Stephen Wassira: Watanzania wamemuelewa na kumuunga mkono Rais Samia; wanasema kiwango chao cha furaha kimeongezeka

Furaha lazima iwepo kwa wezi, wasiopenda kuambiwa kweli, wenye kutakabari, wenye ubinafsi, wanaojiwazia wao, wasiopenda kazi, wapenda kuna issue inaisikilizia haoo. By the way Wacha mjipe moyo mda huu ila siku Zaja nazo mtasema kumbe bora yule...
 
Kwa mujibu wa Prof. Assad ni kuwa wote waliokuwa wanamsifu na kumpamba walikuwa wanatafuta fursa!
Na amedai hatuhitaji viongozi wa aina hio! Hatutafika popote yani! We need people with integrity and who stand for the right sio kwenda na upepo tu.

Ndio vinyonga waliojaa serikalini!
 
Mi naona wakongwe wote ambao mfumo uliwatema kwa sababu ya kuchuja kifikira wameanza kutoka mapangoni,lakini pamoja na hayo tumeishaamka,kila siku wanaimba vijana wajiajiri wao bado wana kasumba ya kutaka kuajiriwa,najiuliza swali kuna nini kinachopiganiwa?
mtu unataka mpaka upigane vikumbo ofisini na wajukuu zako hiyo si ni aibu.
Hivi mzee wetu alikuwa mtu kushindania ubunge na akina na Bulaya? Tusipoangalia tutaunga mkono vinyongo vya watu ambao wanaiona serikali iliyopita haikuwaunga mkono ktk mbio zao za kutaka warejee bungeni.
 
Ni Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.
Kwa wapenda maendeleo,lakini walafi akiwemo mzee wetu bado ana machungu ya kushindwa ubunge na mjukuu wake huku akitegemea serikali imsaidie kwenye kesi,akakuta imepiga kimyaaa.
 
Walikuwa wanamuogopa
Kweli kabisa walikuwa wana muogopa. Kwa nini usimuogope mtu ambaye ana miliki kikosi cha WASIOJULIKANA ambacho kina nguvu kuliko jeshi la Polisi. Ukimkosoa tu wanakuja popote na Noah wanakukamata na kukupoteza.

Kwa nini usimuogope mtu ambaye anakupeleka Segerea na kujufungulia mashtaka ya kutakatisha fedha yasiyo na dhamana kisa umemkosoa tu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…