Ni Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.
Kabudi anasema yeye ni yatima ameokotwa majalalani!! Njaa hizi!!Alisifiwa na nani au Paramagamba KABUDI
Nani atasema bora yule? Watu watawalaumu hao wengine, lakini sio kusema bora yeye.Furaha lazima iwepo kwa wezi, wasiopenda kuambiwa kweli, wenye kutakabari, wenye ubinafsi, wanaojiwazia wao, wasiopenda kazi, wapenda kuna issue inaisikilizia haoo. By the way Wacha mjipe moyo mda huu ila siku Zaja nazo mtasema kumbe bora yule...
Ufe tu maana huna faida yeyote ile hapa duniani.
hao wamepandikizwa ccm?
CORONA BABA LAOOOOO
Hakuna mtu anayefurahia kifo chake, bali watu wengi wanafurahia madaraka ya uraisi yapo kwa raisi mwingine.Pamoja na mapungufu ya Hayati Rais Magufuli Mimi siwezi kufurahia Kifo chake!
... no....you are wrong...the deadwood is already rotting in hell.... and you know who I mean...mUbora tunatofautiana. This is a deadwood!
Kufa tu tena ungepitiwa na corona ingependeza sana.hizi ndio akili zenu nyumbu.
Vyeo vya kisiasa havina ukomo wa umri kwa sababu ni matakwa ya wananchi wenyewe. Sasa kuna baadhi ya vijana vibaka kama Sabaya mnataka uongozi ili mnyanyase watu na kupora mali zao! Kafie mbali pamoja na jiwe lenu!Mi naona wakongwe wote ambao mfumo uliwatema kwa sababu ya kuchuja kifikira wameanza kutoka mapangoni,lakini pamoja na hayo tumeishaamka,kila siku wanaimba vijana wajiajiri wao bado wana kasumba ya kutaka kuajiriwa,najiuliza swali kuna nini kinachopiganiwa?
mtu unataka mpaka upigane vikumbo ofisini na wajukuu zako hiyo si ni aibu.
Hivi mzee wetu alikuwa mtu kushindania ubunge na akina na Bulaya? Tusipoangalia tutaunga mkono vinyongo vya watu ambao wanaiona serikali iliyopita haikuwaunga mkono ktk mbio zao za kutaka warejee bungeni.
Shujaa pekee wa Afrika aliyelela na anayeishi miyoni mwa watanzania na waafrika kwa ujumla Ni Mwl. Nyerere. Acha kupotoshaNi Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.
Shujaa pekee wa Afrika aliyelela na anayeishi miyoni mwa watanzania na waafrika kwa ujumla Ni Mwl. Nyerere. Acha kupotosha
Ulitaka afe nani ?, kama unaona vema nenda ukawaombe wafunue ule mfuniko uingie wewe mle ndani ya kaburi lakePamoja na mapungufu ya Hayati Rais Magufuli Mimi siwezi kufurahia Kifo chake!
Kufa tu tena ungepitiwa na corona ingependeza sana.
Sasa hivi sitakufa kwa stress maaana mama kashasema hataki kodi zenye dhuluma.wewe ni stress zitakuua.wala si corona.
Pamoja na mapungufu ya Hayati Rais Magufuli Mimi siwezi kufurahia Kifo chake!