Sports Arena ya Wasafi FM ni moja ya kipindi cha hovyo cha michezo Bongo

Acha ujuaji mkuu,iwapo utafanyika msako wa matumizi ya lugha fasaha humu basi asilimia kubwa humu ikiwemo na wewe pia tungekaa kimya
Nionyeshe makosa yangu tafadhali
 
Wapi nilipoonesha kuwa nimedharau mwanamke?!!!!nafikiri utakuwa na shida mahali,mimi kutokana na aina ya uandishi wako nilidhani ni jinsia nyingine ,
Bora uwe masikini wa mali kuliko kuwa fukara wa fikra kama wewe...
Unaweza ukawa tajiri wa fikra lakini huna kushoto wala kulia!
.
Hakuna aina ya uandishi duniani wa kutumia mashine za kielektroniki unaoweza kuelezea jinsia ya mtu narudia HAKUNA!
.
Thanks for wasting my time, mtu unayeweka alama za mshangao nne baada ya kuweka alama ya kiulizo 😝😝😝
 
Mkuu hii ni thread tu kuanzia mwanzoni unaponda tu na hasira ,kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni huwezi kumpangia hebu tuliza munkari
Wanakera boss wanaleta itikadi za kimasikini we kitu kama hukipendi achana nacho kwanini ukaze ubongo.
 
Unaonaje ukiacha kuwasikiliza na sio kupoteza muda wako kuwasikiliza ili uje uandike uzi JF? Huo muda ungetengeneza hata mia mbili.
Wabongo ukiona hivyo ujue timu yake imepewa ukweli.
Tupo zama za kusifiana. Ukiambiwa mapungufu yako ni nongwa kubwa.
 
Ahahahaha
Umenichekesha sana .et yule mnyAkyusa!!!
Sema George Ambangile
Nilikua nampenda sana huyu dogo akiawa Magic.Ila tangu atue wasafi namuona zero kabisa.
Nadhan setup ya kipindi haiko sawa kama asemamavyo mleta mada.
Wamejaa wajuaji wengi sana kias kwamba inatengeneza INTERNAL competition.
Kila mtu anataka asikike.
Kweli pia nakubal kuwa edo si mzuri wa kuchambua kwa kuongea. Hana flow na mpangilio wa nn kianze kip kifuate anapozungumza.Yake ni KALAMU tu
 
Mimi niliach kusikiliza kipindi chao CH magazeti asubuhi.
Max sijui zmbwela ni trash, kitenge bora angebaki kule efm.
 
Wabongo ukiona hivyo ujue timu yake imepewa ukweli.
Tupo zama za kusifiana. Ukiambiwa mapungufu yako ni nongwa kubwa.
Ni kweli, alafu haka katabia kakumpangia tajiri afanye nini na asifanye nini kanabidi kaachwe Sir kanazidi kukita mizizi.
.
Wewe hapo unaweza kuwa tajiri mkubwa tu leo hii sijui umepataje mali zako eti nataka nikuone unaemdesha VXR na sio Vitz na unakula Marry brown na sio kwa Shishi food. Ahahahah
 
Nionyeshe makosa yangu tafadhali
Onyesha= Onesha

Onyesha ,inatokana na kitenzi Onya kikiwa na maana ya kutoa angalizo au tahadhari

Onesha ,inatokana na kitenzi Ona,kikiwa na maana ya tazama au angalia
 
Wewe kweli ni mtu wa hovyo kuwahi kutokea yaani unanilazimisha kuuliza!!kama lengo langu lilikuwa kushangaa je?khaaaaa
 
Hili dongo ni lako mkuu,jiongeze basi.
Mwenzako anamaanisha utimu timu wenu na sio ulivyoelewa wewe.hahahahaha
Yaani unajishambulia mwenyewe kama Ali Ali
 
Pamoja na kusapoti ulichokiandika, ila kweli hiyo mifano hata mimi ingeniuma ningekuwa upande wako.
Hahahaha we jamaa dah, ila hiyo mifano yake jamaa kama alikuwa kipofu sasa akapona na watu wa kwanza kuwaona tu ni hao hahahahaha
Ingawa mimi ni Kop lakini kwa hilo hapana
 
Hahahaha we jamaa dah, ila hiyo mifano yake jamaa kama alikuwa kipofu sasa akapona na watu wa kwanza kuwaona tu ni hao hahahahaha
Ingawa mimi ni Kop lakini kwa hilo hapana

Mimi kile kipindi huwa nakisikiliza kwa sababu ya George Ambangile, ila naona kama hapewi dakika za kutosha za mimi kusikia madini yake.

Nimeacha kwa muda kuwasikiliza.
 
Na wewe unayeweka nukta kwanza alafu ndio unashangaa? 🙂 sawasawa,punguza ujuaji ilhali na wewe hujui,khaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…