Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

Seriously u don’t even know the contribution of women in level of development? In marriage level? Family level? Community level? Global level? And you’re here arguing with me? Seriously?😞😞😞

Sikupaswa ata kukujibu☹️☹️☹️But for the benefit of all who knows nothing like you..You have to understand that 👇

General Women including your own (Mother🥰My Mother🥰and all Mother’s out there).

They take the lead in helping the family adjust to new realities and challenges.. They are likely to be the prime initiator of outside assistance.

And play an important role in facilitating (or hindering) changes starting in family level..community level and global
Wewe ni mwanasheria?
Kwanini Kim Kardashian hajadai nusu ya mali za Kanye wakati walikuwa nao wanandoa? Instead Kanye analipa 200k $/month as child support?


 
Kifupi Hakimi amefanya kile biblia inasema ishi na wanawake kwa akili.kuhusu uwezekano wa kuwepo kesi nyingine juu uthibitisho wa vyanzo vya mapato vya mzazi wake hakimi,kwanini nani ajuaye yawezekana kulikuwa na makubaliano ya kurudisha fadhila kwa mama kutokana na mapito ya Hakimi kimakuzi, yote kwa yote hatujui sheria za ndoa za Morocco zinasemaje kuhusu suala hilo lakini yote kwa yote Hakimi kucheza kama messi maana wanawake siku hizi hawatabiriki kabisa!
 
Hakuna kitu kama hicho...

Chanzo cha mapato ya mama yake ni mwanae, ambae anafanya kazi...
Umenena kweli kabisa! Tena mama anaweza kusema bado anamdai mwanae kutokana na mapito ya makuzi yake, kwani nani awezaye kulipia fidia za mzazi katika ukuaji wa mtoto? Hakuna. Kijana aliona mbali sana, baadhi ya wanawake siyo.
 
Wanawake ndio zenu hizo kuingia kwenye mahusiano kwa ajili ya maslahi. Mwanaume anaweza kuoa binti hana kitu n maisha yakasonga lakini mwanamke lazima aangalie kwanza maslahi kabla kumkubali mwanaume
🤣🤣🤣Kichwa Cha nyumba
 
Kwa watu wa mpira back in 2014 Djibril Cissé alikumbana na same same case,tena ilikuwa at the end of his carrier, na ngoma iliishia kama ilivyo kwa Hakimi hapo,hizo zingine jombi ni mawazo ya kitanzania siasa kweny kila jambo.
 
Kwa watu wa mpira back in 2014 Djibril Cissé alikumbana na same same case,tena ilikuwa at the end of his carrier, na ngoma iliishia kama ilivyo kwa Hakimi hapo,hizo zingine jombi ni mawazo ya kitanzania siasa kweny kila jambo.
Mwambie kama jamaa alikuwa mlevi na mshahara wake aliunywea pombe ina maana leo mahakama ingeenda kuudai bar?

Kwa kuwa mwanamke ameiomba mahakama igawe Mali pasu, basi Mali za mwanamke alizozichuma kwenye uanamitindo wake zigawanywe sababu jamaa hana kitu
 
Halafu mwanamke ni opportunist
Issue ya ubakaji ndio kwanza tuhuma.
Kabla hata ya uamuzi wa mahakama kuhusu case ya ubakaji mke kashadai talaka. Means anakuhukumu kwamba umefanya hicho kitendo.
Kesi ilivuokuwa public tuu dem kafuta picha zote walizopiga na Hakimi kwenye social networks na karud zake Madrid wakati nyumba wanayokaa ipo Paris.

Mwanamke alikuwa anasubiri tuu muda atake opportunity.
Na inawezekana hata hio scandal kaitengeneza yeye. Yule dem ukimuangalia sura tu unaona ni roho mbaya sana, nadhan mama ake hakim aliliona hilo mapema ndo maana wakafanya hivyo khs mali za hakim.
 
Mali zilihamishwa kabla ya Ndoa? Kama ndio hakuna kosa alilolifanya Hakimi, kama ndio linaweza kuwa kosa kuhamisha mali ya ndoa bila kumtaarifu mwenza.
Mali zimehamishiwa nchi gani? Kama zipo nchi waliyoombeana talaka mahakama inaweza kuwa na Nguvu, ila vipi kama zipo Morroco? Hiyo mahakama itakuwa na hiyo Nguvu?
Mali zilihamishwa kihalali bila kukwepa kodi? Kama zilikuwa taxed hakuna Fraud, ila kama zilikwepa kodi shida ipo.
mfano nimejenga gorofa saba kariakoo halfu jina la nyumba nikaweka mama yangu apo kuna ukwepaji kodi upi
 
Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.

Ikumbukwe kwamba, suala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.

Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakuwa ni salama kwa masuala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.

Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?

Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesa na mali zilizo chini ya jina lake.

Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na ndiyo ina-trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakuwa mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Eboue.
FALLER WEWE.
 
Mwambie kama jamaa alikuwa mlevi na mshahara wake aliunywea pombe ina maana leo mahakama ingeenda kuudai bar?

Kwa kuwa mwanamke ameiomba mahakama igawe Mali pasu, basi Mali za mwanamke alizozichuma kwenye uanamitindo wake zigawanywe sababu jamaa hana kitu
Wanawake baadhi wapuuzi sana,mali za mwanamme zigawanywe za mwanamke Hapna! Mambo ya usawa wa jinsia yako wapi,mambo ya kijinga eti haki za binadamu hadi mambo ya msingi, mahakama naamini imetenda haki na imemaliza mjadala na kubaki uswahilini kwetu huku.
 
Back
Top Bottom