Stephen Wassira wewe siyo wa kumsema/ kumbagaza Kikwete namna hii. Umesahau Fadhila?

Stephen Wassira wewe siyo wa kumsema/ kumbagaza Kikwete namna hii. Umesahau Fadhila?

Lakini nadhani kazungumza ukweli.

Na kama Sakaya alivyosema alipokuwa akifanya Mahojiano na Wasafi Tv
Kwamba , Kosa Yule Mzee Mwenye Mvi kujiunga UKAWA.... 2015 kuivuruga , UKAWA pengine saivi Nchi ingekuwa Mikononi mwa Lipumba au Slaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
WAACHE UNAFIKI WASALITI HAO LIPUMBA KAGOMBEA MARA NGAPI huo URAIS?
 
Si kweli. Lowassa ndiye aliyekuwa na nguvu that time. Ukawa kama Ukawa akina Slaa na Lipumba wasingeweza kuwa na ile nguvu. Ile nguvu haitakuja tokea tena mpaka miaka 30 ipite. Watu walimpenda Lowassa na walimwamini. Serikali isingeruhusu achukue Urais.
Huwa nashangaa watanzania wasemao eti Lowasa aliivuruga ukawa.Lowasa aliongeza nguvu nyingi ukawa,walitaka kuiyumbisha ni hao wachumia tumbo,Mzee dokta wa Mihogo na propesa wa Buguruni lakini walishindwa.Ukawa ikibaki imara na kupigiwa kura nyingi na watanzania.Ukawa ilishinda ila haikutangazwa.CCM,polisi,time na serikali ya kikwete walifanya Mapinduzi haramu kote bara na visiwani.Viva Lowasa,Mbowe,late Maalim Seif ,Juma Dunia Haji,Tundu Lissu,John Mrema na wengine.
 
Maana yake kikwete alikidhoofisha chama? Maana yake Rais aliyekuwepo madarakani na mwenyekiti alikifanya chama kiwe dhaifu mpaka kukosa mvuto?

Wewe leo hii ni wa kumbagaza kikwete? Kuonesha kuwa alikuwa dhaifu? Ni nani alisababisha hiki chama kushinda mwaka 2015? Pamoja na udhaifu wake? Ni nani?


View attachment 2182343

Ajamsema mtu kasema ukweli
 
beki mahiri wa zamani wa ufaransa, lizarazu bixente, aliwaambia waandishi wa habari alipokuwa akihojiwa kuwa katika timu yao ya ufaransa waliambiwa kabisa na kocha kuwa ukiwa na mpira na hujui cha kufanya (umezidiwa) basi we mpe zidane tu; yeye atajua afanye nini.

kwa siasa zetu za bongo zilipofika kuanzia 2015, namfananisha kikwete na zidane. imekuwa ni kawaida sasa kila kiongozi, mwanasiasa au mwananchi mfuatiliaji wa siasa anapokuwa hana hoja au majibu basi zigo hutupiwa kikwete....ye atajua mwenyewe afanye nini.
  • magufuli ametumia muda wake mwingi tu kumsukumia kikwete kila jambo baya,
  • bashiru ametumia muda wake mwingi katika madaraka yake ya chama kumsukumia kikwete kila jambo baya,
  • kina hapi wametumia muda vizuri tu katika kumsukumia kikwete kila jambo baya,
  • vijana wa 'kazi maalumu' kina musiba, walitumia muda wao wote kumnanga kikwete kwa kila jambo baya,
n.k

Baada ya kifo cha magufuli;

  • wafuasi wa jpm wanatumia muda wao na rasilimali zao zote kumsakama tena kikwete,
  • wafuasi wa siasa, wasiojua chochote (mburura) nao wanatumia muda wao vizuri tu katika kumsakama kikwete,
  • viongozi wengine nao ndo kama hivyo.......n.k

aisee, huyu jamaa aitwae kikwete, ataondoka duniani (muda wake ukifika) akiwa amechoka sana; si kwa majukumu haya aliyopewa na binadamu!
Weee....umeenda nje ya mada kabisa. Unakuwa na mahaba mpaka mkewe anaweza kukutilia mashaka. Kikwete naye alipoona mambo magumu akamsukumia Magufuli (mzigo mzito mpe Mnyamwezi)
 
beki mahiri wa zamani wa ufaransa, lizarazu bixente, aliwaambia waandishi wa habari alipokuwa akihojiwa kuwa katika timu yao ya ufaransa waliambiwa kabisa na kocha kuwa ukiwa na mpira na hujui cha kufanya (umezidiwa) basi we mpe zidane tu; yeye atajua afanye nini.

kwa siasa zetu za bongo zilipofika kuanzia 2015, namfananisha kikwete na zidane. imekuwa ni kawaida sasa kila kiongozi, mwanasiasa au mwananchi mfuatiliaji wa siasa anapokuwa hana hoja au majibu basi zigo hutupiwa kikwete....ye atajua mwenyewe afanye nini.
  • magufuli ametumia muda wake mwingi tu kumsukumia kikwete kila jambo baya,
  • bashiru ametumia muda wake mwingi katika madaraka yake ya chama kumsukumia kikwete kila jambo baya,
  • kina hapi wametumia muda vizuri tu katika kumsukumia kikwete kila jambo baya,
  • vijana wa 'kazi maalumu' kina musiba, walitumia muda wao wote kumnanga kikwete kwa kila jambo baya,
n.k

Baada ya kifo cha magufuli;

  • wafuasi wa jpm wanatumia muda wao na rasilimali zao zote kumsakama tena kikwete,
  • wafuasi wa siasa, wasiojua chochote (mburura) nao wanatumia muda wao vizuri tu katika kumsakama kikwete,
  • viongozi wengine nao ndo kama hivyo.......n.k

aisee, huyu jamaa aitwae kikwete, ataondoka duniani (muda wake ukifika) akiwa amechoka sana; si kwa majukumu haya aliyopewa na binadamu!
Hata mgogoro wa Kenya 2007-2008 alitupiwa Kikwete,Tezi dume akatupiwa Kikwete,masingle mother akina Vicky kamata alitupiwa yeye,najsikia hata Taleban katupiwa Kikwete.
Kesi na hatimaye kifungo cha Babu Seya na wanae.
 
Through out his reign Magufuli never spoke ill of Lowassa for two reasons: first he realized that it was Lowassa’s followers who facilitated his party’s presidential nomination. Secondly, he knew that Lowassa was robbed the presintial election although it was him who was declared the winner!!

Ccm watake wasitake ukweli machungu ndio huo, Lowassa alidhulumiwa Urais!
 
Maana yake kikwete alikidhoofisha chama? Maana yake Rais aliyekuwepo madarakani na mwenyekiti alikifanya chama kiwe dhaifu mpaka kukosa mvuto?

Wewe leo hii ni wa kumbagaza kikwete? Kuonesha kuwa alikuwa dhaifu? Ni nani alisababisha hiki chama kushinda mwaka 2015? Pamoja na udhaifu wake? Ni nani?


View attachment 2182343
Huyu mzee ana akili za kiwehu wehu.
 
Si kweli. Lowassa ndiye aliyekuwa na nguvu that time. Ukawa kama Ukawa akina Slaa na Lipumba wasingeweza kuwa na ile nguvu. Ile nguvu haitakuja tokea tena mpaka miaka 30 ipite. Watu walimpenda Lowassa na walimwamini. Serikali isingeruhusu achukue Urais.
Akili hovyo hii,Lowasa ana ushawishi gani katika nchi hii kama siyo wizi na ufisadi,CHADEMA walikosea sana kumweka Lowasa kuwa mgombea wao wa uraisi,bora wangemweka Sumaye wangeonekana kuwa wana malengo chanya lakini kwa Lowasa walifeli sana,na wasijerudia mchezo huu hata siku moja ndiyo maana jiwe alijinyakulia sifa za kijinga baada ya kuona CHADEMA wanamkumbatia Lowasa.
 
Si kweli. Lowassa ndiye aliyekuwa na nguvu that time. Ukawa kama Ukawa akina Slaa na Lipumba wasingeweza kuwa na ile nguvu. Ile nguvu haitakuja tokea tena mpaka miaka 30 ipite. Watu walimpenda Lowassa na walimwamini. Serikali isingeruhusu achukue Urais.

Kwa taarifa yako Lowassa alienda cdm iliyokuwa na nguvu tayari. Lowassa angeenda TLP na kupata kura zile ndio ungeweza kumsifia. Kama Lowassa aliweza kupata kura 6m+ akiwa na miezi miwili, je aliipa cdm viti vingapi vya udiwani au ubunge alipokuwa na zaidi ya mwaka mmoja ndani ya cdm? Acheni kutaka kutoa sifa kwa mtu aliyekuta chakula mezani.
 
Akili hovyo hii,Lowasa ana ushawishi gani katika nchi hii kama siyo wizi na ufisadi,CHADEMA walikosea sana kumweka Lowasa kuwa mgombea wao wa uraisi,bora wangemweka Sumaye wangeonekana kuwa wana malengo chanya lakini kwa Lowasa walifeli sana,na wasijerudia mchezo huu hata siku moja ndiyo maana jiwe alijinyakulia sifa za kijinga baada ya kuona CHADEMA wanamkumbatia Lowasa.
Kabisa boss, kila siku nasema cdm walifanya kosa la karne la kumpokea huyo mzee muhuni na kumpa ile nafasi adhimu. Mbowe alipaswa kujiuzulu uenyekiti kwa kosa lile, hasa wakati Lowassa aliporejea ccm baada ya muda mfupi.
 
Kama kusema ukweli ni kumdhalilisha hebu shauri ni uongo gani atumie ili asimdhalilishe?.
 
Kabisa boss, kila siku nasema cdm walifanya kosa la karne la kumpokea huyo mzee muhuni na kumpa ile nafasi adhimu. Mbowe alipaswa kujiuzulu uenyekiti kwa kosa lile, hasa wakati Lowassa aliporejea ccm baada ya muda mfupi.
Umeona eh! CCM wanapata nguvu bure ya kumpamba Lowasa kwa vile amerudi kwao,ningekuwa mimi Lowasa angepokelewa na kupewa nafasi ya kugombea ubunge au nafasi nyingine lakini si uraisi,hapo CHADEMA walikosea sana.
 
Maana yake kikwete alikidhoofisha chama? Maana yake Rais aliyekuwepo madarakani na mwenyekiti alikifanya chama kiwe dhaifu mpaka kukosa mvuto?

Wewe leo hii ni wa kumbagaza kikwete? Kuonesha kuwa alikuwa dhaifu? Ni nani alisababisha hiki chama kushinda mwaka 2015? Pamoja na udhaifu wake? Ni nani?


View attachment 2182343
Hata magufuli alikuwa dhaifu
 
Kabisa boss, kila siku nasema cdm walifanya kosa la karne la kumpokea huyo mzee muhuni na kumpa ile nafasi adhimu. Mbowe alipaswa kujiuzulu uenyekiti kwa kosa lile, hasa wakati Lowassa aliporejea ccm baada ya muda mfupi.
Umeona eh! CCM wanapata nguvu bure ya kumpamba Lowasa kwa vile amerudi kwao,ningekuwa mimi Lowasa angepokelewa na kupewa nafasi ya kugombea ubunge au nafasi nyingine lakini si uraisi,hapo CHADEMA walikosea sana.
Huwa nashangaa watanzania wasemao eti Lowasa aliivuruga ukawa.Lowasa aliongeza nguvu nyingi ukawa,walitaka kuiyumbisha ni hao wachumia tumbo,Mzee dokta wa Mihogo na propesa wa Buguruni lakini walishindwa.Ukawa ikibaki imara na kupigiwa kura nyingi na watanzania.Ukawa ilishinda ila haikutangazwa.CCM,polisi,time na serikali ya kikwete walifanya Mapinduzi haramu kote bara na visiwani.Viva Lowasa,Mbowe,late Maalim Seif ,Juma Dunia Haji,Tundu Lissu,John Mrema na wengine.
Wewe hujui kitu enzi zile UKAWA ilikuwa na nguvu na wawakilishi wake kama akina Mbowe,Slaa,Sugu,Lissu,Msigwa,Mnyika,Mdee,Bwege,Mbatia na yule jamaa wa Kigoma aliyepewa ukuu wa Mkoa wa Simiyu kwa kuibua hoja zilizowagusa Watanzania wengi na kuwa kipenzi cha watu,Lowassa kapata umaarufu tu kwa vile alijiunga na UKAWA.
 
Maana yake kikwete alikidhoofisha chama? Maana yake Rais aliyekuwepo madarakani na mwenyekiti alikifanya chama kiwe dhaifu mpaka kukosa mvuto?

Wewe leo hii ni wa kumbagaza kikwete? Kuonesha kuwa alikuwa dhaifu? Ni nani alisababisha hiki chama kushinda mwaka 2015? Pamoja na udhaifu wake? Ni nani?


View attachment 2182343
1995 je?
 
Back
Top Bottom