Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

πŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈ

βš–οΈβš–οΈ βš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈ

πŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œ

This is not right at all.. Yes, things may have happened that leads them to divorce. But she is a human being, who sacrificed 2years of her life with Hakimi. She gave him something everyone human being needs, companionship. She deserves to leave with something.

Not even 50/50 even 25/50
kumbe kugawana huwa ni mali za mwanaume tu, nilidhani zinachanganywa ili mgawanyo uwe wa haki.
Kama ni companionship Hakimi alitoa pia, mchango wa mwanamke kwenye utafutaji ni Upi?
 
πŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈ

βš–οΈβš–οΈ βš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈ

πŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œ

This is not right at all.. Yes, things may have happened that leads them to divorce. But she is a human being, who sacrificed 2years of her life with Hakimi. She gave him something everyone human being needs, companionship. She deserves to leave with something.

Not even 50/50 even 25/50
Aende zake kwanini ali focus kwenye mali? Hakumuonea huruma mwenzie pia?
 
[emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830]

[emoji3539][emoji3539] [emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539]

[emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411]

This is not right at all.. Yes, things may have happened that leads them to divorce. But she is a human being, who sacrificed 2years of her life with Hakimi. She gave him something everyone human being needs, companionship. She deserves to leave with something.

Not even 50/50 even 25/50
angepewa km asingeenda kuidai mahakamani kitendo cha kwenda mahakamani inaonesha kudai pasu kwa pasu inainesha n mchimba dhahabu tu
 
πŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈπŸ‘©β€βš–οΈ

βš–οΈβš–οΈ βš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈβš–οΈ

πŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œπŸ“œ

This is not right at all.. Yes, things may have happened that leads them to divorce. But she is a human being, who sacrificed 2years of her life with Hakimi. She gave him something everyone human being needs, companionship. She deserves to leave with something.

Not even 50/50 even 25/50
Unachekesha sana.Ali-ofa nini zaidi chenye thamani?Punani?Kwani Hakimi angeshindwa kununua vichochoroni?
 
Hebu toa vifungu vya sheria ya ufaransa ambavyo vinatibitisha hayo maneno.
Mahakama haiwezi kuhoji MALI UNAPELEKA/UNATUMIA WAPI.

Issue kubwa ni matunzo ya watoto tuu.
Hapo Mahakama ndio itahakikisha watoto wanapata matunzo yote.


Kesi ingrkuwa ufaransa hakimi asingetoboa ..kesi iko morroco. Huyo dada hatoboi kwa waarabu hakimi ni kama samatta wao
 
Vyovyote ulivyowaza au kama unavyoeleza "reasoning",ni kwamba tabia ya wanawake kuolewa halafu kuishi na waume zao kama wanawavizia kupata maslahi makubwa haifai.Alipwe au asilipwe,wanawake wa sampuli hiyo ni takataka tu.Vijana wataogopa kuoa kwa tabia zao za kishenzi.
Upo sahihi kabisa, mimi pia simlaumu Hakimi, ila naliona hili jambo kuwa hakijaisha bali ni mwanzo.

Pia, tabia ya kuzigeuza ndoa kuwa chanzo cha mapato hili kamwe si zuri, limeua sana hali ya kuamuniana kati ya wanawake na wanaume.
Ukija Tanzania, kuna wazazi wanaona kuwa na mtoto wa kiume ni hasara, wanaamini ukiwa na mtoto wa kiume watakao faidika nawe ni upande wa mwanamke huku wao wakiambulia patupu. Upande mwingine, marafiki, ndugu na wazazi wa mtoto wa kike humuona bint wao kuwa ni chuma ulete wao.

Hii imefika mahali ukiwa mwanaume, hata uwasaidie vipi wazazi wako, watabaki na nongwa kuwa ulichowapa itakua ni mabaki tu ila upande wa pili ndiyo watakuwa wamefaidi zaidi.

Viumbe wa kiume tunapita kwenye bonde la uvuli la wafu huku tukiwa na taabu nyingi sana
 
Unachekesha sana.Ali-ofa nini zaidi chenye thamani?Punani?Kwani Hakimi angeshindwa kununua vichochoroni?
Hapo ndio mwisho wa brain yako kufikiri 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣Pole sana we have a long way to go

Eti uchochoroni😞

Have you forced him to marry her?

Yeah, every person defending this has not even a brain cell to think logically like you πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”that this absolutely won’t fly in court.
 
Kwamba serikali inaweza kukuhoji unatumia Vipi pesa za mshahara na kwanini huna akiba?[emoji276]ama mimi ndio sijaelewa
Wewe ndiyo haujaelewa, ila ukisoma tena utaelewa vizuri tu.
 
kuna mdau hapo juu amesema serikali inaweza kumuuliza pesa anazopata anazipeleka wapi na anazitumiaje hahahaha

oya hivi unajua ukiamua maisha yako yawe ya bata tuu yaani FULL BATA pesa zitatembea kama umeme,. hivi mnayajua maisha ya FULL BATA
 
Back
Top Bottom