cheki hii mkuuMambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.
Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabla hujawalaumu subiri kwanza msimu uishe, kwa hii spidi yenu ya kugongwa nahisi atavunja hiyo rekodi yake.Sport extra hakuna wachambuzi Bali wachafuzi
Niliacha muda mrefu sana kusikiliza hicho kipindi ni wahuni Fulani ivi was mjini washibishe matumbo yao.
Nimemsikia Lwambano eti yanga wanasajiri kibiashara,huo no uchambuzi kweli?
Wachezaji wengi wametoka As vita club, na ndiyo hao waliomnywesha simba5. Kina mchezaji wa kumtilia shaka pale?
Kipindi cha kwanza yanga walidominate game, timu haifanya preesezone kiwango kile ni uwezo wa mchezaji mmoja mmoja.
MLITAKA IWEJE?
MBONA HAMUUNDI TIMU YETU TUONE UWEZO WENU WA KUSAJIRI.
SASA NINAMJEKEWA MANARA JUU YA WACHAMBUZI
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Bado 49 mkuu count down iendeleeZimebaki goli ngapi?
Na jana la 3 bado 47tayari goki mbili kwa msimu huu bado 48 tufukie rekodi
Asante sana kwa kuweka rekodi sawaNa jana la 3 bado 47
[emoji2][emoji2][emoji2]Mambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.
Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwako studio, Jesse JohnMambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.
Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? ๐๐๐
Usipende habari za kuambiwa.Kuna kipa mpya toka mali unaambiwa kapigwa 50 kwa msimu
Ipi habari ambayo sio ya kuambiwa..?.kwa maana habari zote za michezo na burudani tunapashwa au kuambiwa na waandiahi wa habari kupitia mitandao ya kijamii na vituo vya habari Television na radioUsipende habari za kuambiwa.
kwa sasa bado 46Na jana la 3 bado 47
Yatafika 50 kama kawaida subiria ligi ichanganye vzrkwa sasa bado 46
Mpura wa deflection hakuna jinsiYatafika 50 kama kawaida subiria ligi ichanganye vzr
Hata iwe reflection au hata ubend cc hatujui goli tena umepita karibu tu na yeye ๐ฎ๐ฎMpura wa deflection hakuna jinsi