Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haBcc: MALCOM LUMUMBA, gwiji la uchambuzi makala za kimedani ndani ya JF.
Gwiji la nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haBcc: MALCOM LUMUMBA, gwiji la uchambuzi makala za kimedani ndani ya JF.
Russia hakusema atakayeingilia kusaidia Ukraine atampasua? Russia hajui kama US anamsaidia kila leo Ukraine?Ana pima mizani Kuna watu wakuwaletea madharau na kuna watu ambao hawataki madharau . Mfanyie madharu madonga hatokufanya kitu kibaya Ila mfanyie madharu Tyson moja kwa moja ICU .
# U.S.A hawezi kumletea madharau Russia Kama haya anayo mfanyia China.
Kwa hiyo Ukraine Kuna U.S Army ?Russia hakusema atakayeingilia kusaidia Ukraine atampasua? Russia hajui kama US anamsaidia kila leo Ukraine?
Sasa walienda Kiev kufanya nn, mbna aliwaambia wanajeshi wa Ukraine wampindue ZelenskyMkuu hiyo sio vita kamili ni special ops ya raia wanaongea ki russia kujitenga na ukraine.kwahiyo inabidi wawe waangalivu wasiue raia wao na pia usisahau kuwa waukraine ni ndugu wa russia.vita kamili ni kama ilivyokuwa WW2 ambapo warussia walimpiga mjerumani hadi nyumbani kwake au vita ya chenchnyia.Russia anataka kuimega tu Ukraine kitu ambacho wamefanikiwa pia alikuwa anataka hicho kinu cha nuclear.
Mbna anamsaidia Direct Ukraine kwa kutuma silaha na Russia kaunyata mkia matakon, si alitangaza kwa mbwembwe ataemsaidia Ukraine atapigika, sasa mbna hajarusha kombora kwa meli za marekani zinazopeleka vifaaAna pima mizani Kuna watu wakuwaletea madharau na kuna watu ambao hawataki madharau . Mfanyie madharu madonga hatokufanya kitu kibaya Ila mfanyie madharu Tyson moja kwa moja ICU .
# U.S.A hawezi kumletea madharau Russia Kama haya anayo mfanyia China.
U.S Army ipo Ukraine ?Mbna anamsaidia Direct Ukraine kwa kutuma silaha na Russia kaunyata mkia matakon, si alitangaza kwa mbwembwe ataemsaidia Ukraine atapigika, sasa mbna hajarusha kombora kwa meli za marekani zinazopeleka vifaa
Kwani si anamsaidia silaha, apa alitangaza ataemsaidia atapewa kichapo, ukimuangalia sahivi kama sio yeye vile[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo Ukraine Kuna U.S Army ?
Wote tunajua ingekuwepo Russia isingekuwa nchi sahiviU.S Army ipo Ukraine ?
Haipo. Na USA aliweka wazi kuwa hataki vita vya moja kwa moja na urusi lakini anamsaidia silaha na teknolojia ya kivita. Inawezekana pia ana watu wake Ukraine na ndio sababu Urusi kupata upinzani.U.S Army ipo Ukraine ?
Juzi raisi wao wa Zamani ambae ndio Mwenyekiti was Baraza la ulinzi alisema hata Ukrain ajibatilisha Nia ya kutojiunga NATO operation imo pale pale. Jamaa wanasubiri baridi ianze wawape vitu vizitoAna pima mizani Kuna watu wakuwaletea madharau na kuna watu ambao hawataki madharau . Mfanyie madharu madonga hatokufanya kitu kibaya Ila mfanyie madharu Tyson moja kwa moja ICU .
# U.S.A hawezi kumletea madharau Russia Kama haya anayo mfanyia China.
Una elewa nini Putin aliposema atakaye ingilia O.P yake hapo Ukraine atampiga pigo la kihistoria ?Kwani si anamsaidia silaha, apa alitangaza ataemsaidia atapewa kichapo, ukimuangalia sahivi kama sio yeye vile[emoji23][emoji23][emoji23]
angaliahttps://youtu.be/YaDZqsEZLKI
Ndugu Zele tayari kaisha omba Po lakini warysi wamekataa wamemwambia it's too late nowSasa walienda Kiev kufanya nn, mbna aliwaambia wanajeshi wa Ukraine wampindue Zelensky
Kwann ule msafara ulienda Kiev, uko wapi sahivi
Hii hoja imeniingia nimeipata vyeema kabsaa.Mkuu hiyo sio vita kamili ni special ops ya raia wanaongea ki russia kujitenga na ukraine.kwahiyo inabidi wawe waangalivu wasiue raia wao na pia usisahau kuwa waukraine ni ndugu wa russia.vita kamili ni kama ilivyokuwa WW2 ambapo warussia walimpiga mjerumani hadi nyumbani kwake au vita ya chenchnyia.Russia anataka kuimega tu Ukraine kitu ambacho wamefanikiwa pia alikuwa anataka hicho kinu cha nuclear.
Kama hayupo basi hicho ndicho kitu Putin alicho kuwa amekusudia kusema maneno yale.Haipo. Na USA aliweka wazi kuwa hataki vita vya moja kwa moja na urusi lakini anamsaidia silaha na teknolojia ya kivita. Inawezekana pia ana watu wake Ukraine na ndio sababu Urusi kupata upinzani.
Yupo hivi naona kuna memba hapo anamjua jina lake vizuri kashamtag na I'm sure hawezi tia neno.. Jamaa ni mtamu kwa kumsoma akiwa anaelezea jambo ila ndiyo hivyo uchambuzi wake umekuwa mbali na uhalisia.Ha ha ha ha ha ha ha mkuu jamaa anaitwa nani huyo?
Ile Vita urusi hapigani na ukrainePutin na nchi za kijamaa ni kama mandonga tu maneno mengi propaganda kibao. Vita hii imewa expose sana urusi.
Mashabiki wao wengine walisema urusi bado hajaanza kutumia red army anatumia mercenaries ajabu ma luten wanatangazwa kufa kila uchao.
Sasahivi hali ni tete naimani hata wale waliokuwa wakiogopa sahiv wanaomba ajichanganye wampasue.
Anapigana na nani ?Ile Vita urusi hapigani na ukraine
Sawa wacha tusubiri tuone.Juzi raisi wao wa Zamani ambae ndio Mwenyekiti was Baraza la ulinzi alisema hata Ukrain ajibatilisha Nia ya kutojiunga NATO operation imo pale pale. Jamaa wanasubiri baridi ianze wawape vitu vizito
Urusi kama sio mmrekan na uingereza asingeweza kuipiga ujeruman chief wote walikuwa wamechemka ni kama vile china kama sio marekan uingereza na urusi walichemka kabisa kumpiga mjapanMkuu hiyo sio vita kamili ni special ops ya raia wanaongea ki russia kujitenga na ukraine.kwahiyo inabidi wawe waangalivu wasiue raia wao na pia usisahau kuwa waukraine ni ndugu wa russia.vita kamili ni kama ilivyokuwa WW2 ambapo warussia walimpiga mjerumani hadi nyumbani kwake au vita ya chenchnyia.Russia anataka kuimega tu Ukraine kitu ambacho wamefanikiwa pia alikuwa anataka hicho kinu cha nuclear.