Spika wa Bunge la JMT siyo lazima awe Mbunge. Mnaoshangilia anguko la Makonda angalieni furaha ya nyani isije kuishia jangwani

Spika wa Bunge la JMT siyo lazima awe Mbunge. Mnaoshangilia anguko la Makonda angalieni furaha ya nyani isije kuishia jangwani

Pole mkuu naona bado unateseka sana na anguko la Bashite! Lakini kufikilia Bashite kuwa spika wa bunge ni kuchosha kichwa chako bure! Taaluma yake kimo cha spika ni majimarefu! Pia kuhangaika kuwasema watu wa mtaa wa ufipa ni kujipiga mgongoni kufukuza nzi wakati nzi hao wanakuuma mbele ya kifua! Ukifuatilia hata kauli za katibu mkuu wa CCM Dk Bashiru mara kadhaa alionekana kukinzana na kauli za Makonda na sio Bashiru tu wapo wengi ndani ya CCM hawampendi mwana wa Mungu huyu, ndio maana pamoja na kuwahi kuwa DC wa kinondoni lakini alilikimbia jimbo la kinondoni akavuka ng'ambo kule Kigamboni akizania hawapo, wamemtia adabu! Sasa zile kauli za mkoa wangu......watu wangu.......Huku akiwatumia polisi kama mbwa wa kuwafuga nyumbani kwake sasa mwisho!
Hahahaaaa........ Nimekuelewa bwashee!
 
[SUP]Kwa wale watu wanaotaka kumcheka RC aliyepita naona mtulie tu maana confirmation bado so chill out[/SUP]
 
Unapomwambia yeye anakariri, jaribu kuthibitisha kwa kutoa mifano ya nafasi alizowahi tumikia kwa kuchaguliwa. Maana za uteuzi kila mtu anazijua.
Kwani Dr Tulia Ackson aliwahi kuchaguliwa wapi kabla wabunge hawajamchagua kuwa Naibu Spika wao?

Bungeni lolote linawezekana aliyefeli ni Le mutuz pekee!
 
Tunakumbushana tu kwa sababu siasa ni sayansi.

Kwa sasa Job Ndugai bado anataka kuendelea kuwa Spika na Dkt. Tulia Ackson anautamani uspika.
Ili kuepusha shari CCM ina utamaduni wake kama huujui angalia Dr Kigwangalla aliingiaje bungeni kwa mara ya kwanza.

So wale watani zangu wa Ufipa angalieni furaha ya nyani isiishie jangwani mnayedhani mmemuacha Kigamboni mnaweza kumkuta Dodoma amekaa siti ya mbele anaongoza muhimili.

Niwatakie Alhamisi yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Bwashee, we wa ajabu kweli. Ulikuwepo wakati yanatangazwa matokeo? Wale wajumbe walioshiriki kupiga kura, wakaripuka kwa furaha na kumshangilia Ndugulile baada ya matokeo, ni kutoka CHADEMA?
 
Tunakumbushana tu kwa sababu siasa ni sayansi.

Kwa sasa Job Ndugai bado anataka kuendelea kuwa Spika na Dkt. Tulia Ackson anautamani uspika.
Ili kuepusha shari CCM ina utamaduni wake kama huujui angalia Dr Kigwangalla aliingiaje bungeni kwa mara ya kwanza.

So wale watani zangu wa Ufipa angalieni furaha ya nyani isiishie jangwani mnayedhani mmemuacha Kigamboni mnaweza kumkuta Dodoma amekaa siti ya mbele anaongoza muhimili.

Niwatakie Alhamisi yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Tangu Marehemu Adam Sapi Mkwawa hatujawahi tena kupata Spika Muislam. Sijui Waislam wanakosea wapi?
 
Tunakumbushana tu kwa sababu siasa ni sayansi.

Kwa sasa Job Ndugai bado anataka kuendelea kuwa Spika na Dkt. Tulia Ackson anautamani uspika.
Ili kuepusha shari CCM ina utamaduni wake kama huujui angalia Dr Kigwangalla aliingiaje bungeni kwa mara ya kwanza.

So wale watani zangu wa Ufipa angalieni furaha ya nyani isiishie jangwani mnayedhani mmemuacha Kigamboni mnaweza kumkuta Dodoma amekaa siti ya mbele anaongoza muhimili.

Niwatakie Alhamisi yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Ishu si kushindwa, everybody knows kuwa Jiwe atamteua hata kuwa PM! Lakini message has been sent kuwa anachukiwa na UMMA wa watanzania kwa matendo yake aliyoyafanya/maneno yake etc etc. Hili ndilo la Muhimu! Vyeo atapata sana tena sana enzi ya Jiwe. LKN akija mwingine he will be held accountable on various criminal offenses! Nadhani umenielewa. It is no wonder labda Makonda ni wewe! (Mods msinfungie , I am just speculating, na speculation siyo kosa)
 
Spika wa bunge ni lazima awe mbunge wa kuchaguliwa na si vinginevyo. Ila naibu Spika sio lazima awe wa kuchaguliwa
Tunakumbushana tu kwa sababu siasa ni sayansi.

Kwa sasa Job Ndugai bado anataka kuendelea kuwa Spika na Dkt. Tulia Ackson anautamani uspika.
Ili kuepusha shari CCM ina utamaduni wake kama huujui angalia Dr Kigwangalla aliingiaje bungeni kwa mara ya kwanza.

So wale watani zangu wa Ufipa angalieni furaha ya nyani isiishie jangwani mnayedhani mmemuacha Kigamboni mnaweza kumkuta Dodoma amekaa siti ya mbele anaongoza muhimili.

Niwatakie Alhamisi yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom