Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

Nikuulize, kama huyo mwanamke hakua mdangaji/Gold digger/Opportunist alifuata nini kwa kijana mdogo aliyemzidi miaka 10+ ??
Unadhani alikua anampemda kweli?? Laiti Hakimi angekua hana Status aliyonayo unadhani angekubali kua na kijana mdogo aliyemzidi ambaye hana kitu/Pesa????
Very simple and clear
 
Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.

Ikumbukwe kwamba, swala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.

Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakua ni salama kwa maswala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.

Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekua akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?

Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesabna mali zilizo chini ya jina lake.

Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na mdiyo ina trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakua mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Ebue.
Never never
 
kabla mwanetu Hakimi hajapata ile Scandal ya ubakaji

Tuiweke kando maana sitaki kutake sides pia!
Halafu mwanamke ni opportunist
Issue ya ubakaji ndio kwanza tuhuma.
Kabla hata ya uamuzi wa mahakama kuhusu case ya ubakaji mke kashadai talaka. Means anakuhukumu kwamba umefanya hicho kitendo.
Kesi ilivuokuwa public tuu dem kafuta picha zote walizopiga na Hakimi kwenye social networks na karud zake Madrid wakati nyumba wanayokaa ipo Paris.

Mwanamke alikuwa anasubiri tuu muda atake opportunity.
 
Wanawake wanamambo ya kingese sana na hasa hapo kwenye kutaka mali za wanaume kwa kigezo cha ndoa bora kuto oa tuu maana tuna oa mashetani yanayo omba ufe wakati wowote yamiliki mali ili waenjoy na ma ex wao

Dawa ni kuzalisha tu kam MONDI kila mtu akae kwao swala oa kufua DOBI wapo ,swala la kula SHISHI FOOD yupo , usafi wa nyumba wapo wanao toa huduma hiyo

Swala lannuegw MALAYA wapo mnakutana lodge mnaacha huko imeisha hiyo ili nizeeke kwa amani
"Dawa ni kuzalisha tu kam MONDI kila mtu akae kwao swala oa kufua DOBI wapo ,swala la kula SHISHI FOOD yupo , usafi wa nyumba wapo wanao toa huduma hiyo

Swala lannuegw MALAYA wapo mnakutana lodge mnaacha huko imeisha hiyo ili nizeeke kwa amani"

Me tumekuwa mbogo kweli kweli [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
FB_IMG_1681538851369.jpg
 
Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.

Ikumbukwe kwamba, swala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.

Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakua ni salama kwa maswala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.

Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekua akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?

Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesabna mali zilizo chini ya jina lake.

Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na mdiyo ina trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakua mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Ebue.
Maamuzi ya mahakama yaheshimiwe na kusimama!
 
👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️

⚖️⚖️ ⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️

📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜

This is not right at all.. Yes, things may have happened that leads them to divorce. But she is a human being, who sacrificed 2years of her life with Hakimi. She gave him something everyone human being needs, companionship. She deserves to leave with something.

Not even 50/50 even 25/50
 
Mali zilihamishwa kabla ya Ndoa? Kama ndio hakuna kosa alilolifanya Hakimi, kama ndio linaweza kuwa kosa kuhamisha mali ya ndoa bila kumtaarifu mwenza.
Mali zimehamishiwa nchi gani? Kama zipo nchi waliyoombeana talaka mahakama inaweza kuwa na Nguvu, ila vipi kama zipo Morroco? Hiyo mahakama itakuwa na hiyo Nguvu?
Mali zilihamishwa kihalali bila kukwepa kodi? Kama zilikuwa taxed hakuna Fraud, ila kama zilikwepa kodi shida ipo.
 
Swala ni kwamba hata kwetu ukienda kichwa kichwa kudai taraka unaweza ambulia patupu vilevile


kuna kesi ya Maria Tumbo Vs Harrold Tumbo ya Tanzania dada aliomba tataka akapewa vizuri tuu ila kwenye mgao wa mali akanyimwa kila kitu...

kwetu tunaangalia ulichangia kitu gani kwenye hizo mali unazotaka mgawane
 
Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.

Ikumbukwe kwamba, swala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.

Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakua ni salama kwa maswala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.

Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekua akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?

Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesabna mali zilizo chini ya jina lake.

Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na mdiyo ina trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakua mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Ebue.
Vyovyote ulivyowaza au kama unavyoeleza "reasoning",ni kwamba tabia ya wanawake kuolewa halafu kuishi na waume zao kama wanawavizia kupata maslahi makubwa haifai.Alipwe au asilipwe,wanawake wa sampuli hiyo ni takataka tu.Vijana wataogopa kuoa kwa tabia zao za kishenzi.
 
Back
Top Bottom