Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

Hivi mkuu umeshawahi kufuatilia mgawanyo wa mali huko magharibi unavyowatesa wanaume. Naomba ukasome story ya Emmanuel Eboue aliyekuwa mchezaji wa Arsenal, alinyanganywa almost kila kitu, akawa homeless kisa kujifanya kumpenda sana mkewe. Yule jamaa asingekuwa na connection angijiua.
ERoni

Yes I know and I do remember that hurting story of Eboue😌😌😌

This story is so weird to me. How did his wife get everything in the divorce? Isn't it usually 50/50? That judge must've really had it out for him.

Sounds like he signed papers while they were together that handed all the money to her..But even if that were the case..judges do some sort of financial split for a divorce normally

Who knows 🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️As others have said..theres something not in the public domain.
 
Kama kawaida Yetu wazee wa kuruka na Track!

Yes....tunaruka na story balaa!
Kuna vipawa hatuna ila sio kwenye trending issues!
Yani kikubwa huwa ni headline tu, story tunaandika wenyewe!
Ukisikiliza simulizi ya ajali toka kwa watu watatu tofauti na wewe unaibuka na story yako!

Ndio ni ka mfumo ka maisha tulikojichagulia na kana burudani yake sana tu! Nieleweke Sina tatizo na hilo maana waumini tupo wengi! Tena wengi sana, ila nina shida ni namna tunavyoshupalia mambo kwa kutake sides easily!

Ndio.... nazungumzia u-team kwenye kila jambo! Hujanipata bado? Nataka kuzungumzia sakata la 'Dogo' Achiraf Hakimi kidogo tu! Kuna wana wameanza kusema mwamba ajengewe sanamu! Kuna wadau wameanza kulalama mshikaji kuwa ni mtoto wa mama (mamaz boy)

Kuna wana wamezua utani wa Jamaa ametuwakilisha vema wanaume! Na kuna wana wanasema ndio dawa ya wadada wanaoanzisha mahusiano ili kuchuma mali! Mimi nitazungumzia hili la mwisho! Ni nani amewaambia ex wake hakuwa na pesa!?

Ni nani amesema ex wake alifata pesa! Anyway, Chukua dakika chache tu m-google mwanamama Hiba Abouk! Ni yeye ex wa 'Dogo' Hakimi!

Utaona Hiba kamzidi Hakimi miaka 12.... Yes miaka 12... she is now 36 years old na dogo ndo kwanza ana miaka 24. Kumbukumbu zinatuambia 'sister' HIBA kazaliwa Oktoba 1986 (miezi kadhaa baada ya goli la mkono la marehemu Diego Maradona)

Wakati kumbukumbu hizo hizo zinatuambia Hakimi kazaliwa November, 1998 (miezi kadhaa baada ya Zinedine zidane kuwaua Brazil).

Nitaruka mengine!

2008 Hakimi akiwa na miaka 10, Hiba ambae alikuwa na miaka 22 alikuwa anaigiza pale Hispania.

Kwa uchache tu unaambiwa kahusika kwenye El syndrome ya 2008, la isla 2010, Cheers 2011, Con el Culo 2012, pegada 2012, Aire 2013, el corazon 2014, tere bluee 2014, el principe 2016, tiempo 2017, malek 2019, Caribe 2020 na madres 2021. Which means she has been working!

Au ndo tunadhani waigizaji wa kule pato lao ni la kwenye 'max na zembwela'???

Namaanisha nini Hiba hana njaa ya pesa! (ingawa anaweza asiwe tajiri)

Geukia Couple yake na Hakimi!

Mahusiano yake na hakimi yaliwekwa wazi 2018, yes Hakimi akiwa ndo kwanza ana miaka 20 (hapa unaweza ukaelewa kwanini mama anatajwa kwenye hakimiliki za dogo hakimi). He was so young!

To cut the story short, Hakimi ni mmoja wa wachezaji ambao kwa umri wake kabahatika kuwa na Profile kubwa kweli kweli (Kapita Real Madrid, kacheza Dortmund, Inter Milan na sasa PSG)

Tufupishe stori UNIELEWE!

wameoana 2020.

Katika ndoa yao wamepata watoto wawili.

Mmoja 2020.

Mwingine 2022.

Zogo na Saga za kutengana zimehit 2023.

kabla mwanetu Hakimi hajapata ile Scandal ya ubakaji

Tuiweke kando maana sitaki kutake sides pia!

Mama akathibitisha wametengana!

Hapa ndipo jamii yetu ya Soka ikatake side sasa!

Kimsingi ni kawaida mahusiano yanapofika mwisho yanakuwa na wafuasi wa tulijua, tulikwambia n.k

Ila nachoona si haki ni namna wengi wanavyomchukulia kama Bi Hiba alikuwa anadanga ama alifata pesa!

Yeye na Hakimi ni familia ambayo tayari ina watoto wawili

Kuwalinda watoto na kuhitimisha ule muunganiko wao ilikuwa lazima sheria ihusike!

Najua ni bhati mbaya Hakimi ana support kubwa kwny footbal industry kuliko Bi. Hiba! Wachache wana muda ni mambo ya filamu!

ila niulize maswali machache!

Kwa kutengana kule na wana watoto wawili tulitegemea mtalaka wake asiombe mgawanyo wa mali??

Ni nani anapinga nguvu ya 'companiship' kwenye utafutaji??

Sheria inampa mtalaka nafasi ya kuomba nafuu zipi bila kujali kama atazipata?

Nimekusudia kusema nini!??? Lengo ni kusema wagapi tumewaza madhara ya talaka (divorce)?

NB: Dini na Sheria zina-discourage sana Divorce! Tchao
Suala la malezi ya watoto, nchi nyingi za ulaya wazazi wote wawili wana wajibika hilo litoe..
 
Wanawake wana roho mbaya, na ukitaka kujua mwamba emmanuel eboue alimuanini mke na mali zake kilichomtokea hatokaa asahau hadi ana kufa.. huyo dada acha avune alichopanda
National Anthem

There's a lot more we aren't hearing about, for all his assets to be given to his wife🙇‍♀️🙇‍♀️🙇‍♀️🙇‍♀️🙇‍♀️
 
ERoni

Yes I know and I do remember that hurting story of Eboue😌😌😌

This story is so weird to me. How did his wife get everything in the divorce? Isn't it usually 50/50? That judge must've really had it out for him.

Sounds like he signed papers while they were together that handed all the money to her..But even if that were the case..judges do some sort of financial split for a divorce normally

Who knows 🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️As others have said..theres something not in the public domain.
Lovie Lady
Si unifundishe kingreza mkuu, yani baada ya kusoma kichwa kimeuma😁 ila nakubaliana na yote uliyoandika.
 
National Anthem

There's a lot more we aren't hearing about, for all his assets to be given to his wife🙇‍♀️🙇‍♀️🙇‍♀️🙇‍♀️🙇‍♀️
Nyie hamuaminiki 😅😅

Sasa hivi jamaa katufumbua macho na katupa maujanja.. Hatuwezi kataa kuwapa mali ambazo tunachuma pamoja ila nyie mnataka nyingi sana kama vile mlikuwa watafutaji.. jamaa hato mkatia waya kabisa atapewa kile anachostahili na mama Hakimi
 
Kwa sababu kamzalia inabidi amfikirie mwenzie... na ndoa za kuishi Kwa kuviziana hivi si poa hata kidogo. Tusiingie kwenye ndoa Kwa sababu ya vitu Fulani... hivi tumekosa upendo kiasi hiki?

Wanawake ndio zenu hizo kuingia kwenye mahusiano kwa ajili ya maslahi. Mwanaume anaweza kuoa binti hana kitu n maisha yakasonga lakini mwanamke lazima aangalie kwanza maslahi kabla kumkubali mwanaume
 
Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.

Ikumbukwe kwamba, suala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.

Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakuwa ni salama kwa masuala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.

Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?

Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesa na mali zilizo chini ya jina lake.

Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na ndiyo ina-trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakuwa mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Eboue.

Chai
 
Mnaiga iga tu maneno bila hata kujua matumizi yake matokeo yake mnaishia kuiga na matendo yaliyo kinyume na asili.
Unaposema Chai umeona kuna story nimetoa hapo?
Chai huwa ni pake mtu anasimulia uongo mwepesi, au ambacho hakipo.
Mimi nimetoa mtazamo, sijasimulia
 
Mnaiga iga tu maneno bila hata kujua matumizi yake matokeo yake mnaishia kuiga na matendo yaliyo kinyume na asili.
Unaposema Chai umeona kuna story nimetoa hapo?
Chai huwa ni pake mtu anasimulia uongo mwepesi, au ambacho hakipo.
Mimi nimetoa mtazamo, sijasimulia
Chai
 
Mnaiga iga tu maneno bila hata kujua matumizi yake matokeo yake mnaishia kuiga na matendo yaliyo kinyume na asili.
Unaposema Chai umeona kuna story nimetoa hapo?
Chai huwa ni pake mtu anasimulia uongo mwepesi, au ambacho hakipo.
Mimi nimetoa mtazamo, sijasimulia
Chai
 
[emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830]

[emoji3539][emoji3539] [emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539]

[emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411]

This is not right at all.. Yes, things may have happened that leads them to divorce. But she is a human being, who sacrificed 2years of her life with Hakimi. She gave him something everyone human being needs, companionship. She deserves to leave with something.

Not even 50/50 even 25/50

Aongee na mama mkwe vizuri maana ndio kashikilia mzigo wote![emoji38][emoji38]
 
Mnaiga iga tu maneno bila hata kujua matumizi yake matokeo yake mnaishia kuiga na matendo yaliyo kinyume na asili.
Unaposema Chai umeona kuna story nimetoa hapo?
Chai huwa ni pake mtu anasimulia uongo mwepesi, au ambacho hakipo.
Mimi nimetoa mtazamo, sijasimulia
Hivi huko shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mwingine huyu hapa.
👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️

⚖️⚖️ ⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️

📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜

This is not right at all.. Yes, things may have happened that leads them to divorce. But she is a human being, who sacrificed 2years of her life with Hakimi. She gave him something everyone human being needs, companionship. She deserves to leave with something.

Not even 50/50 even 25/50
 
Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.

Ikumbukwe kwamba, suala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.

Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakuwa ni salama kwa masuala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.

Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?

Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesa na mali zilizo chini ya jina lake.

Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na ndiyo ina-trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakuwa mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Eboue.
Kwani mwanamke hana anachomiliki?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom