Pre GE2025 Stephen Wasira atua kibabe na Ndege ya kibabe Mkoani Songwe. Kuwasha moto kwa siku tatu mfululizo bila kupumzika

Pre GE2025 Stephen Wasira atua kibabe na Ndege ya kibabe Mkoani Songwe. Kuwasha moto kwa siku tatu mfululizo bila kupumzika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu Watanzania,

Chuma cha Reli, Mwamba Mwenyewe ,Nguli wa Siasa na Jabali la siasa Stephen Wasira Makamu Mwenyeki wa CCM Taifa Ametua kibabe kwelikweli katika uwanja wa ndege wa Songwe . kwa ajili ya kuanza ziara katika mkoa wa Songwe. Ambako anatarajiwa kuwasha Moto 🔥 mkali kwelikweli kwa siku tatu mfululizo bila kupumzika.

Kabla ya kuweka miguu yake chini alipokelewa na kulakiwa na viongozi mbalimbali ngazi ya mkoa wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa songwe Mheshimiwa sana Daniel Chongolo , Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Songwe Ndugu Radwell Mwampashe na viongozi wengine wengi sana wakiwepo wabunge mbalimbali wa Mkoa wa Songwe.

Akiwa mwenye tabasamu ,furaha na bashasha,nguvu na stamina Mheshimiwa Wasira alisalimiana na viongozi hao kikakamavu kabisa kama komandoo aliyetoka Kumaliza mafunzo yake na kufaulu vyema kabisa.

Tayari wananchi wa mkoa wa songwe wanashauku kubwa sana ya kumsikiliza na kumpokea Makamu wetu wa CCM Taifa. Hii ni kutokana na kutambua uchapakazi wake,uhodari wake na uzalendo wake uliotukuka katika utumishi wa umma na namna alivyojitoa na kujitolea Maisha yake kwa ajili ya chama na Taifa letu.View attachment 3269466View attachment 3269467View attachment 3269468View attachment 3269469View attachment 3269471

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
ccm inaelekea kufa,na mzee asipoangalia nayeye watamharakisha umri alionao niwakutafakari mapito yake nakurekebisha
 
Screenshot_20250314_090748.jpg
 
Lilifanyika shindano la kusinzia kidunia wasira akawa mshindi wa kwanza alikuja kwenye mashindano akiwa amesinzia
 
Nasimama na Tanzania ,nitaipenda nitailinda ,Nenda Wasira kafanye kazi ,wewe bado ni kijana mbichi sana ,maneno ya wenye wivu wasikurudishe nyuma .
Nenda kijana wangu ,hakika una manguvu mengi sana mpaka nakuona wivu kijana wangu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Chuma cha Reli, Mwamba Mwenyewe ,Nguli wa Siasa na Jabali la siasa Stephen Wasira Makamu Mwenyeki wa CCM Taifa Ametua kibabe kwelikweli katika uwanja wa ndege wa Songwe . kwa ajili ya kuanza ziara katika mkoa wa Songwe. Ambako anatarajiwa kuwasha Moto 🔥 mkali kwelikweli kwa siku tatu mfululizo bila kupumzika.

Kabla ya kuweka miguu yake chini alipokelewa na kulakiwa na viongozi mbalimbali ngazi ya mkoa wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa songwe Mheshimiwa sana Daniel Chongolo , Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Songwe Ndugu Radwell Mwampashe na viongozi wengine wengi sana wakiwepo wabunge mbalimbali wa Mkoa wa Songwe.

Akiwa mwenye tabasamu ,furaha na bashasha,nguvu na stamina Mheshimiwa Wasira alisalimiana na viongozi hao kikakamavu kabisa kama komandoo aliyetoka Kumaliza mafunzo yake na kufaulu vyema kabisa.

Tayari wananchi wa mkoa wa songwe wanashauku kubwa sana ya kumsikiliza na kumpokea Makamu wetu wa CCM Taifa. Hii ni kutokana na kutambua uchapakazi wake,uhodari wake na uzalendo wake uliotukuka katika utumishi wa umma na namna alivyojitoa na kujitolea Maisha yake kwa ajili ya chama na Taifa letu.View attachment 3269466View attachment 3269467View attachment 3269468View attachment 3269469View attachment 3269471

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi mkoani songwe kuna uwanja gani wa ndege alipotua kibabe!?...mnakuwa machawa hamjui hata viwanja vya ndege vipo wapi
 
Siku 3 ni saa 72 , katika hizo saa 6-8 tu ndio atakuwa "active" zilizobaki nyingne itakuwa vipndivifup vya kuchapa usingizi.
 
Kuna wakati alizuga anafanya biashara ya samaki kumbe ilikuwa geresha tu alikuwa anajihusisha na biashara haramu ya viungo vya binadamu ni mwovu sana hyu dingi
Ujinga tu ndio umekujaa.acha wivu fanya kazi na siyo kupiga umbeya wako hapa
 
Huyu labda awe ametoka kupuliza vuvuzela ,vidampa kama hawa wanawekwa kwenye wale washangiliaji wakulipwa wapuliza vuvuzela hapo amesharudi jioni mashavu yanamuuma kaambulia buku 7.
Huwa wanapewa nyama na pombe hakuna malipo zaidi ya hapo
 
Back
Top Bottom