Suala la kuwakopesha hela wanawake linaharibu urafiki/ukaribu

A Strong Man of Your Own Version.

Mwanaume Halisi anailinda Brand yake Kwa Gharama.

Conguratulations.
kuna kijana mmoja amenitukana kutokana na hili, hajui experience zangu na Mungu zikoje, several times nilishawahi kushinda jaribu kama hizo. na ilitokana zamani nilipowahi kumkosea Mungu, garama niliyotumia kumpata tena Mungu inanikumbusha hadi leo.
 
Wewe ni gasho
umenitukana bila sababu yeyote, ningaliweza kukutamkia kitu kikatokea kama nitakavyotamka, lakini nakusamehe na Mungu akusamehe, akufungue macho ujue umuhimu wa kuishi maisha matakatifu ya kumhofu Mungu. maisha ya dunia hii yanapita, hivyo unavyojiona mjanja, hujakamatika tu, mtafute Mungu ungalipo na nafasi. Mungu akusaidie. nasema hivi kwa sababu I just felt it in my heart not to speak anything bad against you, kwa sababu kingekupata hakika, ndio maana nimeamua kukusamehe na kukutakia mema. ogopa watu waliookoka kuliko chochote, nakushauri.
 
Amen mtu wa Mungu.
 
Ulimkopesha ukiwa na akili zako timamu, au ndio ulikuwa unaonyesha u gentleman!?
Sio wanawake, hata ndugu hakopeshwi.
we ukitaka undugu na urafiki uvunjike, kopeshaneni
Mimi na my siblings huwa tunakopeshana pesa kiroho safi. Una bahati mbaya kupata siblings ambao sio waaminifu.
 
Psychologically, kutanguliza matusi kwenye mjadala ni manipulative tactic ya mtu ambae hana hoja yenye mantiki. Pia jifanyie introspection niamini afya yako ya akili haiko sawa ndio maana you go around kurusha matusi kwenye social media
Na asipopata msaada wa haraka hali itakuwa mbaya zaidi.
 
Wee nawe...unamdaoje mwanamke? Wee ukikopesha mwanamke ujue hapo anataka umgegede tuu.
Sasa unaona mwanawane yaani wanawake siita wote umeambilia patupu baadala ya kujiongeza unngekuwa wote ume wagegeda na uzuri hamnaga mahusiano hapo ni kotomboz tuu
 
Mimi majuzi kuna manzi nilimtokea nilimwelewa, akaniambia ana mtu wake, nikasema poa, sasa jana niko zangu site ile jion nashangaa ananipigia simu, tukaonga kidgo nika kata, baadae km dk3 iv ana niandikia ivi
Dear nina jambo naomba unisaidieee kama hutojaliiii.
Naomba unisaidieeee elfu 20 ,, nina shida kdg ntairudixhaaa kama hutojaliiii.

Nikasikilizia nikaja mjibu night , tarehe mbaya,
Akaishia duu haya.

Sasa sijui alimaanisha au mind game
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…