki na hao wanafunzi, Tufafanuliwe hapa ili watu wajue nini cha kufanya la sivyo tutaendelea kucheza huo mziki na watoto wakiwepo shuleni alafu tutawapomza wale ambao watatakiwa kuchukuliwa hatua ,kwahiyo ni muhimu muwe na hatua zaidi ya hapa ili watu wote wawe na uelewa ni miziki gani inachezwa na ipi haichezwi itasaidia sana,Lakini tusiingize Huko hisia za kidini tusichanganye Imani ya dini na maadili ya mtanzania tusivichanganye" amesema Dkt tulia Ackson spika wa bunge la Muungano leo bungeni

hata hivyo aliendelea kumhoji waziri Njia iliyotumika kuwasimamisha walimu wao kazi na akasema kuwa njia hiyo haikuwa na usawa hivyo ameomba warudishwe makazini na njia sahihi zifuatwe

View attachment 2806039

View attachment 2805928
Huyu nae anaongea ujinga,sio Kila wimbo unatakiwa kuimbwa kwenye mazingira ya kufundishia na kulelea Watoto.

Watu wacheze na kuimba maeneo husika na sio Shuleni.

Waziri Yuko sahihi Kuwashughulikia wahusika.

Ingekuwa ni shule zinazofundisha muziki pengine inge make sense lakini napo ni lazima aina ya muziki izingatiwe Kwa sababu za kutunza Maadili, Watoto wa Leo ndio Wazazi wa kesho.
 
Amesema hayo akihoji kuhus Njia iliyotumika Kuwasimamisha walimu hao,Bila ya kufuata utaratibu wa kinidhamu wa kiutumishi,Hata hivyo ameongeza na kusema kuwa lisionewe kundi fulani tu kwani hata baadhi ya wabunge pia nao wanacheza miziki hiyo..

"Wapo mawaziri humu ndani na sisi wabunge huwa tunacheza mziki na hao wanafunzi, Tufafanuliwe hapa ili watu wajue nini cha kufanya la sivyo tutaendelea kucheza huo mziki na watoto wakiwepo shuleni alafu tutawapomza wale ambao watatakiwa kuchukuliwa hatua ,kwahiyo ni muhimu muwe na hatua zaidi ya hapa ili watu wote wawe na uelewa ni miziki gani inachezwa na ipi haichezwi itasaidia sana,Lakini tusiingize Huko hisia za kidini tusichanganye Imani ya dini na maadili ya mtanzania tusivichanganye" amesema Dkt tulia Ackson spika wa bunge la Muungano leo bungeni

hata hivyo aliendelea kumhoji waziri Njia iliyotumika kuwasimamisha walimu wao kazi na akasema kuwa njia hiyo haikuwa na usawa hivyo ameomba warudishwe makazini na njia sahihi zifuatwe

View attachment 2806039

View attachment 2805928


Huyu Mama ana akili, hili Jumba la ccm ndo linaharibu watu.
 
Wanavyofanya wenzetu ambao wametutangulia katika mambo haya ni hivi.

Wasanii wanarekodi nyimbo zenye versions tofauti, version moja inakuwa ni ya "explicit lyrics" wanaweza kununua wanaopenda. Hii inakuwa na maneno makali yote. Ni kwa ajili ya wakubwa, haitakiwi kupigwa redioni wala sehemu yoyote public kwenye watoto.

Hata ukinunua CD utakuta imeandikwa "Parental Advisory. Explicit Lyrics".

Version nyingine inakuwa "radio version", hii inakuwa imeondolewa maneno makali. Inaweza kupigwa redioni au sehemu zenye watoto.

Hapo msanii hajaondolewa uhuru wake wa kisanii, na jamii haijalazimishwa kusikia maneno makali pale pasipostahili.

Tatizo, huko Tanzania, kwenye nyimbo zenye maneno makali, hatuna kitu kinaitwa "radio version". Kila wimbo ni "explicit lyrics" version inapigwa sehemu zote, kuanzia redioni mpaka shuleni.
Watu walioko kwenye Sanaa kuanzia Serikalini na wasanii wenyewe hawayajui haya Ili wasaidie jamii na industry?
 
Wewe unaona walimu ndio punching bag na kada ya kuonewa tu. Akina Zuchu na Harmonize si huwa wanaitwa kwenye kampeni za CCM kukata viuno, na kampeni hizohizo watoto wa shule huwa wanakuwepo.

Sasa yanini walimu ndio wafukuzwe kazi peke yao. Serikali inatumia kigezo gani kusema wimbo wa Zuchu hauna maadili wakati serikali hiyohiyo kupitia BASATA iliuruhusu na huwa haifanyi rating ya age.
Wimbo hauna Maadili Kwa level ya Watoto sio watu wazima.

Mambo ya kampeni sijui nini hayahusiani na maeneo ya shule waliko Watoto.

Wewe kama unaona sawa weka wimbo wa honey uwe unacheza na Watoto wako ndani.
 
Siyo kila kitu kinaitaji kufanyika uchunguzi. Hili la mziki linaitaji uchunguzi gani? Huyu Prof. hafai kabisa kuwa waziri, kama maamuzi yake ni ya hovyo kiasi hicho. Wimbo huo unachezwa na kuimbwa kila pahala ikiwemo mikutano ya CCM. Yeye kama waziri kwanini hajawai kuchukuwa hatua ya kufungia wimbo huo?. Si maadili mtoto akiusikia huo wimbo shuleni, lakini akiusikiliza sehemu nyingine hayo maadili ubadilika? Prof. Kawaonea hawa walimu....ana sababu zake zaidi ya maadili.
Mikutano ya ccm Huwa ni maalumu Kwa Ajili ya Watoto? Hapa mpumbavu ni wewe au Prof?

Shule ndio kunatamiwa kupigwa nyimbo za kina Zuchu na zingine za kipuuzi kama hizo?
 
Amesema hayo akihoji kuhus Njia iliyotumika Kuwasimamisha walimu hao,Bila ya kufuata utaratibu wa kinidhamu wa kiutumishi,Hata hivyo ameongeza na kusema kuwa lisionewe kundi fulani tu kwani hata baadhi ya wabunge pia nao wanacheza miziki hiyo..

"Wapo mawaziri humu ndani na sisi wabunge huwa tunacheza mziki na hao wanafunzi, Tufafanuliwe hapa ili watu wajue nini cha kufanya la sivyo tutaendelea kucheza huo mziki na watoto wakiwepo shuleni alafu tutawapomza wale ambao watatakiwa kuchukuliwa hatua ,kwahiyo ni muhimu muwe na hatua zaidi ya hapa ili watu wote wawe na uelewa ni miziki gani inachezwa na ipi haichezwi itasaidia sana,Lakini tusiingize Huko hisia za kidini tusichanganye Imani ya dini na maadili ya mtanzania tusivichanganye" amesema Dkt tulia Ackson spika wa bunge la Muungano leo bungeni

hata hivyo aliendelea kumhoji waziri Njia iliyotumika kuwasimamisha walimu wao kazi na akasema kuwa njia hiyo haikuwa na usawa hivyo ameomba warudishwe makazini na njia sahihi zifuatwe

View attachment 2806039

View attachment 2805928

View: https://twitter.com/uhalisiaonline/status/1721711197643214960?t=HbpVeca6FGdBi4Etbh1Dfg&s=19
 
Kma umemuelewa alishindwa kusema moja kwa moja kwamba kwanini hawakuanza na Zuchu mwenyewe halafu wakafata walimu halafu na wwngine wakafata kuonea upande mmoja haifai wanatakiwa wawarudishe waalimu halafu zuchu ale Ban ya kwenda halafu ndo ziendelee mishe zingine
Huyu unayemjibu anachanganya na udini ndo maana hawezi kumwelewa spika
 
Ajabu ni kwamba Waziri atasanda kwa Spika, halafu ataendelea kung'ang'ania cheo chake...

Wakati nchi za watu kiongozi mwenye ako na akili nzuri, angemjibu spika kwamba yeye sio waziri wa hao wabunge na viongozi wanaocheza miziki wanayoijua wao bali yeye kapewa dhamana kulinda maadili ya kielimu ya mtoto wa Kitanzania...
 
Kwanini...? Huyu ni Spika Bunge siyo mama TU.
Kidomodomo sana. Ukiacha madawa ya kisafa na kinyakyusa anayotegemea hana jipya. Integrity ya nchi imeshuka na kuonekana ya kike kike kila kona. Tangu aingie uspika bungeni, hakuna mjadala na mswada wa maana uliopitishwa. Bunge limekosa hata meno kuwWajibisha wezi wa fedha za umma, It is a shame. PhD holder unadandia vistory vya vijiweni vya kina Zuchu,hopelesss.
 
Kwanini...? Huyu ni Spika Bunge siyo mama TU.
Kidomodomo sana. Ukiacha madawa ya kisafa na kinyakyusa anayotegemea hana jipya. Integrity ya nchi imeshuka na kuonekana ya kike kike kila kona. Tangu aingie uspika bungeni, hakuna mjadala na mswada wa maana uliopitishwa. Bunge limekosa hata meno kuwWajibisha wezi wa fedha za umma, It is a shame. PhD holder unadandia vistory vya vijiweni vya kina Zuchu,hopelesss.
 
Kidomodomo sana. Ukiacha madawa ya kisafa na kinyakyusa anayotegemea hana jipya. Integrity ya nchi imeshuka na kuonekana ya kike kike kila kona. Tangu aingie uspika bungeni, hakuna mjadala na mswada wa maana uliopitishwa. Bunge limekosa hata meno kuwWajibisha wezi wa fedha za umma, It is a shame. PhD holder unadandia vistory vya vijiweni vya kina Zuchu,hopelesss.
Huyo ni mcha Mungu tena m- TAG, ama mlokole hivyo suala la madawa hapo halipo, ni maombi kwa kwenda mbele.. ukiona unakerwa nae huenda una roho chafu ndani yako ama pèpo.. liambie ' pepo tokaaa'
 
Back
Top Bottom