Pre GE2025 Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Cheki Kinana anavyotia huruma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/DE9l0j5NvI0/?igsh=MWdibWc4bGdyOXBtNw==
 
Kumbe ilikua awe yeye!
Ndio maana amesimamishwa aweke sawa, hata sauti yake inaonyesha hana furaha sana na uteuzi huu.
Mtu amekuwa waziri mkuu, ana pensheni ya uwaziri mkuu, umri umeenda anataka nini tena?

Kweli madaraka ni madawa ya kulevya.
 
Leteni Picture Ya Wasira Aliyofinga Vifungo Vya Koti Hovyo Akiwa Waziri Enzi Za JK
 
Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia. Yupooooooo,πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Vijana bado hamuaminiki kushika nafasi za juu za chama. Jifunzeni siri hizi kwa wazee kama Wassira. Achaneni na show off.
 
Reactions: G4N
CCM kwa nini mnaogopa vijana kuwapa madaraka ya kukiongoza chama. Huyu mzee wa miaka 80 na ushee kweli. Yaani hata kama si kazi ya matofali lakini....
Wasira amepewa mamlaka akiwa na miaka 25.

Salim Ahmed Salim amepewa mamlaka makubwa akiwa na umeri wa miaka 18.
Nyerere amekuwa rais akiwa na miaka 39.

Sasa kwann wanaogopa kumkabidhi umakamu mwenyekiti wa chama kijana ??

Kwa uteuzi huu hata Mbowe kapata uchochoro wa kutokea
 
mafunzo ya uzushi umeyapatia bavicha au bazecha gentleman πŸ’
 
Mbona huku wamesema Wasira

 
makongoro nyerere akuje aone jamaa awamu ya sita yumo tena

mganga wa wasira anajua sana
 
Wazee wa hekima wamerudi mahala pake
 
Ila tuache utani jamani CCM ina hazina kubwa ya viongozi
 
Huyu mzee ana miaka 80 jamani angewachwa apumzike!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…