Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Circular reasoning
 
Quran 4:34 inawaambia wanaume wanawamiliki wanawake kwa kuwa wamewatolea mahari, na wakifanya makosa WAWAPIGE. Mungu huyo anatoa maelekezo[emoji3][emoji3][emoji91]



الرِّجَالُ قَوَّامُونَ عَلَى النِّسَاءِ بِمَا فَضَّلَ اللَّهُ بَعْضَهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ وَبِمَا أَنفَقُوا مِنْ أَمْوَالِهِمْ ۚ فَالصَّالِحَاتُ قَانِتَاتٌ حَافِظَاتٌ لِّلْغَيْبِ بِمَا حَفِظَ اللَّهُ ۚ وَاللَّاتِي تَخَافُونَ نُشُوزَهُنَّ فَعِظُوهُنَّ وَاهْجُرُوهُنَّ فِي الْمَضَاجِعِ وَاضْرِبُوهُنَّ ۖ فَإِنْ أَطَعْنَكُمْ فَلَا تَ
بْغُوا عَلَيْهِنَّ سَبِيلًا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلِيًّا كَبِيرًا


Dawood's version of the Koran, Quran, 4:34

Good women are obedient. They guard their unseen
parts because God has guarded them. As for those from
whom you fear disobedience, admonish them and send
them to beds apart and BEAT THEM. Then if they obey
you, take no further action against them. Surely God is
high, supreme."


Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na WAPIGENI. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu.
 
Mimi hii kitu ndo haijawahi nikaa kabisa!! Hapa tumepigwa sana kwenye hizi dini. Ukweli lazima usemweView attachment 1825278
Many people including you don't understand why God sent his Son Jesus Christ to die for our sins.

But I guarantee you that there is a day this unconditional love of GOD will be revealed to you and that day you'll fully comprehend the motive behind the death of Jesus Christ.

Na amini nakwambia, siku hiyo utaomba msamaha huku ukilia na kusaga meno kwa kosa lako la "kumdhihaki MUNGU".

Imeandikwa, "MUNGU hadhihakiwi". Shauri yako.
 
Mkuu hivi unawezaje kumthibitishia mtu kuwa hapa duniani kuna Spiderman au aliwahi kuwepo Spiderman kwa kumuwekea CD ya movie ya Spiderman?? [emoji13][emoji13][emoji13]

Yaani mtu amekuuliza "hivi unaweza kuthibitisha kweli Tazani aliwahi kuwepo?" Wewe unamwambia ndio nakuthibitishia kwa kukuwekea movie ya Tazani uangalie pale kwenye dakika ya 20: sekunde ya 42 ya movie ile utapata uthibitisho[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Yaani mtu anakwambia biblia imeandikwa na watu tu, sio neno la Mungu. Na huyo Mungu anayesemwa ni wa uongo hayupo, wewe unamwambia nakuthibitishia kwa kukufungulia biblia hiyo hiyo Yohana 3:16[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mtu akikwambia soma vitabu vingine vya kihistoria, fanya utafiti wa kina ujue kama yaliyoandikwa kwenye hivyo vitabu ni ya kweli wewe unasema ukweli wake upo ndani ya hivyo hivyo vitabu, hutaki kusoma vingine[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Yaani waafrika sijui akili yetu imefunguwa wapi!!! We ñeed to change. Tutafute ukweli, na ukweli uko wazi kabisa na ushahidi unaoshikika kabisa kuwa dini ni uongo na yaliyoandikwa mengi hayakuwahi kutokea. ukisoma vitabu vingi utajionea pasi na shaka kabisa.


Mbingu na Jehanam havipo sehem yoyote ile bali kwenye ubongo wa waumini.
 
Hakuna kitabu chenye glinches kama quran, nyie si ndo mnosena jua huchomoza na kuzama kwenye tope
Kama kuna mtu amekuambia kuwa Quran inasema jua linazama kwenye tope basi amekudanganya kama vile ulivyodanganywa kuwa Yesu ni Mungu


Quran 21:33.
Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea.

Quran inasema Jua linaogelea angani sasa kama angani kuna matope sawa litazama kwenye tope

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuuh km hii ndio akili yko basi tuishie hapa
 
 
Jerusalem is Canaanite. She's still named after a Jebusite god (Salem)
 
Wewe jamaa siyo mzima wallahi... eti tupigane ngwara!!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
inashangaza Sana mkuu yaani waafrika Bado wamefungwa kifikra ndugu,hawahoji,hawasomi,
Hawadadisi,hawana logic wamebaki kukariri na vitisho uchwara tu wenzetu huko Dunia ya kwanza asilimia kubwa walianza kushtuka mapema Sana na Sasa ukiangalia idadi ya maatheist ulaya ni kubwa na watu wanazidi kuzinduka Kwa Kasi ya kimbunga dini kwao ni Kama taasisi za kutolea misaada na kupiga deal third countries Kama huku Afrika!

Wake up you black race tutachekwa Kwa huu upuuzi wa kuamini miungu ya middle East!
 

Sisi tuli toka wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…