nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
Kwako wewe ccm imara ni ya kidikteta kama ya mwendazake?Na CCM ya sasa ndio inakoelekea, inadhoofika kwa kasi ya mwanga. Ni vile hakuna upinzani wa kweli, ila 2025 isingetoboa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwako wewe ccm imara ni ya kidikteta kama ya mwendazake?Na CCM ya sasa ndio inakoelekea, inadhoofika kwa kasi ya mwanga. Ni vile hakuna upinzani wa kweli, ila 2025 isingetoboa.
WAACHE UNAFIKI WASALITI HAO LIPUMBA KAGOMBEA MARA NGAPI huo URAIS?Lakini nadhani kazungumza ukweli.
Na kama Sakaya alivyosema alipokuwa akifanya Mahojiano na Wasafi Tv
Kwamba , Kosa Yule Mzee Mwenye Mvi kujiunga UKAWA.... 2015 kuivuruga , UKAWA pengine saivi Nchi ingekuwa Mikononi mwa Lipumba au Slaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwa nashangaa watanzania wasemao eti Lowasa aliivuruga ukawa.Lowasa aliongeza nguvu nyingi ukawa,walitaka kuiyumbisha ni hao wachumia tumbo,Mzee dokta wa Mihogo na propesa wa Buguruni lakini walishindwa.Ukawa ikibaki imara na kupigiwa kura nyingi na watanzania.Ukawa ilishinda ila haikutangazwa.CCM,polisi,time na serikali ya kikwete walifanya Mapinduzi haramu kote bara na visiwani.Viva Lowasa,Mbowe,late Maalim Seif ,Juma Dunia Haji,Tundu Lissu,John Mrema na wengine.Si kweli. Lowassa ndiye aliyekuwa na nguvu that time. Ukawa kama Ukawa akina Slaa na Lipumba wasingeweza kuwa na ile nguvu. Ile nguvu haitakuja tokea tena mpaka miaka 30 ipite. Watu walimpenda Lowassa na walimwamini. Serikali isingeruhusu achukue Urais.
Maana yake kikwete alikidhoofisha chama? Maana yake Rais aliyekuwepo madarakani na mwenyekiti alikifanya chama kiwe dhaifu mpaka kukosa mvuto?
Wewe leo hii ni wa kumbagaza kikwete? Kuonesha kuwa alikuwa dhaifu? Ni nani alisababisha hiki chama kushinda mwaka 2015? Pamoja na udhaifu wake? Ni nani?
View attachment 2182343
Weee....umeenda nje ya mada kabisa. Unakuwa na mahaba mpaka mkewe anaweza kukutilia mashaka. Kikwete naye alipoona mambo magumu akamsukumia Magufuli (mzigo mzito mpe Mnyamwezi)beki mahiri wa zamani wa ufaransa, lizarazu bixente, aliwaambia waandishi wa habari alipokuwa akihojiwa kuwa katika timu yao ya ufaransa waliambiwa kabisa na kocha kuwa ukiwa na mpira na hujui cha kufanya (umezidiwa) basi we mpe zidane tu; yeye atajua afanye nini.
kwa siasa zetu za bongo zilipofika kuanzia 2015, namfananisha kikwete na zidane. imekuwa ni kawaida sasa kila kiongozi, mwanasiasa au mwananchi mfuatiliaji wa siasa anapokuwa hana hoja au majibu basi zigo hutupiwa kikwete....ye atajua mwenyewe afanye nini.
n.k
- magufuli ametumia muda wake mwingi tu kumsukumia kikwete kila jambo baya,
- bashiru ametumia muda wake mwingi katika madaraka yake ya chama kumsukumia kikwete kila jambo baya,
- kina hapi wametumia muda vizuri tu katika kumsukumia kikwete kila jambo baya,
- vijana wa 'kazi maalumu' kina musiba, walitumia muda wao wote kumnanga kikwete kwa kila jambo baya,
Baada ya kifo cha magufuli;
- wafuasi wa jpm wanatumia muda wao na rasilimali zao zote kumsakama tena kikwete,
- wafuasi wa siasa, wasiojua chochote (mburura) nao wanatumia muda wao vizuri tu katika kumsakama kikwete,
- viongozi wengine nao ndo kama hivyo.......n.k
aisee, huyu jamaa aitwae kikwete, ataondoka duniani (muda wake ukifika) akiwa amechoka sana; si kwa majukumu haya aliyopewa na binadamu!
Hata mgogoro wa Kenya 2007-2008 alitupiwa Kikwete,Tezi dume akatupiwa Kikwete,masingle mother akina Vicky kamata alitupiwa yeye,najsikia hata Taleban katupiwa Kikwete.beki mahiri wa zamani wa ufaransa, lizarazu bixente, aliwaambia waandishi wa habari alipokuwa akihojiwa kuwa katika timu yao ya ufaransa waliambiwa kabisa na kocha kuwa ukiwa na mpira na hujui cha kufanya (umezidiwa) basi we mpe zidane tu; yeye atajua afanye nini.
kwa siasa zetu za bongo zilipofika kuanzia 2015, namfananisha kikwete na zidane. imekuwa ni kawaida sasa kila kiongozi, mwanasiasa au mwananchi mfuatiliaji wa siasa anapokuwa hana hoja au majibu basi zigo hutupiwa kikwete....ye atajua mwenyewe afanye nini.
n.k
- magufuli ametumia muda wake mwingi tu kumsukumia kikwete kila jambo baya,
- bashiru ametumia muda wake mwingi katika madaraka yake ya chama kumsukumia kikwete kila jambo baya,
- kina hapi wametumia muda vizuri tu katika kumsukumia kikwete kila jambo baya,
- vijana wa 'kazi maalumu' kina musiba, walitumia muda wao wote kumnanga kikwete kwa kila jambo baya,
Baada ya kifo cha magufuli;
- wafuasi wa jpm wanatumia muda wao na rasilimali zao zote kumsakama tena kikwete,
- wafuasi wa siasa, wasiojua chochote (mburura) nao wanatumia muda wao vizuri tu katika kumsakama kikwete,
- viongozi wengine nao ndo kama hivyo.......n.k
aisee, huyu jamaa aitwae kikwete, ataondoka duniani (muda wake ukifika) akiwa amechoka sana; si kwa majukumu haya aliyopewa na binadamu!
Huyu mzee ana akili za kiwehu wehu.Maana yake kikwete alikidhoofisha chama? Maana yake Rais aliyekuwepo madarakani na mwenyekiti alikifanya chama kiwe dhaifu mpaka kukosa mvuto?
Wewe leo hii ni wa kumbagaza kikwete? Kuonesha kuwa alikuwa dhaifu? Ni nani alisababisha hiki chama kushinda mwaka 2015? Pamoja na udhaifu wake? Ni nani?
View attachment 2182343
Akili hovyo hii,Lowasa ana ushawishi gani katika nchi hii kama siyo wizi na ufisadi,CHADEMA walikosea sana kumweka Lowasa kuwa mgombea wao wa uraisi,bora wangemweka Sumaye wangeonekana kuwa wana malengo chanya lakini kwa Lowasa walifeli sana,na wasijerudia mchezo huu hata siku moja ndiyo maana jiwe alijinyakulia sifa za kijinga baada ya kuona CHADEMA wanamkumbatia Lowasa.Si kweli. Lowassa ndiye aliyekuwa na nguvu that time. Ukawa kama Ukawa akina Slaa na Lipumba wasingeweza kuwa na ile nguvu. Ile nguvu haitakuja tokea tena mpaka miaka 30 ipite. Watu walimpenda Lowassa na walimwamini. Serikali isingeruhusu achukue Urais.
Si kweli. Lowassa ndiye aliyekuwa na nguvu that time. Ukawa kama Ukawa akina Slaa na Lipumba wasingeweza kuwa na ile nguvu. Ile nguvu haitakuja tokea tena mpaka miaka 30 ipite. Watu walimpenda Lowassa na walimwamini. Serikali isingeruhusu achukue Urais.
Kabisa boss, kila siku nasema cdm walifanya kosa la karne la kumpokea huyo mzee muhuni na kumpa ile nafasi adhimu. Mbowe alipaswa kujiuzulu uenyekiti kwa kosa lile, hasa wakati Lowassa aliporejea ccm baada ya muda mfupi.Akili hovyo hii,Lowasa ana ushawishi gani katika nchi hii kama siyo wizi na ufisadi,CHADEMA walikosea sana kumweka Lowasa kuwa mgombea wao wa uraisi,bora wangemweka Sumaye wangeonekana kuwa wana malengo chanya lakini kwa Lowasa walifeli sana,na wasijerudia mchezo huu hata siku moja ndiyo maana jiwe alijinyakulia sifa za kijinga baada ya kuona CHADEMA wanamkumbatia Lowasa.
Umeona eh! CCM wanapata nguvu bure ya kumpamba Lowasa kwa vile amerudi kwao,ningekuwa mimi Lowasa angepokelewa na kupewa nafasi ya kugombea ubunge au nafasi nyingine lakini si uraisi,hapo CHADEMA walikosea sana.Kabisa boss, kila siku nasema cdm walifanya kosa la karne la kumpokea huyo mzee muhuni na kumpa ile nafasi adhimu. Mbowe alipaswa kujiuzulu uenyekiti kwa kosa lile, hasa wakati Lowassa aliporejea ccm baada ya muda mfupi.
Hata magufuli alikuwa dhaifuMaana yake kikwete alikidhoofisha chama? Maana yake Rais aliyekuwepo madarakani na mwenyekiti alikifanya chama kiwe dhaifu mpaka kukosa mvuto?
Wewe leo hii ni wa kumbagaza kikwete? Kuonesha kuwa alikuwa dhaifu? Ni nani alisababisha hiki chama kushinda mwaka 2015? Pamoja na udhaifu wake? Ni nani?
View attachment 2182343
Umeona eh! CCM wanapata nguvu bure ya kumpamba Lowasa kwa vile amerudi kwao,ningekuwa mimi Lowasa angepokelewa na kupewa nafasi ya kugombea ubunge au nafasi nyingine lakini si uraisi,hapo CHADEMA walikosea sana.Kabisa boss, kila siku nasema cdm walifanya kosa la karne la kumpokea huyo mzee muhuni na kumpa ile nafasi adhimu. Mbowe alipaswa kujiuzulu uenyekiti kwa kosa lile, hasa wakati Lowassa aliporejea ccm baada ya muda mfupi.
Wewe hujui kitu enzi zile UKAWA ilikuwa na nguvu na wawakilishi wake kama akina Mbowe,Slaa,Sugu,Lissu,Msigwa,Mnyika,Mdee,Bwege,Mbatia na yule jamaa wa Kigoma aliyepewa ukuu wa Mkoa wa Simiyu kwa kuibua hoja zilizowagusa Watanzania wengi na kuwa kipenzi cha watu,Lowassa kapata umaarufu tu kwa vile alijiunga na UKAWA.Huwa nashangaa watanzania wasemao eti Lowasa aliivuruga ukawa.Lowasa aliongeza nguvu nyingi ukawa,walitaka kuiyumbisha ni hao wachumia tumbo,Mzee dokta wa Mihogo na propesa wa Buguruni lakini walishindwa.Ukawa ikibaki imara na kupigiwa kura nyingi na watanzania.Ukawa ilishinda ila haikutangazwa.CCM,polisi,time na serikali ya kikwete walifanya Mapinduzi haramu kote bara na visiwani.Viva Lowasa,Mbowe,late Maalim Seif ,Juma Dunia Haji,Tundu Lissu,John Mrema na wengine.
1995 je?Maana yake kikwete alikidhoofisha chama? Maana yake Rais aliyekuwepo madarakani na mwenyekiti alikifanya chama kiwe dhaifu mpaka kukosa mvuto?
Wewe leo hii ni wa kumbagaza kikwete? Kuonesha kuwa alikuwa dhaifu? Ni nani alisababisha hiki chama kushinda mwaka 2015? Pamoja na udhaifu wake? Ni nani?
View attachment 2182343