Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

[emoji28][emoji28]mtoa mada kenge sana
Unaweza ukakuta sababu ya Ukenge wako, basi kila unayemuona unafikiri ni Kenge mwenzio.
Hivi katika thread ulivyosoma kuna sehemu yoyote serikali imehusishwa au hata kutajwa?
Hiyo mada si inahusisha mambo yaliyopo Mahakamani? Watu huwa mnajiona mna uelewa wa mambo kumbe vichwani ni upepo mtupu.
 
Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.

Ikumbukwe kwamba, swala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.

Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakua ni salama kwa maswala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.

Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekua akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?

Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesabna mali zilizo chini ya jina lake.

Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na mdiyo ina trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakua mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Ebue.
Hakimi,huyu jamaa ana bet sana.
Fedha zake zote huwa zinaishia betting.
 
Hebu toa vifungu vya sheria ya ufaransa ambavyo vinatibitisha hayo maneno.
Mahakama haiwezi kuhoji MALI UNAPELEKA/UNATUMIA WAPI.

Issue kubwa ni matunzo ya watoto tuu.
Hapo Mahakama ndio itahakikisha watoto wanapata matunzo yote.


WAtoto watalelewa na bibi yao kama vipi.. mwana hana hela
 
Wengi kwenye ndoa,ni opportunists, yaani yupo pale kwa sababu fulani fulani tu..

Huku kwetu utasikia mdada akisema, "nimechoka na haya maisha magumu, nitafute bwana nipumzike". Hapo kwenye kupumzika you know what it means eenh!

Hata wanaume wa hivyo wapo, ndio maana unakuta kijana anafugwa na shangazi, "anapumzika"!
 
Kama kawaida Yetu wazee wa kuruka na Track!

Yes....tunaruka na story balaa!

Kuna vipawa hatuna ila sio kwenye trending issues!

Yani kikubwa huwa ni headline tu, story tunaandika wenyewe!

Ukisikiliza simulizi ya ajali toka kwa watu watatu tofauti na wewe unaibuka na story yako!

Ndio ni ka mfumo ka maisha tulikojichagulia na kana burudani yake sana tu!

Nieleweke Sina tatizo na hilo maana waumini tupo wengi!

Tena wengi sana, ila nina shida ni namna tunavyoshupalia mambo kwa kutake sides easily!

Ndio.... nazungumzia u-team kwenye kila jambo!

Hujanipata bado? Nataka kuzungumzia sakata la 'Dogo' Achiraf Hakimi kidogo tu!

Kuna wana wameanza kusema mwamba ajengewe sanamu!

Kuna wadau wameanza kulalama mshikaji kuwa ni mtoto wa mama (mamaz boy)

Kuna wana wamezua utani wa Jamaa ametuwakilisha vema wanaume!

Na kuna wana wanasema ndio dawa ya wadada wanaoanzisha mahusiano ili kuchuma mali!

Mi nitazungumzia hili la mwisho! Ni nani amewaambia ex wake hakuwa na pesa!???

Ni nani amesema ex wake alifata pesa!

Anyway, Chukua dakika chache tu m-google mwanamama Hiba Abouk!

Ni yeye ex wa 'Dogo' Hakimi!

Utaona Hiba kamzidi Hakimi miaka 12....

Yes miaka 12... she is now 36 years old na dogo ndo kwanza ana miaka 24

Kumbukumbu zinatuambia 'sister' HIBA kazaliwa Oktoba 1986 (miezi kadhaa baada ya goli la mkono la marehemu Diego Maradona)

wakati kumbukumbu hizo hizo zinatuambia Hakimi kazaliwa November, 1998 (miezi kadhaa baada ya Zinedine zidane kuwaua Brazil).

Nitaruka mengine!

2008 Hakimi akiwa na miaka 10, Hiba ambae alikuwa na miaka 22 alikuwa anaigiza pale Hispania.

Kwa uchache tu unaambiwa kahusika kwenye El syndrome ya 2008, la isla 2010, Cheers 2011, Con el Culo 2012, pegada 2012, Aire 2013, el corazon 2014, tere bluee 2014, el principe 2016, tiempo 2017, malek 2019, Caribe 2020 na madres 2021. Which means she has been working!

Au ndo tunadhani waigizaji wa kule pato lao ni la kwenye 'max na zembwela'???

Namaanisha nini Hiba hana njaa ya pesa! (ingawa anaweza asiwe tajiri)

Geukia Couple yake na Hakimi!

Mahusiano yake na hakimi yaliwekwa wazi 2018, yes Hakimi akiwa ndo kwanza ana miaka 20 (hapa unaweza ukaelewa kwanini mama anatajwa kwenye hakimiliki za dogo hakimi). He was so young!

To cut the story short, Hakimi ni mmoja wa wachezaji ambao kwa umri wake kabahatika kuwa na Profile kubwa kweli kweli (Kapita Real Madrid, kacheza Dortmund, Inter Milan na sasa PSG)

Tufupishe stori UNIELEWE!

wameoana 2020.

Katika ndoa yao wamepata watoto wawili.

Mmoja 2020.

Mwingine 2022.

Zogo na Saga za kutengana zimehit 2023.

kabla mwanetu Hakimi hajapata ile Scandal ya ubakaji

Tuiweke kando maana sitaki kutake sides pia!

Mama akathibitisha wametengana!

Hapa ndipo jamii yetu ya Soka ikatake side sasa!

Kimsingi ni kawaida mahusiano yanapofika mwisho yanakuwa na wafuasi wa tulijua, tulikwambia n.k

Ila nachoona si haki ni namna wengi wanavyomchukulia kama Bi Hiba alikuwa anadanga ama alifata pesa!

Yeye na Hakimi ni familia ambayo tayari ina watoto wawili

Kuwalinda watoto na kuhitimisha ule muunganiko wao ilikuwa lazima sheria ihusike!

Najua ni bhati mbaya Hakimi ana support kubwa kwny footbal industry kuliko Bi. Hiba! Wachache wana muda ni mambo ya filamu!

ila niulize maswali machache!

Kwa kutengana kule na wana watoto wawili tulitegemea mtalaka wake asiombe mgawanyo wa mali??

Ni nani anapinga nguvu ya 'companiship' kwenye utafutaji??

Sheria inampa mtalaka nafasi ya kuomba nafuu zipi bila kujali kama atazipata?

Nimekusudia kusema nini!??? Lengo ni kusema wagapi tumewaza madhara ya talaka (divorce)?

NB: Dini na Sheria zina-discourage sana Divorce! Tchao
Kwa mara ya kwanza nimesoma comment ya mtu aliyeweka nyama kwenye point.

Kuna wengi waliosema umetuheshimisha watarejea mawazo yao wakisoma comment yako.

Nikiwa kama baba wa mtoto wa kike, kaka kwa dada zangu wakuzaliwa nao, mjomba kwa mabinti wengi tuu, nisingemnyooshea kidole huyo mwanamke kwa nisiyoyajua. Kitu pekee tunachokijua wote hapa ni kua ameshindwa kesi ya kudai mali zilizopatikana kipindi cha ndo, ambayo ni haki kisheria.

Kwanza ni kwasababu ilikua ndoa halali
Pili, hiyo ndoa haikuletwa na njaa ( at least we know her status before marriage ). Huyo mwanamke hakwenda kwa hakimi kwasababu ya njaa.
Kingine ni kwamba kiini cha talaka yao sikijui, inawezekana kabisa ikawa immaturity ya huyo kijana.
Mwisho kabisa ni talaka halali na familia ina watoto, anayesema umetuheshimisha probably angefanya the same, kama angekua wakike.

Ninachojua ni kua wakati wanaanza mahusiano dada hakua mchovu financially, na huyo kijana hakua level aliyopo sasa. Kingine nunchokijua ni kua vinavyopatikana kipindi cha ndoa ni halali ya wanandoa wote. Mengine nitawaachia wajuaji.
 
👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️👩‍⚖️

⚖️⚖️ ⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️⚖️

📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜📜

This is not right at all.. Yes, things may have happened that leads them to divorce. But she is a human being, who sacrificed 2years of her life with Hakimi. She gave him something everyone human being needs, companionship. She deserves to leave with something.

Not even 50/50 even 25/50
Labda 5/95 hapo sawa.
 
Wanawake wanamambo ya kingese sana na hasa hapo kwenye kutaka mali za wanaume kwa kigezo cha ndoa bora kuto oa tuu maana tuna oa mashetani yanayo omba ufe wakati wowote yamiliki mali ili waenjoy na ma ex wao

Dawa ni kuzalisha tu kam MONDI kila mtu akae kwao swala oa kufua DOBI wapo ,swala la kula SHISHI FOOD yupo , usafi wa nyumba wapo wanao toa huduma hiyo

Swala la nyege MALAYA wapo tu tena wakali sana na wanakupa huduma haswaa roho inafurahi mnakutana lodge mnaachana huko imeisha hiyo ili nizeeke kwa amani

Usha wahi jiuliza kwa nini wanaume wakistaafu wanakufa mapema sana mara tu baadabya kukamilisha kuchukua oensio na viinua mgongo, wengi wanatangulizwa na wanawake zao ili wai wabaki na wafahidi pensions ya marehemu mume wake .
Wana fikira finyu sana baadhi yao.
 
Kwa mara ya kwanza nimesoma comment ya mtu aliyeweka nyama kwenye point.

Kuna wengi waliosema umetuheshimisha warejea mawazo yao wakisoma comment yako.

Nikiwa kama baba wa mtoto wa kike, kaka kwa dada zangu wakuzaliwa nao, mjomba kwa mabinti wengi tuu, nisingemnyooshea kidole huyo mwanamke.

Kwanza ni kwasababu ilikua ndoa halali
Pili, hiyo ndoa haikuletwa na njaa. Huyo mwanamke hakwenda kwa hakimi kwasababu ya njaa.
Kingine ni kwamba kiini cha talaka yao sikijui, inawezekana kabisa ikawa immaturity ya huyo kijana.
Mwisho kabisa ni talaka halali na familia ina watoto, anayesema umetuheshimisha probably angefanya the same, kama angekua wakike.
Huwezi kujua nini kilimpeleka, actors/actresses wengi wanakuwa broke sana tu, so huenda alikuwa na agenda zake binafsi. Kila mtu ana sababu za kuingia kwenye mahusiano na wanaoingia kwa genuine love wanaweza kuwa asilimia ndogo sana.
 
Chanzo ya Mapato ya mama ni vizawadi alivyokuwa anapewa na mwanae hakim , anafanya kazi PSG fc , ila wazungu watamkomalia hakimu kama mnyanyasaji wa kijinsia .
 
Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.

Ikumbukwe kwamba, swala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.

Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakua ni salama kwa maswala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.

Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekua akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?

Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesabna mali zilizo chini ya jina lake.

Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na mdiyo ina trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakua mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Ebue.
Cha ajabu watu wanqshangilia hukukubya dhuluma...yaani kapikiwa,kapetiwa miaka yote Ile ...kipato kinaenda Kwa mama yake ,pathetic ,huyo dada atapata Haki yake!
 
kumbe kugawana huwa ni mali za mwanaume tu, nilidhani zinachanganywa ili mgawanyo uwe wa haki.
Kama ni companionship Hakimi alitoa pia, mchango wa mwanamke kwenye utafutaji ni Upi?
Seriously u don’t even know the contribution of women in level of development? In marriage level? Family level? Community level? Global level? And you’re here arguing with me? Seriously?😞😞😞

Sikupaswa ata kukujibu☹️☹️☹️But for the benefit of all who knows nothing like you..You have to understand that 👇

General Women including your own (Mother🥰My Mother🥰and all Mother’s out there).

They take the lead in helping the family adjust to new realities and challenges.. They are likely to be the prime initiator of outside assistance.

And play an important role in facilitating (or hindering) changes starting in family level..community level and global
 
Hapo ndio mwisho wa brain yako kufikiri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pole sana we have a long way to go

Eti uchochoroni😞

Have you forced him to marry her?

Yeah, every person defending this has not even a brain cell to think logically like you 🤔🤔🤔🤔that this absolutely won’t fly in court.
Wanawake wana roho mbaya, na ukitaka kujua mwamba emmanuel eboue alimuanini mke na mali zake kilichomtokea hatokaa asahau hadi ana kufa.. huyo dada acha avune alichopanda
 
Kwa mara ya kwanza nimesoma comment ya mtu aliyeweka nyama kwenye point.

Kuna wengi waliosema umetuheshimisha warejea mawazo yao wakisoma comment yako.

Nikiwa kama baba wa mtoto wa kike, kaka kwa dada zangu wakuzaliwa nao, mjomba kwa mabinti wengi tuu, nisingemnyooshea kidole huyo mwanamke.

Kwanza ni kwasababu ilikua ndoa halali
Pili, hiyo ndoa haikuletwa na njaa. Huyo mwanamke hakwenda kwa hakimi kwasababu ya njaa.
Kingine ni kwamba kiini cha talaka yao sikijui, inawezekana kabisa ikawa immaturity ya huyo kijana.
Mwisho kabisa ni talaka halali na familia ina watoto, anayesema umetuheshimisha probably angefanya the same, kama angekua wakike.
Tunabishana kutuma mawazo ambayo Kesi yao imeandikwa juu juu kwenye Mitandao.

Ingerushwa hewani kama ile ya John Depp.
Tusingekuwa na comments za namna hii.

Kuna mengi ya kujifunza kwenye Maisha.

Mali kama mali haijawahi hurumia mtu yeyote hasa wakikutana watu hekima na busara imekwisha.

Kitendo cha kugawanya mali ,hasa hiki kuwafanya wanaume wateseke sana na haya maisha.
Na pia kwa Mama wakiachwa na watoto huteseka sana hata kama wana mali.


Uhuni uhuni huleta hayo
 
Seriously u don’t even know the contribution of women in level of development? In marriage level? Family level? Community level? Global level? And you’re here arguing with me? Seriously?😞😞😞

Sikupaswa ata kukujibu☹️☹️☹️But for the benefit of all who knows nothing like you..You have to understand that 👇

General Women including your own (Mother🥰My Mother🥰and all Mother’s out there).

They take the lead in helping the family adjust to new realities and challenges.. They are likely to be the prime initiator of outside assistance.

And play an important role in facilitating (or hindering) changes starting in family level..community level and global
Hivi mkuu umeshawahi kufuatilia mgawanyo wa mali huko magharibi unavyowatesa wanaume. Naomba ukasome story ya Emmanuel Eboue aliyekuwa mchezaji wa Arsenal, alinyanganywa almost kila kitu, akawa homeless kisa kujifanya kumpenda sana mkewe. Yule jamaa asingekuwa na connection angijiua.
 
Kama kawaida Yetu wazee wa kuruka na Track!

Yes....tunaruka na story balaa!

Kuna vipawa hatuna ila sio kwenye trending issues!

Yani kikubwa huwa ni headline tu, story tunaandika wenyewe!

Ukisikiliza simulizi ya ajali toka kwa watu watatu tofauti na wewe unaibuka na story yako!

Ndio ni ka mfumo ka maisha tulikojichagulia na kana burudani yake sana tu!

Nieleweke Sina tatizo na hilo maana waumini tupo wengi!

Tena wengi sana, ila nina shida ni namna tunavyoshupalia mambo kwa kutake sides easily!

Ndio.... nazungumzia u-team kwenye kila jambo!

Hujanipata bado? Nataka kuzungumzia sakata la 'Dogo' Achiraf Hakimi kidogo tu!

Kuna wana wameanza kusema mwamba ajengewe sanamu!

Kuna wadau wameanza kulalama mshikaji kuwa ni mtoto wa mama (mamaz boy)

Kuna wana wamezua utani wa Jamaa ametuwakilisha vema wanaume!

Na kuna wana wanasema ndio dawa ya wadada wanaoanzisha mahusiano ili kuchuma mali!

Mi nitazungumzia hili la mwisho! Ni nani amewaambia ex wake hakuwa na pesa!???

Ni nani amesema ex wake alifata pesa!

Anyway, Chukua dakika chache tu m-google mwanamama Hiba Abouk!

Ni yeye ex wa 'Dogo' Hakimi!

Utaona Hiba kamzidi Hakimi miaka 12....

Yes miaka 12... she is now 36 years old na dogo ndo kwanza ana miaka 24

Kumbukumbu zinatuambia 'sister' HIBA kazaliwa Oktoba 1986 (miezi kadhaa baada ya goli la mkono la marehemu Diego Maradona)

wakati kumbukumbu hizo hizo zinatuambia Hakimi kazaliwa November, 1998 (miezi kadhaa baada ya Zinedine zidane kuwaua Brazil).

Nitaruka mengine!

2008 Hakimi akiwa na miaka 10, Hiba ambae alikuwa na miaka 22 alikuwa anaigiza pale Hispania.

Kwa uchache tu unaambiwa kahusika kwenye El syndrome ya 2008, la isla 2010, Cheers 2011, Con el Culo 2012, pegada 2012, Aire 2013, el corazon 2014, tere bluee 2014, el principe 2016, tiempo 2017, malek 2019, Caribe 2020 na madres 2021. Which means she has been working!

Au ndo tunadhani waigizaji wa kule pato lao ni la kwenye 'max na zembwela'???

Namaanisha nini Hiba hana njaa ya pesa! (ingawa anaweza asiwe tajiri)

Geukia Couple yake na Hakimi!

Mahusiano yake na hakimi yaliwekwa wazi 2018, yes Hakimi akiwa ndo kwanza ana miaka 20 (hapa unaweza ukaelewa kwanini mama anatajwa kwenye hakimiliki za dogo hakimi). He was so young!

To cut the story short, Hakimi ni mmoja wa wachezaji ambao kwa umri wake kabahatika kuwa na Profile kubwa kweli kweli (Kapita Real Madrid, kacheza Dortmund, Inter Milan na sasa PSG)

Tufupishe stori UNIELEWE!

wameoana 2020.

Katika ndoa yao wamepata watoto wawili.

Mmoja 2020.

Mwingine 2022.

Zogo na Saga za kutengana zimehit 2023.

kabla mwanetu Hakimi hajapata ile Scandal ya ubakaji

Tuiweke kando maana sitaki kutake sides pia!

Mama akathibitisha wametengana!

Hapa ndipo jamii yetu ya Soka ikatake side sasa!

Kimsingi ni kawaida mahusiano yanapofika mwisho yanakuwa na wafuasi wa tulijua, tulikwambia n.k

Ila nachoona si haki ni namna wengi wanavyomchukulia kama Bi Hiba alikuwa anadanga ama alifata pesa!

Yeye na Hakimi ni familia ambayo tayari ina watoto wawili

Kuwalinda watoto na kuhitimisha ule muunganiko wao ilikuwa lazima sheria ihusike!

Najua ni bhati mbaya Hakimi ana support kubwa kwny footbal industry kuliko Bi. Hiba! Wachache wana muda ni mambo ya filamu!

ila niulize maswali machache!

Kwa kutengana kule na wana watoto wawili tulitegemea mtalaka wake asiombe mgawanyo wa mali??

Ni nani anapinga nguvu ya 'companiship' kwenye utafutaji??

Sheria inampa mtalaka nafasi ya kuomba nafuu zipi bila kujali kama atazipata?

Nimekusudia kusema nini!??? Lengo ni kusema wagapi tumewaza madhara ya talaka (divorce)?

NB: Dini na Sheria zina-discourage sana Divorce! Tchao
Haya yote ni kweli mkuu , lakni ndo hivyo hakimu hana ata Mia
 
Back
Top Bottom