Stand kuu ya mabasi kukosa huduma ya choo kwa masaa zaidi ya sita kwa kisingizio za kutokuwa na maji ni uwendawazimu, hiki ni kioo Cha nchi

Stand kuu ya mabasi kukosa huduma ya choo kwa masaa zaidi ya sita kwa kisingizio za kutokuwa na maji ni uwendawazimu, hiki ni kioo Cha nchi

Chooni kuwa sehemu chafu kabisa yenye kinyaa ni utamaduni ambao tumeujenga siku nyingi na kuja kuuondoa itachukuwa muda mrefu sana. Utashangaa hata nyumbani kwa watu wameshaamua vyooni ni sehemu inayostahili iwe chafu. Na funga kazi ya yote unakuta kila choo unachoingia kinakuwa na ndoo moja iliyojazwa maji na kopo kwa pembeni eti ni maji ya kutawazia!! Kila mtu baada ya kujisaidia anachovya kopo ndani ya choo halafu anafanya shughuli yake. Ni kinyaa!!!! Ni chafu wa hali ya juu huu!!! NB: Sabuni, bomba la kunawa mikono na toilet paper ni vitu vilivyopigwa marufuku kwenye vyoo vingi vya Bongo.
Hasa makanisani vyoo utakuta vichafu havina hata maji,tofauti na msikitini maji yapo mda wote
 
Wangetokea wenye akili zao wajisaidie sehemu ya wazi ndo wamgetia akili. Sasa pale mtu unaenda kujisaidia wapi?
Unajua kunavitu havihitaji hata bajeti ipitishwe na madiwani.
Nivitu vya dharura.
Na Kuna maafisa afya they are paid.
 
Hasa makanisani vyoo utakuta vichafu havina hata maji,tofauti na msikitini maji yapo mda wote
Nadhani wewe umeelewa vibaya maoni yangu. Unadhani kwamba nimewapiga kijembe waislam kumbe hapana. Mimi nimezungumzia tabia yetu kama watanzania siyo kikundi fulani cha watu. Hili kuweka maji ya kutawadhia chooni siyo jambo baya kama maji yatawekwa na kutumika kwenye hali ya usafi. Tatizo lililopo sasa ni kuwa unakuta ndoo moja yenye maji na kopo la kuchotea ambalo analitumia kila mtu bila kuzingatia ''hygiene''. Ndoo inakuwa inajazwa kila siku bila hata kuisafisha, na kopo nalo linatumika na watu wengi bila kuoshwa!
 
Inasikitisha sana
Katika vitu nimegundua hatujali sisi waswahili ni choo. Unakuta choo kiko mahali pa umma lakini ni pachafu kupita maelezo. Unakuta watu wamevaa masuti mazito mazito lakini hivyo vyoo wanavyoenda kujisaidia ni bonge la aibu.
 
Labda viongozi wa hii stand wame zowea kutawaza na majani, ndiyo maana hawaoni umuhim wa maji!
Ni CCM hao viongozi wengi ni mabasha na mashoga wanapata stimu wakisikia harufu ya mafiii
 
Ni upumbavu ambao haukubaliki wala kuvumilika stend kuu kama hii ya Magufuli Mbezi louis kuendelea kukusanya mapato huku abiria wakitoa pesa zao kwaajiri ya huduma ya choo,Kisha wanaambiwa ni haja ndogo tu maana maji hakuna almost 6hrs now tokea kusitishwa kwa huduma hiyo muhimu.bila hata kutoa suluhisho la muda mfupi kama kujaza ndoo
Uzembe huu hauhitaji hata kuwa na elimu ya darasa la nne ili kutatua tatizo Kama hili.
Nikweli tumefikia level ya upumbavu huu?
Milipuko ya mangojwa ya kuambukiza Kweli tutaweza kuwadhibiti kwa mentality za kijinga hivi?
Waweke vichaka hapo nje watu 'wachimbe dawa'! Si ndo mila na utamaduni wa bongoland?
 
Kwani si mliambiwa muache mavi yenu nyumbani, au mmesahau? [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Stand ipi hiyoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Du kingereza ulicho ongea kinatereza kama umepaka kilainishi nyuma .....lazima utakuwa umefundishwa na basha wa kizungu, yaani hadi nimedindisha
Siyo kila jukwaa la kututangazia ushoga wako wee bwabwa.
Hii ni jukwaa la wenye mtazamo wa kiume.
 
Back
Top Bottom