Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

Seriously u don’t even know the contribution of women in level of development? In marriage level? Family level? Community level? Global level? And you’re here arguing with me? Seriously?😞😞😞

Sikupaswa ata kukujibu☹️☹️☹️But for the benefit of all who knows nothing like you..You have to understand that 👇

General Women including your own (Mother🥰My Mother🥰and all Mother’s out there).

They take the lead in helping the family adjust to new realities and challenges.. They are likely to be the prime initiator of outside assistance.

And play an important role in facilitating (or hindering) changes starting in family level..community level and global
Mtoe mama Angu hapo......
Yeye hakukaa Nyumbani akimtegea mzee, walifanya kazi kwa pamoja,Walinilea kwa pamoja.
Mama angu hajawahi fikiri kwamba kumfariji mzee ni jukumu pekee kama unavyodhani wewe.
Mbali na yote hakuwahi fikiri, kama talaka ndio njia ya kumtoa kimaisha.

Eti " Ilitakiwa nisikujibu" Unadhani we ni nani? Unadhani ingeleta utofauti ukijibu au usipojibu?
"Feminist" Biaaatch
 
1.Navyoona mamlaka za ufaransa zita chunguza ulipaji kodi wake tuu maana yeye ni muajiriwa and analipwa mshahara ,

Cc. case ya samweli etto v. Spain authorities (hii ipo mtandaoni ,google )
Hata ya neymar


2.Validit of working permit ya hakimi....
 
Halafu mwanamke ni opportunist
Issue ya ubakaji ndio kwanza tuhuma.
Kabla hata ya uamuzi wa mahakama kuhusu case ya ubakaji mke kashadai talaka. Means anakuhukumu kwamba umefanya hicho kitendo.
Kesi ilivuokuwa public tuu dem kafuta picha zote walizopiga na Hakimi kwenye social networks na karud zake Madrid wakati nyumba wanayokaa ipo Paris.

Mwanamke alikuwa anasubiri tuu muda atake opportunity.
Nahisi hata hyo scandal kaipanga mwanamke.,..Kuna mengi behind the scene
 
hahaah et serikali ikuulize unatumia bia ngapi kwa siku,unakula supu ya shngapi,

et kwann umenunua harrier badala ya ist
Hahahahaha....hapa sasa watataka walete hadi CAG kukagua Kila kitu unachotumia
 
Kwa mara ya kwanza nimesoma comment ya mtu aliyeweka nyama kwenye point.

Kuna wengi waliosema umetuheshimisha warejea mawazo yao wakisoma comment yako.

Nikiwa kama baba wa mtoto wa kike, kaka kwa dada zangu wakuzaliwa nao, mjomba kwa mabinti wengi tuu, nisingemnyooshea kidole huyo mwanamke.

Kwanza ni kwasababu ilikua ndoa halali
Pili, hiyo ndoa haikuletwa na njaa. Huyo mwanamke hakwenda kwa hakimi kwasababu ya njaa.
Kingine ni kwamba kiini cha talaka yao sikijui, inawezekana kabisa ikawa immaturity ya huyo kijana.
Mwisho kabisa ni talaka halali na familia ina watoto, anayesema umetuheshimisha probably angefanya the same, kama angekua wakike.
Mnaokula mtelezo kwa migongo ya mabint zenu kuolewa kwa wa kishua mmeanza kujitokeza mmoja mmoja...hakika bomu alilopiga Hakimu ni zaid ya tear gas
 
Pole dada... Naona umeumia kwa mwenzako kuambulia patupu...

Jamaa ana wanasheria na wala hakukurupuka.... Na wanaume wote tupo tayari kumtetea....
Kumbe ni mdada[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

In short Hakimi katusanua. Kama jlivyosema jamaa hajakurupuka, mnapofikiri ninyi, yy kesha fikiri hata kabla hamjayajua haya mambo. Maana sisi tumeyajua jana tu, yy anaelewa hadi mwisho wa huu mchezo score anaiona ni ngap ngap.

Chungu lakini dawa. Watulie iwaingie
 
Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.

Ikumbukwe kwamba, suala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.

Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakuwa ni salama kwa masuala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.

Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?

Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesa na mali zilizo chini ya jina lake.

Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na ndiyo ina-trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakuwa mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Eboue.
We ndio hujaelewa kabisa na huu uzi ulitakiwa ufute yaani kwa mfano mimi ni mfanyakazi nikamnunulia mama yangu gari ya kutembelea na nikamjengea nyumba kwa utashi wangu mwenyewe hapo umfuate mama umuulize kapata wapi vitu wakati hana kazi ndio liwe kosa.
 
Kifupi Hakimi amefanya kile biblia inasema ishi na wanawake kwa akili.kuhusu uwezekano wa kuwepo kesi nyingine juu uthibitisho wa vyanzo vya mapato vya mzazi wake hakimi,kwanini nani ajuaye yawezekana kulikuwa na makubaliano ya kurudisha fadhila kwa mama kutokana na mapito ya Hakimi kimakuzi, yote kwa yote hatujui sheria za ndoa za Morocco zinasemaje kuhusu suala hilo lakini yote kwa yote Hakimi kucheza kama messi maana wanawake siku hizi hawatabiriki kabisa!
Umeniwahi kuandika hiki....
 
Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.

Ikumbukwe kwamba, suala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.

Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakuwa ni salama kwa masuala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.

Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?

Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesa na mali zilizo chini ya jina lake.

Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na ndiyo ina-trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakuwa mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Eboue.
You wish 😂😂 mbona umekuwa bias sana ndugu kwamba jamaa hana mwanasheria mzuri? Na unadhani mpaka aliamua kufanya hayo maamuzi hakuwa amefikiria possibilities kama hizo?
 
We ndio hujaelewa kabisa na huu uzi ulitakiwa ufute yaani kwa mfano mimi ni mfanyakazi nikamnunulia mama yangu gari ya kutembelea na nikamjengea nyumba kwa utashi wangu mwenyewe hapo umfuate mama umuulize kapata wapi vitu wakati hana kazi ndio liwe kosa.
Nikijaribu kukujibu hiki ulichoandika,nitakuwa nakuonea sana. Ngoja nikuache mpaka hapo utakapoelewa kwa jitihada zako binafsi.
 
Wa Morocco ni wahuni
Ni matokeo ya kumsikoliza mzazi na kufuata asemacho. Trust me, wazazi huwa wanahisia na wapenzi wetu. Ndio maana unaweza kupelekq mtu home, day 1 tu mzazi atakuambia huyu ndiye au siye. Kuna hisia flan mzazi huwa anayo.

Mama ake CR7 hataki kabisa mwanae aoane na mchumba wake. Anataka wabahi hivyohivyo. Mzazi kuna hisiq anayo juu ya mchjmba wa CR7
 
Suala la ww kuwa na mtoto wa kike hakuwezi kukufanya uhalalishe hii tabia ya kipumbavu ya wanawake kuolewa huku ameikodolea macho mali ya kijana wa watu.
Kama ni suala la kugawana mali wagawane Mali ambazo wameziangaikia wote.
Hivi hata ww ungekuwa na kijana wa kiume ameshinda juani kujitafutia mafanikio alafu leo hii anaoa mwana mke miaka miliwili ya ndoa anadai talaka alafu anadai wagawane mali ambazo kimsingi unajua kabisa hana mchango wowote juu ya hizo Mali za mtoto wako utajisikiaje kama mzazi ya huyo kijana?

Mm binti yangu akifika umri wa kuolewa nitamuambia kabisa kama anahitaji kuolewa aende kuolewa kwa ajili ya kujenga familia iliyo bora na sio kwenda kufanya utaperi dhidi ya mtoto wa watu yakimsinda arudi nyumbani mm sitaki dhuruma.
Umeandika kama mtu mwenye akili timamu, nashawika kuamini kua unayo.

Sikufundishi ila akili timamu usipoichannel sawasawa hutakua na tofauti na mwehu alievalia suti na kupendeza. Sijasema wewe ni mwehu, wala sijasema umechannel akili yako vibaya.

Ila umechukua swala moja tu la mimi kua na mtoto wakike umeliweka hapo linashindana na mtazamo wako juu ya divorce ya couple ambayo naamimi unafahamu a tiny fraction of it's life, pengine umeisikia ilipotangazwa kushinda kesi. Kupitia hicho kipande kidogo cha maisha yao ya talaka uliyoyafahamu tayari umeshamuona dada wa watu tapeli, mdhulumati na mwenye tabia ya kipumbavu, kweli..!!?

Ivi ni kweli we unaamini unaakili kushinda wanasheria wake waliofile kesi mahakamani, kwamba unaamini wamedai mgawanyo wa mali zote za huyo kijana? Unadhani sheria ingewaruhu kufungua kesi kwa kudai mgawanyo wa mali zote?
Mali zinazodaiwa kwenye talaka ni mali zilizochumwa kipindi cha matrimony. Wanasheria wanalijua hilo, you should too.

Hatahivyo mimi sina upande kwenye hili. Ila pia sina upumbavu wa kumlipukia binti wa watu kua tapeli, gold digger, au kwamba aliolewa kwa tamaa. Ninachokijua ni kwamba sijui undani wa mahusiano yao ila sheria za talaka zinasema mkitalakiana, mali zote zilizopatikana kipindi cha ndoa ni halali ya wote. Kujua kwangu kumeishia hapo.

Nyinyi mnaojua kua huyo dada ni tapeli, mpumbavu, alikodolea mali from the beginning, mnayo ruksa kuendelea, mimi sina ninachojua zaidi ya niliyoandika.
 
Weeeh!! Ni lini uliona wanaume wengi wa Tanzania wanatumia reasoning!!
Halafu utawakuta wanalalamika hawaheshimiki, we utaheshimu vipi mtu wa hivyo!!!!

Wanajua majungu tu. Watalijungua hilo likiisha watarudi kuijungua serikali. Ndicho pekee wanaweza.
Mbona makasirko sana....ulikuwa ushmapangia mission huyo mwenzetu ila kwa hiili inaonekana anaenda kubadili umiliki...sasa wew umeishia ku wa bully tu wanaume wa tz bila sababu
 
Nikijaribu kukujibu hiki ulichoandika,nitakuwa nakuonea sana. Ngoja nikuache mpaka hapo utakapoelewa kwa jitihada zako binafsi.
Bora usijibu ukae hivyo hvyo huna ujualo na next of kin kajiandika yeye hakimi kwenye Mali zote alizompa mama yako hivi sheria ni rahisi hvyo.
 
Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?
Hakuna huo upumbafu wa eti mali ya familia. Bibie una akili kweli wewe. Hakimi works, he takes care of the family. Mwisho hapo. Where the rest goes sio biashara ya mkewe wala ng’ombe yoyote wa aina yako. He can choose to give hela zake to anyone he wants. And once he does that haziwezi kugawanywa during divorce settlements. Mbona mnakuwa wapumbavu sana nyinyi mangumbaru?
 
Mnaokula mtelezo kwa migongo ya mabint zenu kuolewa kwa wa kishua mmeanza kujitokeza mmoja mmoja...hakika bomu alilopiga Hakimu ni zaid ya tear gas
Laiti ungelinifahamu...
Ila asante nashukuru. Kuna mtu mwenye maneno yenye mantiki ameniquote, nitaendelea nae huyo ila wewe kwako nitaishia hapa, wewe unaweza kuendelea tu kwa kina utakacho, uhuru.
 
Back
Top Bottom