Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

Nikuulize, kama huyo mwanamke hakua mdangaji/Gold digger/Opportunist alifuata nini kwa kijana mdogo aliyemzidi miaka 10+ ??
Unadhani alikua anampemda kweli?? Laiti Hakimi angekua hana Status aliyonayo unadhani angekubali kua na kijana mdogo aliyemzidi ambaye hana kitu/Pesa????
Yes, lakini pia kama huyo mwanamama ana kipato kwa nini wagawane mali za hakimi tu 50/50, angetaka alichoongea kiwe sahihi ina maana wangeweka mali zao zote chini kisha ndo wagawane nusu kwa nusu
 
Weeeh!! Ni lini uliona wanaume wengi wa Tanzania wanatumia reasoning!!
Halafu utawakuta wanalalamika hawaheshimiki, we utaheshimu vipi mtu wa hivyo!!!!

Wanajua majungu tu. Watalijungua hilo likiisha watarudi kuijungua serikali. Ndicho pekee wanaweza.
 
[emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830][emoji1830]

[emoji3539][emoji3539] [emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539]

[emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411][emoji411]

This is not right at all.. Yes, things may have happened that leads them to divorce. But she is a human being, who sacrificed 2years of her life with Hakimi. She gave him something everyone human being needs, companionship. She deserves to leave with something.

Not even 50/50 even 25/50
Not 25/50. Atleast 5/50
 
Kwa mimi nilivyoelewa kwanini wamemchukulia Da Hiba kama gold digger ni kwasabab alianza kudai talaka baada ya hakimi kuhusishwa na ubakaji kabla hata ya kuwekwa hatiani na mahakama kama ni kweli au la.

Kwenye vyanzo vya pesa kuhusu mama kujibu, nadhani hakuna bank ulaya hata hapa kisheria utakayoingiza mpunga mreefu mreefu zaidi ya mara mbili halafu usihojiwe nadhan hilo kama ni tatizo lingeshawatokea before hii case.

Halafu hapo kwenye case ya sheria ndoa na dini, kwani waislam si wazee wa talaka tatu!? tangu case ianze mpaka sasa Da Hiba atakuwa kashakula zile mbili? Au anataka tatu kwa mpigo?
So sidhani kama ndoa yao imesimama sana kwenye sharia.

Kuhusu Hiba kuwa na njaa au la, pesa huwa hazitoshi na many time hawa watu wa kike hasa Europeans huwa na mission za muda mrefu,kuzaa nae isikupe shida ( mawazo ya kimatumbi hayo)madogo watakula child support life litaendelea, hawa viumbe wananusa pesa sana.

Nadhani hoja zako nyingi, zinajijibu zenyewe haraka sana.

Ndio maana matajiri wengi wanaogopa kufunga ndoa, wanawake wamebadilika wanazitumia sheria vizuri ku play smart for their own benefits…

Tusishangilie tuwaombee wakae chini wa solve the case, warudiane maisha yaendelee


Wasalaam.
 
FALLER WEWE.
Ukiona mtu unayemdhania ni wa kiume anapenda kutukana pasipo hata sababu, hiyo ni ushahahidi wa moja kwa moja kuwa hafanyi matumizi sahihi ya jinsia yake bali hufanyiwa kinyume na jinsia yake.
Kati ya vitu mashoga wanavimudu na vinaishi kwenye ulimi ni matusi aisee.

Niliwahi kumhoji mmoja kwanini wanapenda hivyo, akadai wakiongea matusi huwa yanawasisimua sana na kuwafanya wawe proud na confidence na hali yao ya maisha waliyoyachagua.
 
Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.

Ikumbukwe kwamba, suala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.

Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakuwa ni salama kwa masuala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.

Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?

Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesa na mali zilizo chini ya jina lake.

Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na ndiyo ina-trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakuwa mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Eboue.

Mbona inajulikana kuwa 80% ya mshahara wake huwa inakuwa deposited kwenye account ya mama yake na ni mali ya mama yake? Sijui sheria lakini nafikiri hoja yako ya kusema mama yake Hakimi achunguzwe mali zake anapozitolea haina mashiko.


Pia kwa mimi layman wa sheria nafikiri kipato cha mtu huwa kinahesabika kile kinachoingia kwenye milki yake kwa 100% baada ya makato yote yaliyoidhinishwa kisheria. Je mwanasheria wa Hakimi hawezi kusimamia ile 20% tu ya mshahara kuwa ndiyo mali halali ya Hakimi? Ngoja tuone itakavyokuwa
 
Kwa mimi nilivyoelewa kwanini wamemchukulia Da Hiba kama gold digger ni kwasabab alianza kudai talaka baada ya hakimi kuhusishwa na ubakaji kabla hata ya kuwekwa hatiani na mahakama kama ni kweli au la.

Kwenye vyanzo vya pesa kuhusu mama kujibu, nadhani hakuna bank ulaya hata hapa kisheria utakayoingiza mpunga mreefu mreefu zaidi ya mara mbili halafu usihojiwe nadhan hilo kama ni tatizo lingeshawatokea before hii case.

Halafu hapo kwenye case ya sheria ndoa na dini, kwani waislam si wazee wa talaka tatu!? tangu case ianze mpaka sasa Da Hiba atakuwa kashakula zile mbili? Au anataka tatu kwa mpigo?
So sidhani kama ndoa yao imesimama sana kwenye sharia.

Kuhusu Hiba kuwa na njaa au la, pesa huwa hazitoshi na many time hawa watu wa kike hasa Europeans huwa na mission za muda mrefu,kuzaa nae isikupe shida ( mawazo ya kimatumbi hayo)madogo watakula child support life litaendelea, hawa viumbe wananusa pesa sana.

Nadhani hoja zako nyingi, zinajijibu zenyewe haraka sana.

Ndio maana matajiri wengi wanaogopa kufunga ndoa, wanawake wamebadilika wanazitumia sheria vizuri ku play smart for their own benefits…

Tusishangilie tuwaombee wakae chini wa solve the case, warudiane maisha yaendelee


Wasalaam.
Hakuna kurudiana.
 
Ukiona mtu unayemdhania ni wa kiume anapenda kutukana pasipo hata sababu hiyo ni ushahahidi wa moja kwa moja kuwa hafanyi matumizi sahihi ya jinsia bali hufanyiwa kinyume na jinsia yake.
Kati ya vitu mashoga wanavimudu na vinaishi kwenye ulimi ni matusi aisee.

Niliwahi kumhoji mmoja kwanini wanapenda hivyo, akadai wakiongea matusi huwa yanawasisimua sana na kuwafanya wawe proud na confidence na hali yao ya maisha waliyoyachagua.
Umeandika kitoto mno kama siyo kifaller. Faller si tusi, ni namna ulivyo. Ni sawa tu na mjinga. Wewe ni fallar
 
Huwezi kujua nini kilimpeleka, actors/actresses wengi wanakuwa broke sana tu, so huenda alikuwa na agenda zake binafsi. Kila mtu ana sababu za kuingia kwenye mahusiano na wanaoingia kwa genuine love wanaweza kuwa asilimia ndogo sana.
Ni kama tu Amber alivyompeleka mahakamani Johnny Depp,, akaangukia pua badala ya kulipwa ika end up manzi ndo inabd alipe
 
Kama kawaida Yetu wazee wa kuruka na Track!

Yes....tunaruka na story balaa!
Kuna vipawa hatuna ila sio kwenye trending issues!
Yani kikubwa huwa ni headline tu, story tunaandika wenyewe!
Ukisikiliza simulizi ya ajali toka kwa watu watatu tofauti na wewe unaibuka na story yako!

Ndio ni ka mfumo ka maisha tulikojichagulia na kana burudani yake sana tu! Nieleweke Sina tatizo na hilo maana waumini tupo wengi! Tena wengi sana, ila nina shida ni namna tunavyoshupalia mambo kwa kutake sides easily!

Ndio.... nazungumzia u-team kwenye kila jambo! Hujanipata bado? Nataka kuzungumzia sakata la 'Dogo' Achiraf Hakimi kidogo tu! Kuna wana wameanza kusema mwamba ajengewe sanamu! Kuna wadau wameanza kulalama mshikaji kuwa ni mtoto wa mama (mamaz boy)

Kuna wana wamezua utani wa Jamaa ametuwakilisha vema wanaume! Na kuna wana wanasema ndio dawa ya wadada wanaoanzisha mahusiano ili kuchuma mali! Mimi nitazungumzia hili la mwisho! Ni nani amewaambia ex wake hakuwa na pesa!?

Ni nani amesema ex wake alifata pesa! Anyway, Chukua dakika chache tu m-google mwanamama Hiba Abouk! Ni yeye ex wa 'Dogo' Hakimi!

Utaona Hiba kamzidi Hakimi miaka 12.... Yes miaka 12... she is now 36 years old na dogo ndo kwanza ana miaka 24. Kumbukumbu zinatuambia 'sister' HIBA kazaliwa Oktoba 1986 (miezi kadhaa baada ya goli la mkono la marehemu Diego Maradona)

Wakati kumbukumbu hizo hizo zinatuambia Hakimi kazaliwa November, 1998 (miezi kadhaa baada ya Zinedine zidane kuwaua Brazil).

Nitaruka mengine!

2008 Hakimi akiwa na miaka 10, Hiba ambae alikuwa na miaka 22 alikuwa anaigiza pale Hispania.

Kwa uchache tu unaambiwa kahusika kwenye El syndrome ya 2008, la isla 2010, Cheers 2011, Con el Culo 2012, pegada 2012, Aire 2013, el corazon 2014, tere bluee 2014, el principe 2016, tiempo 2017, malek 2019, Caribe 2020 na madres 2021. Which means she has been working!

Au ndo tunadhani waigizaji wa kule pato lao ni la kwenye 'max na zembwela'???

Namaanisha nini Hiba hana njaa ya pesa! (ingawa anaweza asiwe tajiri)

Geukia Couple yake na Hakimi!

Mahusiano yake na hakimi yaliwekwa wazi 2018, yes Hakimi akiwa ndo kwanza ana miaka 20 (hapa unaweza ukaelewa kwanini mama anatajwa kwenye hakimiliki za dogo hakimi). He was so young!

To cut the story short, Hakimi ni mmoja wa wachezaji ambao kwa umri wake kabahatika kuwa na Profile kubwa kweli kweli (Kapita Real Madrid, kacheza Dortmund, Inter Milan na sasa PSG)

Tufupishe stori UNIELEWE!

wameoana 2020.

Katika ndoa yao wamepata watoto wawili.

Mmoja 2020.

Mwingine 2022.

Zogo na Saga za kutengana zimehit 2023.

kabla mwanetu Hakimi hajapata ile Scandal ya ubakaji

Tuiweke kando maana sitaki kutake sides pia!

Mama akathibitisha wametengana!

Hapa ndipo jamii yetu ya Soka ikatake side sasa!

Kimsingi ni kawaida mahusiano yanapofika mwisho yanakuwa na wafuasi wa tulijua, tulikwambia n.k

Ila nachoona si haki ni namna wengi wanavyomchukulia kama Bi Hiba alikuwa anadanga ama alifata pesa!

Yeye na Hakimi ni familia ambayo tayari ina watoto wawili

Kuwalinda watoto na kuhitimisha ule muunganiko wao ilikuwa lazima sheria ihusike!

Najua ni bhati mbaya Hakimi ana support kubwa kwny footbal industry kuliko Bi. Hiba! Wachache wana muda ni mambo ya filamu!

ila niulize maswali machache!

Kwa kutengana kule na wana watoto wawili tulitegemea mtalaka wake asiombe mgawanyo wa mali??

Ni nani anapinga nguvu ya 'companiship' kwenye utafutaji??

Sheria inampa mtalaka nafasi ya kuomba nafuu zipi bila kujali kama atazipata?

Nimekusudia kusema nini!??? Lengo ni kusema wagapi tumewaza madhara ya talaka (divorce)?

NB: Dini na Sheria zina-discourage sana Divorce! Tchao
Kumbe wanaume wenye akili humu ndani bado mpo!!
👏👏👏👏👏👏
 
Kwa mara ya kwanza nimesoma comment ya mtu aliyeweka nyama kwenye point.

Kuna wengi waliosema umetuheshimisha warejea mawazo yao wakisoma comment yako.

Nikiwa kama baba wa mtoto wa kike, kaka kwa dada zangu wakuzaliwa nao, mjomba kwa mabinti wengi tuu, nisingemnyooshea kidole huyo mwanamke.

Kwanza ni kwasababu ilikua ndoa halali
Pili, hiyo ndoa haikuletwa na njaa. Huyo mwanamke hakwenda kwa hakimi kwasababu ya njaa.
Kingine ni kwamba kiini cha talaka yao sikijui, inawezekana kabisa ikawa immaturity ya huyo kijana.
Mwisho kabisa ni talaka halali na familia ina watoto, anayesema umetuheshimisha probably angefanya the same, kama angekua wakike.
Suala la ww kuwa na mtoto wa kike hakuwezi kukufanya uhalalishe hii tabia ya kipumbavu ya wanawake kuolewa huku ameikodolea macho mali ya kijana wa watu.
Kama ni suala la kugawana mali wagawane Mali ambazo wameziangaikia wote.
Hivi hata ww ungekuwa na kijana wa kiume ameshinda juani kujitafutia mafanikio alafu leo hii anaoa mwana mke miaka miliwili ya ndoa anadai talaka alafu anadai wagawane mali ambazo kimsingi unajua kabisa hana mchango wowote juu ya hizo Mali za mtoto wako utajisikiaje kama mzazi ya huyo kijana?

Mm binti yangu akifika umri wa kuolewa nitamuambia kabisa kama anahitaji kuolewa aende kuolewa kwa ajili ya kujenga familia iliyo bora na sio kwenda kufanya utaperi dhidi ya mtoto wa watu yakimsinda arudi nyumbani mm sitaki dhuruma.
 
Suala la ww kuwa na mtoto wa kike hakuwezi kukufanya uhalalishe hii tabia ya kipumbavu ya wanawake kuolewa huku ameikodolea macho mali ya kijana wa watu.
Kama ni suala la kugawana mali wagawane Mali ambazo wameziangaikia wote.
Hivi hata ww ungekuwa na kijana wa kiume ameshinda juani kujitafutia mafanikio alafu leo hii anaoa mwana mke miaka miliwili ya ndoa anadai talaka alafu anadai wagawane mali ambazo kimsingi unajua kabisa hana mchango wowote juu ya hizo Mali za mtoto wako utajisikiaje kama mzazi ya huyo kijana?

Mm binti yangu akifika umri wa kuolewa nitamuambia kabisa kama anahitaji kuolewa aende kuolewa kwa ajili ya kujenga familia iliyo bora na sio kwenda kufanya utaperi dhidi ya mtoto wa watu yakimsinda arudi nyumbani mm sitaki dhuruma.
Una akili mno. Wewe ni baba bora mzee mwenzangu
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Ukiona mtu unayemdhania ni wa kiume anapenda kutukana pasipo hata sababu hiyo ni ushahahidi wa moja kwa moja kuwa hafanyi matumizi sahihi ya jinsia bali hufanyiwa kinyume na jinsia yake.
Kati ya vitu mashoga wanavimudu na vinaishi kwenye ulimi ni matusi aisee.

Niliwahi kumhoji mmoja kwanini wanapenda hivyo, akadai wakiongea matusi huwa yanawasisimua sana na kuwafanya wawe proud na confidence na hali yao ya maisha waliyoyachagua.
Dah! Umeongea Kiutu uzima sana aisee!
 
Rahisi tu! Mama alinisomesha akanipeleka kwenye vituo vya kujifunzia soka na tulisha kubaliana nitampa asilimia 99 ya mshahara wangu kwa miaka 20 hiyo 80 nimemuomba tu ili niendeshe familia
 
Back
Top Bottom