davejillaonecka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2018
- 697
- 749
Very simple and clearNikuulize, kama huyo mwanamke hakua mdangaji/Gold digger/Opportunist alifuata nini kwa kijana mdogo aliyemzidi miaka 10+ ??
Unadhani alikua anampemda kweli?? Laiti Hakimi angekua hana Status aliyonayo unadhani angekubali kua na kijana mdogo aliyemzidi ambaye hana kitu/Pesa????
Never neverBaada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.
Ikumbukwe kwamba, swala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.
Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakua ni salama kwa maswala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.
Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekua akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?
Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesabna mali zilizo chini ya jina lake.
Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na mdiyo ina trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakua mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Ebue.
Hili jina hili... anyway ngoja nikae kimya [emoji144]Wa Morocco ni wahuni
Imagine wewe ndiye Mama yake Hakimi, unadhani Mwanao kakuheshimisha au kakudhalilisha?Ngoja wazee wa kuheshimishwa waje tuone wana mpya gani.
Mana kwenye hii issue Me walio wengi wanasema Hakimi kawaheshimisha eti.
Halafu mwanamke ni opportunistkabla mwanetu Hakimi hajapata ile Scandal ya ubakaji
Tuiweke kando maana sitaki kutake sides pia!
"Dawa ni kuzalisha tu kam MONDI kila mtu akae kwao swala oa kufua DOBI wapo ,swala la kula SHISHI FOOD yupo , usafi wa nyumba wapo wanao toa huduma hiyoWanawake wanamambo ya kingese sana na hasa hapo kwenye kutaka mali za wanaume kwa kigezo cha ndoa bora kuto oa tuu maana tuna oa mashetani yanayo omba ufe wakati wowote yamiliki mali ili waenjoy na ma ex wao
Dawa ni kuzalisha tu kam MONDI kila mtu akae kwao swala oa kufua DOBI wapo ,swala la kula SHISHI FOOD yupo , usafi wa nyumba wapo wanao toa huduma hiyo
Swala lannuegw MALAYA wapo mnakutana lodge mnaacha huko imeisha hiyo ili nizeeke kwa amani
Mamndenyi naamini huna swaga za kishamba kama hizo maana ni Muhenga mwenzangu, au siyo Mama? [emoji38]Hii ndo inafanya wale wa kule nkwarungu kutaka kujengewa na kununuliwa gari lenye chumba na sebule mapema.
.. Wanaume heee, heeee
Maamuzi ya mahakama yaheshimiwe na kusimama!Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.
Ikumbukwe kwamba, swala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.
Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakua ni salama kwa maswala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.
Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekua akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?
Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesabna mali zilizo chini ya jina lake.
Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na mdiyo ina trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakua mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Ebue.
Bibi ya watoto si yupo atawatunza wajukuu zake Tatizo lipo wapi!Hebu toa vifungu vya sheria ya ufaransa ambavyo vinatibitisha hayo maneno.
Mahakama haiwezi kuhoji MALI UNAPELEKA/UNATUMIA WAPI.
Issue kubwa ni matunzo ya watoto tuu.
Hapo Mahakama ndio itahakikisha watoto wanapata matunzo yote.
Vyovyote ulivyowaza au kama unavyoeleza "reasoning",ni kwamba tabia ya wanawake kuolewa halafu kuishi na waume zao kama wanawavizia kupata maslahi makubwa haifai.Alipwe au asilipwe,wanawake wa sampuli hiyo ni takataka tu.Vijana wataogopa kuoa kwa tabia zao za kishenzi.Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.
Ikumbukwe kwamba, swala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.
Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakua ni salama kwa maswala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.
Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekua akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?
Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesabna mali zilizo chini ya jina lake.
Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na mdiyo ina trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakua mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Ebue.