Suala la kuwakopesha hela wanawake linaharibu urafiki/ukaribu

Anakupima Simamie msimamo wako ,
 
Lamomy Mzigua90 cutelove Miss Natafuta kadogo2 Ms R Njooni muone wanaume wenye misimamo yao
 
Nakazia "Shindwa pepo "
 
kumkopesha mwanamke ni kuchoma pesa, lazima iungue. bora umpe msaada kama dada yako tu. potelea mbali au umnyime kabisa, vinginevyo atakulipa kwa njia ya kukupa UKE wake. baaass! ndio tayari ivo ushalipwa!
Na hili ndio tatizo wengine tunataka hela yetu tu irudi mbunye yako kaa nayo. Naona ni kaujanja fulani sasa hivi wakiona we mgumu kwenye kutoa hela yako hovyo hovyo wanakuja na gia ya kukopa halafu anakusumbua kulipa sijui ili umuombe mbunye mmalizane. Tatizo sana aisee.
 
Wewe ndio mshamba mwanamke kama ni ndugu yako unampa,kama sio ndugu kabla ya kupewa hela lazima apigwe miti
 
Wewe ndio mshamba mwanamke kama ni ndugu yako unampa,kama sio ndugu anapigwa kabla ya kupewa hela lazima apigwe miti
Kwa hiyo ukishapiga hela yako ndo imeenda hivyo. Kila mwanamke anaekuja ukifanya hivyo kipato chako si kinaweza kuishia kwenye mbunye.
 
Kwa hiyo ukishapiga hela yako ndo imeenda hivyo. Kila mwanamke anaekuja ukifanya hivyo kipato chako si kinaweza kuishia kwenye mbunye.
Yes!,Ndio logic inakuja hapo,mwanamke anayejiheshimu hawezi kubali kupigwa miti,utapoteza pesa,utapoteza mwanamke,
Yule Malaya unamuwekea dau dogo,akisema akukope laki,unamwambia nakugonga kwa elfu 20,........
In the long run,utajikuta unasave pesa na kuwapoteza wanaoweza kupoteza pesa zako
 
Wanawake wengine wanakopa sio kama wanashida na pesa, wanawake hua wanaona haya kumtongoza mwanaume anaempenda hivyo anakutongoza kwa njia ya kukuomba umkopeshe, maana wanajua pesa ya mwanaume hua hailiwi kizembe, kivyovyote mkopeshaji atahitaji kufidia pesa yake kupitia mwili wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…