Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Ndio Ccm tangu wakati wa Kikwete hadi huu wa Samia haijawahi kuwa stable zaidi ya kutegemea nguvu za dola ili iendelee kuishi. Ukisema Ccm kisimame chama chenyewe bila msaada wa Serikali, utashangaa hakuna mwanachama hata mmoja aliyebaki hapo.Maana yake kikwete alikidhoofisha chama? Maana yake Rais aliyekuwepo madarakani na mwenyekiti alikifanya chama kiwe dhaifu mpaka kukosa mvuto?
Wewe leo hii ni wa kumbagaza kikwete? Kuonesha kuwa alikuwa dhaifu? Ni nani alisababisha hiki chama kushinda mwaka 2015? Pamoja na udhaifu wake? Ni nani?
View attachment 2182343
Ungekosoa Kwa hekma ungepungukiwa nini? Kama Lowasa hakuwa na nguvu ni nini kilichotokea Dodoma kwenye mikutano ya CCM? Hadi Majaliwa aliimba ana Imani na Lowasa,Lowasa alikuja ukawa na wafuasi wangapi na ni wangapi walishinda Ubunge? Kura zilizotangazwa kwamba Lowasa alipata ni zaidi ya 6milioni,nambie ni lini mgombea wa upinzani aliwahi para hata nusu yake.Lipumba na Slaa 2010 walipata ngapi? Hata alipogombea Lissu 2020 alipata ngapi? Mnajidanganya hapa eti Lowasa alipunguzia nguvu ukawa bila facts zozote.Umeona eh! CCM wanapata nguvu bure ya kumpamba Lowasa kwa vile amerudi kwao,ningekuwa mimi Lowasa angepokelewa na kupewa nafasi ya kugombea ubunge au nafasi nyingine lakini si uraisi,hapo CHADEMA walikosea sana.
Wewe hujui kitu enzi zile UKAWA ilikuwa na nguvu na wawakilishi wake kama akina Mbowe,Slaa,Sugu,Lissu,Msigwa,Mnyika,Mdee,Bwege,Mbatia na yule jamaa wa Kigoma aliyepewa ukuu wa Mkoa wa Simiyu kwa kuibua hoja zilizowagusa Watanzania wengi na kuwa kipenzi cha watu,Lowassa kapata umaarufu tu kwa vile alijiunga na UKAWA.
Ungekosoa Kwa hekma ungepungukiwa nini? Kama Lowasa hakuwa na nguvu ni nini kilichotokea Dodoma kwenye mikutano ya CCM? Hadi Majaliwa aliimba ana Imani na Lowasa,Lowasa alikuja ukawa na wafuasi wangapi na ni wangapi walishinda Ubunge? Kura zilizotangazwa kwamba Lowasa alipata ni zaidi ya 6milioni,nambie ni lini mgombea wa upinzani aliwahi para hata nusu yake.Lipumba na Slaa 2010 walipata ngapi? Hata alipogombea Lissu 2020 alipata ngapi? Mnajidanganya hapa eti Lowasa alipunguzia nguvu ukawa bila facts zozote.
Anamaana yake wenye kumjua mtu asemachoMaana yake kikwete alikidhoofisha chama? Maana yake Rais aliyekuwepo madarakani na mwenyekiti alikifanya chama kiwe dhaifu mpaka kukosa mvuto?
Wewe leo hii ni wa kumbagaza kikwete? Kuonesha kuwa alikuwa dhaifu? Ni nani alisababisha hiki chama kushinda mwaka 2015? Pamoja na udhaifu wake? Ni nani?
View attachment 2182343