Sports Extra ya Clouds Fm: Golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja

Sports Extra ya Clouds Fm: Golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja

Mambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.

Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? [emoji23][emoji23][emoji23]
cheki hii mkuu
 
Sport extra hakuna wachambuzi Bali wachafuzi
Niliacha muda mrefu sana kusikiliza hicho kipindi ni wahuni Fulani ivi was mjini washibishe matumbo yao.

Nimemsikia Lwambano eti yanga wanasajiri kibiashara,huo no uchambuzi kweli?

Wachezaji wengi wametoka As vita club, na ndiyo hao waliomnywesha simba5. Kina mchezaji wa kumtilia shaka pale?

Kipindi cha kwanza yanga walidominate game, timu haifanya preesezone kiwango kile ni uwezo wa mchezaji mmoja mmoja.
MLITAKA IWEJE?
MBONA HAMUUNDI TIMU YETU TUONE UWEZO WENU WA KUSAJIRI.
SASA NINAMJEKEWA MANARA JUU YA WACHAMBUZI

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kabla hujawalaumu subiri kwanza msimu uishe, kwa hii spidi yenu ya kugongwa nahisi atavunja hiyo rekodi yake.
 
Mambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.

Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2]
Nimecheka kizembe!
 
Mambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.

Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? 😂😂😂
Kwako studio, Jesse John
 
Usipende habari za kuambiwa.
Ipi habari ambayo sio ya kuambiwa..?.kwa maana habari zote za michezo na burudani tunapashwa au kuambiwa na waandiahi wa habari kupitia mitandao ya kijamii na vituo vya habari Television na radio
 
Back
Top Bottom